Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #41
.kwamba hauna MaajabuMishangazi inakupenda siku moja tuu halafu inaacha kupokea simu zako.
huu ni ushamba wala sio uzee, na kwavile wewe ni msabato baasi nishaelewaπ€£Yaani nikiona mwanamuziki au muigizaji namchukulia kama mtoto. Sipo interest naye na sanaa yake.
Points nne umepatia lakini namba 2 umekosea...mi ni mzee wa miaka 50 lakini sikosi live band makumbusho, oldskool disko pale Ada Estate, hata pale Rotana kwa mzee Kisauji huwa sikosi...na napenda kulamba waigizaji wa kike.....kwenye gari langu nimefunga mziki mnene na napiga mziki wa aina zote, na nyumbani pia
huu ni ushamba wala sio uzee, na kwavile wewe ni msabato baasi nishaelewaπ€£
Mimi sio genius ila Nina akili nyingi sanaAkili yako ilipevuka mapema.
Genius wengi ndio wapo hivyo
Mimi sio genius ila Nina akili nyingi sana
Hizo ni vibes (tabia) kama umewahi kuvuta/kula GANJA [emoji23][emoji23]Haiwezikani kila unapoenda unawaona Watu kama uliwahi kuwaona sehemu.[emoji2]
Huwa nazipotezea sana hizo shikamoo, ila ndo zinakuka kwa kasi sana [emoji3]
Hizo ni vibes (tabia) kama umewahi kuvuta/kula GANJA [emoji23][emoji23]
Sitazami television, sisikilizi redio, nimefunga akaunti ya Facebook, Instagram na whatsapp, lengo nipambane vilivyo na Uzee nilio nao..
πππ yaani zile coaster za Moshi - Arusha tulizipenda balaa. Tulikuwa tunapenda zinazokimbiaAlafu hautaki gari lenye vurugu. Wakati ukiwa kijana unataka mambo yawe Yenteyente
πππ yaani zile coaster za Moshi - Arusha tulizipenda balaa. Tulikuwa tunapenda zinazokimbia
Hiyo namba mbili ilitaka kuniingia nikiwa na miaka 23. Sikutaka kabisa kukubaliana nayo, nilipambana nayo mpaka ikaondoka
Wakati mwingine stress za maisha pia zinaweza kukufanya usiwe na interest tena na vitu vilivyokua vinakupa furahaUkiwa serious sana na maisha unaweza kuyachukia
Linazuia vizuri tu, labda makunyazi yaanze kukutoka.Fuba halizuii uzee Mkuu.
Ngoja uzeeke dogo utaelewa unamaanishahuu ni ushamba wala sio uzee, na kwavile wewe ni msabato baasi nishaelewaπ€£
Sidaiwi mia ile,mimi ndio nawadai,leo tu nimetoka kumtia mtu roba mpaka kapunguza pesa ninayomdaiLipa madeni mkuu,madeni hayapendi kelele.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bora wewe mimi nimekufa kabisa[emoji16]Kwa hizo point..
Mimi kikongwee kabisaa.