Ukiona Dalili hizi Kwenye Simu Yako, Jua Kuwa Uko "hacked"

Umezunguka San mkuu
 
Kwahiyo mkuu, mfano mimi hapo inamaana nimewekwa kati ama!?View attachment 2561113
Hapo kuna mtu anasikiliza ama anarekodi maongezi.

Kuna njia nyingi za kufatilia mawasiliano na mambo ya mtu kwenye simu ila kuu zipo nne:

1. Njia rahisi ya kuchukua simu ya mtu wakati ameiweka sehemu na ametoka kusoma mambo yake. Hapa mfuatiliaji lazima ajue jinsi ya kutoa lock ama akute haijalokiwa.

2. Njia rahisi ya kuchukua simu ya mtu kuinstall app ya kusoma na kurecord mambo yake. Hapa lazima mtu ashike simu yako ikiwa haijalokiwa ama aweze kutoa lock.

3. Njia ngumu kidogo ya kudukua bila hata kuwahi kuiona simu mtu anayoitumia kwa kutumia remote access. Hapa mtu anaweza kutumia madhaifu ya apps ulizonazo kuingiza scripts kwenye simu yako akiwa mbali. Apps nyingi za picha chafu, games, kubet, udaku na zile apps zilizotengenezwa kwa bajeti duni hutumiwa sana na watu kupata access kwenye simu zetu.

4. Njia ngumu zaidi ya ku intercept na ku decrypt mawasiliano kupitia signals na radios za simu. Hii sasa hufanywa na wale advanced telecom gurus na wenye huu ujuzi ni wachache sana. Na vitendea kazi (hardware na software) ni vichache saana. Ila wapo wanaotumia njia nyepesi za hapa kupata remote access mfano ni wanaotumia bluetooth radios kuongeza kitu kwenye simu yako. Anaweza ongeza kitu kikampa remote access. All in all kama hutumii bluetooth ama gps ama wifi basi zima vyote vitatu.

Mara nyingi wabongo hutumia namba 1 na 2.

Namba 3 hutumika na watu wenye interest kubwa zaidi kwako.

Namba 4 ngumu mno na inahitaji ujuzi mkubwa na softwares ghali.
 
Ahsante sana mkuu, umeongeza vitu vikubwa mnoo [emoji736]
 
Hapana, wewe imeonekana kwa sababu umepiga wewe na mic iko on. Sasa ukiona simu hajupiga, haurecord chochote WhatsApp au recorder ya simu kawaida hapo weka wasiwasi kwamba umewekwa kati.
Huyo kapiga 100 huduma kwa wateja zote huwa zinarekodiwa. Ndo mana mwanzo kabisa wanaweka ndisclaimer kuwa your call may be recorded. Japo pia inawezekana kuna app inatumua MIC akifungua privacy settings then microphone anaweza ona kama kuna app inatumia MIC.
 
Hiyo 'Xiamo' ni ya China, Japan au Korea ?
 
Mkuu simu zote zinazotoka ama kuingia inaleta hiyo kitu mzee
 
Mkuu simu zote zinazotoka ama kuingia inaleta hiyo kitu mzee
Basi unarekodiwa. Nenda privacy settings the microphone jaribu kucheki. Kama hamna app inayoonekana then ni hidden script ina initiate recording unapokuwa unaongea.
 
Haka kaapp ndio sikaelewi mzee[emoji2]

Maana sikaonk kwenye app za kawaida na wala sijawahi kuniaje app kama hii
 
So hii haina nouma, kwahiyo mzozo uko wap aisee[emoji2]
Kama apps zingine zote unazielewa then huenda:
1. Simu yako ndio ipo hivyo from siku unainunua (default manufacturer settings)
2. Unadukuliwa na script sio app. Script haiwezi onekana kwenye app lists zooote unazozijua. Inajificha kabisa tena files zake nyingi zinaanzaga na .seeking kwa mfano. Nukta huanza mwanzo wa jina la script hivyo kwenye system inajificha mana files zote na folders zote zinazoanza na nukta mwanzoni kwa mifumo ya linux huwa ni hidden files.

So kazi kwako ku amua kuendelea ku assess ama kutulia na ku assume mambo yapo sawa.
 
Haya sasa dawa ni nn kuondosha hili kama nadukuliwa!??[emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…