Gien Banks
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 336
- 887
Ebana eeeh kwema wadau
I rarely post jukwaa hili mara nyingi napita na soma na ku comment tu. Ila mpaka nimeamua kuanzisha thread ni vile nataka wanaume wenzangu hususani vijana ambao mna muelekeo wa kwenda kufunga au kubariki ndoa (kipindi cha ku date na kipindi cha uchumba)
Naturally na biblically (kwenye vitabu vitakatatifu) sisi wanaume hatujakamilika na tuna mapungufu yetu lakini ili tu function vizuri kwenye maisha ni lazima tuwe na ubavu wetu (mwanamke) na sio tu mwanamke bali mwanamke sahihi kinyume na hapo either mambo na maendelo yako yatakua stagnant (hayastawi) ama kuharibikiwa kabisa.
Zipo dalili nyingi sana mbaya tunaweza tukawa tunaziona kwa wanawake ila tunaamua kuzipuuza ila in reality tukishaingia kwenye ndoa zinaongezeka maradufu hatimae kuelekea kuharibikiwa (NB: uhuni, umalaya sio kigezo pekee cha kuachana na mwanamke)
To The Matter, Ukiona viasharia vya tabia hizi kwa mwanamke wako achana nae ni wazi baadae hutafurahia ndoa yako
1. Ubinafsi: Mwananmke mwenye kujithamini zaidi yeye kuliko wewe ambae chances unapambana ku provide sana kwake hakufwai. Upendo na Huruma vinakwenda sambamba, huyu siku uko na hali mbaya hatakua na uchungu na wewe.
2. Dharau: Ukishaona viashiria vya dharau kwa mwanamke wako tena za wazi wazi huyu hakufwai ni wazi hawezi kutunzia heshima yako hata anapokua na watu ambao wanaku undermine, she will never defend you ukiwa haupo na hii hata kwa ndugu zake. Achana na mwanamke asiyejua kusitiri madhaifu ya nyumba yake…..hata kama mambo hayako shawari kati yenu hekima ni kuficha uozo wenu huku mkipambania suluhu kimya kimya. People really dont care about ur problems zaidi ni unafiki tu.
3. Kunyenyekewa: Epuka mwanamke anaependa kunyenyekewa sanaa. Yani wewe mwanaume ukiwa unahitaji kitu kwa mwanamke wako mpaka ubembeleze uombe sanaa kama vile ni hisani kupata kitu flan kwa mkeo. This is very wrong maana kama wewe una provide basics zote why ukiwa na uhitaji uombe na kunyenyekea sana. Wote mnajua umuhimu wa mtu kwa mwenzake. Why beg ?? Haiko sawa ukiona hivyo piga chini. Hizi ni itikadi za unyanyasaji. Jamani kuna wanawake wana nyanyasa, vile wanaume tumeumbiwa ukimya hatuwezi lia lia kwa kila jambo. Amini kwamba.
4. Lugha Na Kauli Chafu: Hii inaendana na point no. 2. Mwanamke asie na staha, heshima na adabu hafai. Brand safi ya familia na nyumba yako ni muhimu. Usitolerate kabisa lugha na kauli chafu from your woman kwenye hadhara hata kama ni utani. Amethubutu kwenye hadhara siku nyingine atakukosea heshima hadharani pia na ni likely hana maadili.
5. Kuendekeza Anasa na Starehe: Sina sababu kueleza sana hapa vijana wa mjini mnanielewa. Ukishaona ni wa hivi chances hana mtazamo wa kutunza hela na kuzalisha mali piga chini. Hamtafika popote ukiwa na mwanamke wa hivi. Mwanamke asiye kua na kiasi na kuwa economical na kukuhamasisha wewe mwanaume kuwa economical na your spending habits achana nae hakufwai. Siku huna kitu lazima asepe na wenye nazo.
Achana kabisa na mwanamke anaekula sana pombe. Kwenye pombe kuna mambo mengi ya kidunia huyu mwanamke hatokufaa.
6. Greed / Tamaa - Muogope mwanamke mwenye tamaa kama ukimwi. Huyu atafanya chochote hata kukuwekea mitego mibaya ili atimize haja zake. Kama mmependana kweli na kuamua kukaa wote kwa shida na raha why aweke misimamo na itikadi za tamaa kama hivi vyake na hivi alileta na kufanya yeye nyumbani na vingine ni vyako. Why kuwe na atmosphere ya mali zako na mali zake kama vyote mnatafuta na kuchangia kwa pamoja mbali ya kwamba mnafanyia nyumba yenu na kwa faida ya watoto. Hii ni shida, divorce rates are high mali nyingi zinaleta shida na wengine hata kuishia pabaya.
Well ndugu zangu naomba na nyie muongezee zingine kama mna cases mnaweza share vijana tujifunze na kuimarika kifikra na mtazamo.
Ni mbaya na hatari kupuuza dalili zote mbaya na chafu za mpenzi wako maana badaae madhara yake ni makubwa na hayataweza tatuliwa kwani ulishafanya mistake kubwa itayo kugharimu ur whole life.
Huo ni mtazamo wangu, Ahsanteni.
I rarely post jukwaa hili mara nyingi napita na soma na ku comment tu. Ila mpaka nimeamua kuanzisha thread ni vile nataka wanaume wenzangu hususani vijana ambao mna muelekeo wa kwenda kufunga au kubariki ndoa (kipindi cha ku date na kipindi cha uchumba)
Naturally na biblically (kwenye vitabu vitakatatifu) sisi wanaume hatujakamilika na tuna mapungufu yetu lakini ili tu function vizuri kwenye maisha ni lazima tuwe na ubavu wetu (mwanamke) na sio tu mwanamke bali mwanamke sahihi kinyume na hapo either mambo na maendelo yako yatakua stagnant (hayastawi) ama kuharibikiwa kabisa.
Zipo dalili nyingi sana mbaya tunaweza tukawa tunaziona kwa wanawake ila tunaamua kuzipuuza ila in reality tukishaingia kwenye ndoa zinaongezeka maradufu hatimae kuelekea kuharibikiwa (NB: uhuni, umalaya sio kigezo pekee cha kuachana na mwanamke)
To The Matter, Ukiona viasharia vya tabia hizi kwa mwanamke wako achana nae ni wazi baadae hutafurahia ndoa yako
1. Ubinafsi: Mwananmke mwenye kujithamini zaidi yeye kuliko wewe ambae chances unapambana ku provide sana kwake hakufwai. Upendo na Huruma vinakwenda sambamba, huyu siku uko na hali mbaya hatakua na uchungu na wewe.
2. Dharau: Ukishaona viashiria vya dharau kwa mwanamke wako tena za wazi wazi huyu hakufwai ni wazi hawezi kutunzia heshima yako hata anapokua na watu ambao wanaku undermine, she will never defend you ukiwa haupo na hii hata kwa ndugu zake. Achana na mwanamke asiyejua kusitiri madhaifu ya nyumba yake…..hata kama mambo hayako shawari kati yenu hekima ni kuficha uozo wenu huku mkipambania suluhu kimya kimya. People really dont care about ur problems zaidi ni unafiki tu.
3. Kunyenyekewa: Epuka mwanamke anaependa kunyenyekewa sanaa. Yani wewe mwanaume ukiwa unahitaji kitu kwa mwanamke wako mpaka ubembeleze uombe sanaa kama vile ni hisani kupata kitu flan kwa mkeo. This is very wrong maana kama wewe una provide basics zote why ukiwa na uhitaji uombe na kunyenyekea sana. Wote mnajua umuhimu wa mtu kwa mwenzake. Why beg ?? Haiko sawa ukiona hivyo piga chini. Hizi ni itikadi za unyanyasaji. Jamani kuna wanawake wana nyanyasa, vile wanaume tumeumbiwa ukimya hatuwezi lia lia kwa kila jambo. Amini kwamba.
4. Lugha Na Kauli Chafu: Hii inaendana na point no. 2. Mwanamke asie na staha, heshima na adabu hafai. Brand safi ya familia na nyumba yako ni muhimu. Usitolerate kabisa lugha na kauli chafu from your woman kwenye hadhara hata kama ni utani. Amethubutu kwenye hadhara siku nyingine atakukosea heshima hadharani pia na ni likely hana maadili.
5. Kuendekeza Anasa na Starehe: Sina sababu kueleza sana hapa vijana wa mjini mnanielewa. Ukishaona ni wa hivi chances hana mtazamo wa kutunza hela na kuzalisha mali piga chini. Hamtafika popote ukiwa na mwanamke wa hivi. Mwanamke asiye kua na kiasi na kuwa economical na kukuhamasisha wewe mwanaume kuwa economical na your spending habits achana nae hakufwai. Siku huna kitu lazima asepe na wenye nazo.
Achana kabisa na mwanamke anaekula sana pombe. Kwenye pombe kuna mambo mengi ya kidunia huyu mwanamke hatokufaa.
6. Greed / Tamaa - Muogope mwanamke mwenye tamaa kama ukimwi. Huyu atafanya chochote hata kukuwekea mitego mibaya ili atimize haja zake. Kama mmependana kweli na kuamua kukaa wote kwa shida na raha why aweke misimamo na itikadi za tamaa kama hivi vyake na hivi alileta na kufanya yeye nyumbani na vingine ni vyako. Why kuwe na atmosphere ya mali zako na mali zake kama vyote mnatafuta na kuchangia kwa pamoja mbali ya kwamba mnafanyia nyumba yenu na kwa faida ya watoto. Hii ni shida, divorce rates are high mali nyingi zinaleta shida na wengine hata kuishia pabaya.
Well ndugu zangu naomba na nyie muongezee zingine kama mna cases mnaweza share vijana tujifunze na kuimarika kifikra na mtazamo.
Ni mbaya na hatari kupuuza dalili zote mbaya na chafu za mpenzi wako maana badaae madhara yake ni makubwa na hayataweza tatuliwa kwani ulishafanya mistake kubwa itayo kugharimu ur whole life.
Huo ni mtazamo wangu, Ahsanteni.