Ukiona Dalili hizi Kwenye Simu Yako, Jua Kuwa Uko "hacked"

Ukiona Dalili hizi Kwenye Simu Yako, Jua Kuwa Uko "hacked"

Screenshot_20230323_204513_Call.jpg

Mimi ndio nimeona hiko kitufe cha kijani nikasema niangalie nikaona hiyo MIC na maelezo hayo. Hili limeanza leo na nilitafakari muda mrefu baada ya kukuona hiko then nilipoingia JF nikakutana na hii mada. Kabla ya simu hii miliyonunua Jumatatu, nilikuwa na Infinix nayo kuna muda mtu akinipigia simu sipatikani au naongea then tunapotelea hewani. Nikahisi kuna mtu ananidukua. Nikijaribu kutumia zile namba za kujua kama nadukuliwa sioni kama nadukuliwa. Sasa natakiwa nifanyaje?
 
Nimesema haujaelewa ukielewa hutabisha

Eleza process za kufukua/kudukua OnePlus 8 usiruke hata step moja nikuone
Hapo kisichoeleweka ni nini, umesema hazidukuliwi.
Unaniomba nikutajie steps za kuidukua OnePlus lakini mimi sio mdukuaji, Siwezi kukutajia steps za udukuaji kwenye simu yoyote ile hata Tecno.
Lakini hizo OnePlus zinadukuliwa vizuri tu na hao watu wanaoitwa hackers
 
Habari mwanajamvi, najua umekuwa na siku ndefu sana ya kikazi maofisini au biasharani, ama mwingine unasoma uzi huu ukiwa kazini, piga kazi, kazi ni kipimo cha utu.

Kabla sijaendelea mbaloi naomba nisema kwamba mimi ni fundi simu, kazi hii imefanya nijifunze mambo mengi kupitia changamoto za watumiaji wa simu. Ni kweli kwamba teknolojia imekua sana, na katika kukua huko kuna faida na hasara zake. Ukiachilia mbali kukua huko na faida na hasara zake, pia kuna watu wasaka taarifa za watu wengine kupitia teknolojia. Baada ya kuona changamoto kadhaa kwa watu leo nimeamua nisemezane na wewe kidogo juu ya UDUKUZI na utajuaje kama UMEDUKULIWA. Twende sawa

Mdukuaji mara zote kuna vitu anakuwa anavilenga ili aweze kupata anachokitaka toka kwako. Kuna aina nyingi za udukuzi lakini hapa sitaongelea aina hizo bali nitaongelea "namna ya kujua kama simu yako imedukuliwa".
Mdukuzi anadukua simu yako kwa kuweka spy app kwenye simu yako bila wewe kujua, anaweza kukushawishi kwa kukutumia link flani yenye maelezo fulani kwamba kuna offer na ili upate offer hiyo uinstall app flani, au uguse link flani, ndugu yangu kuwa makini, mdukuzi anaweza chukua udhibiti wa simu yako sekunde tu kama ni mtu wa tamaa na kushawishika. Watu wa android wapo kwenye risk zaidi maana zinaruhusu kudownload apps toka nje ya google playstore, iOS nao hawako salama lakini angalau huko kuna process ndefu mpaka mtu kumdukua.

Njia ya pili ni watu wetu wa karibu ambao wana access na simu zetu, mke au mume akitaka kukudukua basi ataweka hiyo app kisha ataweza pata taarifa zako zoteee.

Ni Taarifa Gani Mdukuzi Anazipata Ukidukuliwa?
  1. Sms zako zote
  2. simu zinazotoka na kuingia
  3. location yako
  4. contacts zako
  5. picha na files zako
  6. anaweza kupiga picha bila wewe kujua
  7. anaweza kurekodi maongezi yako ya simu au live bila wewe kujua
  8. anaweza futa vitu vyako
  9. anaweza kubadilishia password ya simu yako
  10. anaweza kudhibiti baadhi ya vitu, kwa mfano anaweza kukuzuia settings za location usiweze kuzima n.k
Sasa katika yote hayo utajuaje kama simu yako imedukuliwa?
Kila simu ina mfumo wa ulinzi ambao unazuia kuinstall apps ambazo hazijatoka google apps store, na ikitokea spy apps imekuwa installed maanake ulinzi ulitolewa ili apps husika iwekwe. Kwenye simu ambayo nimetumia kama mfano neno "Installation Sources" limetumika lakini kwenye simu zingine wanatumia nene "Install From Unknown Source". Ukiangalia kwenye picha uataona kwamba mimi nimeruhusa kuinstall apps toka chrome na xender, nje ya hapo apps haziwezi kuingia, simu itakutaka ufungue ulinzi wake ili apps iweze kuingia. so, hapa angalia kwenye settings>Passwords and security>Installation sources(mpangilio wa settings unatofautiana ila concept ni moja) kisha angalia sehemu zinazopitisha hizo apps.
View attachment 2551635

2. Kwa simu kuanzia android ya 9, ukifungua camera au recorder kwa mfano, kwa juu kulia itakuletea kadoti kadogo ka kijani ambako kanakuonesha kuwa kuna kitu kinaendelea. Kwa hiyo kama hutumia kama kamera, location au recorder wakati huo na kadoti ka kijani kakaonekana weka wasiwasi kwamba huenda umedukuliwa na mtu ana access location yako au kamera yako au recorder ya kwenye simu yako. Na uzuri ni kwamba ukiswip kuja chini utaona ni kitu gani kinatumia camera, recorder au location yako.
Kama mtu ana access camera ukiswip utaona kitufe kwenye kijani kama ianavyonekana kwenye picha hapa chini.
View attachment 2551657

Kama mtu anakurecord utaona kitufe cha mic kwenye kijani kama inavyoonekana hapa kwenye picha
View attachment 2551664
Halikadhalika, kama mtu ana access location yako yako utaona location ina blink juu kwenye status bar yako kuonesha kuwa "you are being tracked"
Ndugu mwanajamvi, kujua hivyo vyote unatakiwa kuwa makini, maana mdukuzi anaweza akawa anafanya kazi yake wakati ambao wewe hutumii simu yako.

3. Kuscan apps zako kwa kutumia ant virus. Jiwekee utaratibu wa kuscan apss zako mara kwa mara. ant virus itakwamia na kukuonesha application ambayo ni suspicious na kama huitambui application hiyo itoe haraka, kama huwezi omba usaidizi maana wadukuzi wengine wanaenda mbali zaidi kwa kuzuia usiweze kutoa apps husika aidha kwa password au kukunyima access za administrator kwenye simu upande wa security, yote hayo yanafanywa automatic na apps maana apps inakuwa na kirusi kiiba taarifa.

4. Kagua apps zako unazo zitumia. Wote tunajua kuwa kuna apps ambazo huja na simu na hata hatuzitumii laikin kuna apps ambazo sisi tunaziweka, lakini ukiona apps ambayo haikuja na simu na wewe haukuiweka, washa full huenda umedukuliwa.

Baada ya kuandika dalili hizo nne, nitoe mapendekezo yangu hapa chini.
  1. download apps zako toka google playstore au app store tu
  2. achana na mods app kama vile GBwhatsapp, una hatarisha usalama wako. Tumia apps official tu.
  3. Usiguse link yoyote ambayo umetumiwa na hujui kazi kazi yake, kabla ya kugusa hakikisha umepewa maelezo ya kina na jiridhishe pia, na usiwe na tamaa, wengi wamedakwa kwa tamaa zao.
  4. kuduka simu ya mtu ni makosa kwa sheria ya Tanzania, hivyo jiepushe na kudukua simu ya mwenza wako wako maana inaweza pelekea ukapata kesi ya makosa ya kimtandao
  5. nunua simu official kila inapobidi (hasa samsung) zipo simu nyingi mtaani ziko "uchi" hazina ulinzi wowote kiasi kwamba mtu anaweza ingia kwenye simu yako na kufanya chochote.
  6. jiepushe na wi-fi za bure zingine ni mitego, ukiunga mtu anaweza pata access ya simu yako, pale juu nimekwambia kuna aina nyingi za udukuzi.
Ndugu zangu, hayo ndo maoni yangu, kama kuna uanchojua zaidi ya hayo tujuzane hapa ili tusaidie na wengine taarifa zao zibaki salama.

Naomba kuwasilisha.
shukrani
 
Hapo kisichoeleweka ni nini, umesema hazidukuliwi.
Unaniomba nikutajie steps za kuidukua OnePlus lakini mimi sio mdukuaji, Siwezi kukutajia steps za udukuaji kwenye simu yoyote ile hata Tecno.
Lakini hizo OnePlus zinadukuliwa vizuri tu na hao watu wanaoitwa hackers
Mzee mkavu acha kukakamaa na kukaza ubongo nmesema shusha steps we si umesema unaweza eleza one after another haya proceed, usianze kuzuga
 
Zipo au unataka nizitaje moja baada ya nyingine?

✓OnePlus 8/8T, 9/9 Pro and 10 Pro

✓Blackphone PRIVY
✓Purism Librem 5
Intact Phone Arcane – Data Castle
✓Intact Phone bond – Cyber Crime Protection
✓Darkmatter Katim Phone
✓IntactPhone R2
✓Bittium Tough Mobile
✓Bittium Tough Mobile 2 – Encryption Empire
✓Finney U1 – Swiss-made
✓Silent Circle Blackphone v2 – Stealth and Private
✓Blackberry DTEK50

HAZIDUKULIWI NG'O
Nikupe story moja. Kuna mu israel alitest kudukua simu kwa kutumia audio signals tu. Na research paper yake ipo mitandaoni. Alivuma sana.

Kuna technique inaitwa Audio Frequency-Shift Keying (A-FSK). Hii hata nokia ya tochi inahakiwa. Hii inaweza kutransmit audio, text na numeric data kwenda kilometer kama 40 hivi kutoka ulipo.

Kwenye hizo ulizotaja inawezekana pia kwa kutumia both audio signals na internet.
 
Nikupe story moja. Kuna mu israel alitest kudukua simu kwa kutumia audio signals tu. Na research paper yake ipo mitandaoni. Alivuma sana.

Kuna technique inaitwa Audio Frequency-Shift Keying (A-FSK). Hii hata nukia ya tochi inahakiwa. Hii inaweza kutransmit audio, text na numeric data kwenda kilometer kama 40 hivi kutoka ulipo.

Kwenye hizo ulizotaja inawezekana pia kwa kutumia both audio signals na internet.
Sijapinga kila kilichotengenezwa na mwanadamu kina uwezo wa kuharibiwa au kufumuliwa au kufunguliwa au kufichuliwa na mwanadamu mwingine, ndio maana kuna mtu yeye kazi yake ni kutest mifumo tu kucheck loop holes n so forth Ila kwa hizi nilizotaja zipo more secure compared na aina zingine za simu ndio maana nikazichagua
 
Mzee mkavu acha kukakamaa na kukaza ubongo nmesema shusha steps we si umesema unaweza eleza one after another haya proceed, usianze kuzuga
Nioneshe niliposema ninaweza kutaja steps, one after another
Isije ikawa unabishana na mtu siye. Hebu rudi huko juu tafuta comment ya mtu aliyesema anaweza kukutajia steps moja baada ya nyingine ndio umuombe akutajie. Aliyekuambia hivyo sio mimi, kwangu umekosea[emoji706][emoji706]
 
Sijapinga kila kilichotengenezwa na mwanadamu kina uwezo wa kuharibiwa au kufumuliwa au kufunguliwa au kufichuliwa na mwanadamu mwingine, ndio maana kuna mtu yeye kazi yake ni kutest mifumo tu kucheck loop holes n so forth Ila kwa hizi nilizotaja zipo more secure compared na aina zingine za simu ndio maana nikazichagua
Upo sahihi security ya simu inatofautiana. So kuna ambazo ni ngumu sana kudukua na ambazo nyepesi. Android nyingi zinakuwaga nyepesi kasoro baadhi ya samsung galaxy kama s20, etc. Iphone ngumu kiasi ila blackbery ngumu sana mana zina encrypt hadi audio signals.
 
Nioneshe niliposema ninaweza kutaja steps, one after another
Isije ikawa unabishana na mtu siye. Hebu rudi huko juu tafuta comment ya mtu aliyesema anaweza kukutajia steps moja baada ya nyingine ndio umuombe akutajie. Aliyekuambia hivyo sio mimi, kwangu umekosea[emoji706][emoji706]
Kwa hio wewe hujui Ila unakisia kua wanaweza kuzidukua au umeshawahi kuona na kushuhudia zikidukuliwa, sijasema kuzimodify au kuzifanyia rooting nimesema kuzidukua
 
Nikupe story moja. Kuna mu israel alitest kudukua simu kwa kutumia audio signals tu. Na research paper yake ipo mitandaoni. Alivuma sana.

Kuna technique inaitwa Audio Frequency-Shift Keying (A-FSK). Hii hata nokia ya tochi inahakiwa. Hii inaweza kutransmit audio, text na numeric data kwenda kilometer kama 40 hivi kutoka ulipo.

Kwenye hizo ulizotaja inawezekana pia kwa kutumia both audio signals na internet.
Najifunza kwenye kila comment zako mkuu.
 
Nioneshe niliposema ninaweza kutaja steps, one after another
Isije ikawa unabishana na mtu siye. Hebu rudi huko juu tafuta comment ya mtu aliyesema anaweza kukutajia steps moja baada ya nyingine ndio umuombe akutajie. Aliyekuambia hivyo sio mimi, kwangu umekosea[emoji706][emoji706]
Najifunza kwenye comments zako mkuu.
 
blackbery ngumu sana mana zina encrypt hadi audio signals
Na hiki ndicho watu hawajakielewa sasa namshangaa mtu anakuja kunipinga wakati ukianza kuhack hizo simu ni sawa na kuingia kwenye puzzle ambayo hujawahi kuiona maisha yako yote sasa ku-decipher hizo encryption zilizosukwa humo ndio utaelewa huelewi
 
Habari mwanajamvi, najua umekuwa na siku ndefu sana ya kikazi maofisini au biasharani, ama mwingine unasoma uzi huu ukiwa kazini, piga kazi, kazi ni kipimo cha utu.

Kabla sijaendelea mbaloi naomba nisema kwamba mimi ni fundi simu, kazi hii imefanya nijifunze mambo mengi kupitia changamoto za watumiaji wa simu. Ni kweli kwamba teknolojia imekua sana, na katika kukua huko kuna faida na hasara zake. Ukiachilia mbali kukua huko na faida na hasara zake, pia kuna watu wasaka taarifa za watu wengine kupitia teknolojia. Baada ya kuona changamoto kadhaa kwa watu leo nimeamua nisemezane na wewe kidogo juu ya UDUKUZI na utajuaje kama UMEDUKULIWA. Twende sawa

Mdukuaji mara zote kuna vitu anakuwa anavilenga ili aweze kupata anachokitaka toka kwako. Kuna aina nyingi za udukuzi lakini hapa sitaongelea aina hizo bali nitaongelea "namna ya kujua kama simu yako imedukuliwa".
Mdukuzi anadukua simu yako kwa kuweka spy app kwenye simu yako bila wewe kujua, anaweza kukushawishi kwa kukutumia link flani yenye maelezo fulani kwamba kuna offer na ili upate offer hiyo uinstall app flani, au uguse link flani, ndugu yangu kuwa makini, mdukuzi anaweza chukua udhibiti wa simu yako sekunde tu kama ni mtu wa tamaa na kushawishika. Watu wa android wapo kwenye risk zaidi maana zinaruhusu kudownload apps toka nje ya google playstore, iOS nao hawako salama lakini angalau huko kuna process ndefu mpaka mtu kumdukua.

Njia ya pili ni watu wetu wa karibu ambao wana access na simu zetu, mke au mume akitaka kukudukua basi ataweka hiyo app kisha ataweza pata taarifa zako zoteee.

Ni Taarifa Gani Mdukuzi Anazipata Ukidukuliwa?
  1. Sms zako zote
  2. simu zinazotoka na kuingia
  3. location yako
  4. contacts zako
  5. picha na files zako
  6. anaweza kupiga picha bila wewe kujua
  7. anaweza kurekodi maongezi yako ya simu au live bila wewe kujua
  8. anaweza futa vitu vyako
  9. anaweza kubadilishia password ya simu yako
  10. anaweza kudhibiti baadhi ya vitu, kwa mfano anaweza kukuzuia settings za location usiweze kuzima n.k
Sasa katika yote hayo utajuaje kama simu yako imedukuliwa?
Kila simu ina mfumo wa ulinzi ambao unazuia kuinstall apps ambazo hazijatoka google apps store, na ikitokea spy apps imekuwa installed maanake ulinzi ulitolewa ili apps husika iwekwe. Kwenye simu ambayo nimetumia kama mfano neno "Installation Sources" limetumika lakini kwenye simu zingine wanatumia nene "Install From Unknown Source". Ukiangalia kwenye picha uataona kwamba mimi nimeruhusa kuinstall apps toka chrome na xender, nje ya hapo apps haziwezi kuingia, simu itakutaka ufungue ulinzi wake ili apps iweze kuingia. so, hapa angalia kwenye settings>Passwords and security>Installation sources(mpangilio wa settings unatofautiana ila concept ni moja) kisha angalia sehemu zinazopitisha hizo apps.
View attachment 2551635

2. Kwa simu kuanzia android ya 9, ukifungua camera au recorder kwa mfano, kwa juu kulia itakuletea kadoti kadogo ka kijani ambako kanakuonesha kuwa kuna kitu kinaendelea. Kwa hiyo kama hutumia kama kamera, location au recorder wakati huo na kadoti ka kijani kakaonekana weka wasiwasi kwamba huenda umedukuliwa na mtu ana access location yako au kamera yako au recorder ya kwenye simu yako. Na uzuri ni kwamba ukiswip kuja chini utaona ni kitu gani kinatumia camera, recorder au location yako.
Kama mtu ana access camera ukiswip utaona kitufe kwenye kijani kama ianavyonekana kwenye picha hapa chini.
View attachment 2551657

Kama mtu anakurecord utaona kitufe cha mic kwenye kijani kama inavyoonekana hapa kwenye picha
View attachment 2551664
Halikadhalika, kama mtu ana access location yako yako utaona location ina blink juu kwenye status bar yako kuonesha kuwa "you are being tracked"
Ndugu mwanajamvi, kujua hivyo vyote unatakiwa kuwa makini, maana mdukuzi anaweza akawa anafanya kazi yake wakati ambao wewe hutumii simu yako.

3. Kuscan apps zako kwa kutumia ant virus. Jiwekee utaratibu wa kuscan apss zako mara kwa mara. ant virus itakwamia na kukuonesha application ambayo ni suspicious na kama huitambui application hiyo itoe haraka, kama huwezi omba usaidizi maana wadukuzi wengine wanaenda mbali zaidi kwa kuzuia usiweze kutoa apps husika aidha kwa password au kukunyima access za administrator kwenye simu upande wa security, yote hayo yanafanywa automatic na apps maana apps inakuwa na kirusi kiiba taarifa.

4. Kagua apps zako unazo zitumia. Wote tunajua kuwa kuna apps ambazo huja na simu na hata hatuzitumii laikin kuna apps ambazo sisi tunaziweka, lakini ukiona apps ambayo haikuja na simu na wewe haukuiweka, washa full huenda umedukuliwa.

Baada ya kuandika dalili hizo nne, nitoe mapendekezo yangu hapa chini.
  1. download apps zako toka google playstore au app store tu
  2. achana na mods app kama vile GBwhatsapp, una hatarisha usalama wako. Tumia apps official tu.
  3. Usiguse link yoyote ambayo umetumiwa na hujui kazi kazi yake, kabla ya kugusa hakikisha umepewa maelezo ya kina na jiridhishe pia, na usiwe na tamaa, wengi wamedakwa kwa tamaa zao.
  4. kuduka simu ya mtu ni makosa kwa sheria ya Tanzania, hivyo jiepushe na kudukua simu ya mwenza wako wako maana inaweza pelekea ukapata kesi ya makosa ya kimtandao
  5. nunua simu official kila inapobidi (hasa samsung) zipo simu nyingi mtaani ziko "uchi" hazina ulinzi wowote kiasi kwamba mtu anaweza ingia kwenye simu yako na kufanya chochote.
  6. jiepushe na wi-fi za bure zingine ni mitego, ukiunga mtu anaweza pata access ya simu yako, pale juu nimekwambia kuna aina nyingi za udukuzi.
Ndugu zangu, hayo ndo maoni yangu, kama kuna uanchojua zaidi ya hayo tujuzane hapa ili tusaidie na wengine taarifa zao zibaki salama.

Naomba kuwasilisha.
Elimu nzuri sana
 
Yangu inaonesha hivi kwenye camera na call mtoto wa mama mkwe amenidukua nini
Screenshot_20230726_095813_Camera.jpg
 
Habari mwanajamvi, najua umekuwa na siku ndefu sana ya kikazi maofisini au biasharani, ama mwingine unasoma uzi huu ukiwa kazini, piga kazi, kazi ni kipimo cha utu.

Kabla sijaendelea mbali naomba nisema kwamba mimi ni fundi simu, kazi hii imefanya nijifunze mambo mengi kupitia changamoto za watumiaji wa simu. Ni kweli kwamba teknolojia imekua sana, na katika kukua huko kuna faida na hasara zake. Ukiachilia mbali kukua huko na faida na hasara zake, pia kuna watu wasaka taarifa za watu wengine kupitia teknolojia. Baada ya kuona changamoto kadhaa kwa watu leo nimeamua nisemezane na wewe kidogo juu ya UDUKUZI na utajuaje kama UMEDUKULIWA. Twende sawa

Mdukuaji mara zote kuna vitu anakuwa anavilenga ili aweze kupata anachokitaka toka kwako. Kuna aina nyingi za udukuzi lakini hapa sitaongelea aina hizo bali nitaongelea "namna ya kujua kama simu yako imedukuliwa".
Mdukuzi anadukua simu yako kwa kuweka spy app kwenye simu yako bila wewe kujua, anaweza kukushawishi kwa kukutumia link flani yenye maelezo fulani kwamba kuna offer na ili upate offer hiyo uinstall app flani, au uguse link flani, ndugu yangu kuwa makini, mdukuzi anaweza chukua udhibiti wa simu yako sekunde tu kama ni mtu wa tamaa na kushawishika. Watu wa android wapo kwenye risk zaidi maana zinaruhusu kudownload apps toka nje ya google playstore, iOS nao hawako salama lakini angalau huko kuna process ndefu mpaka mtu kumdukua.

Njia ya pili ni watu wetu wa karibu ambao wana access na simu zetu, mke au mume akitaka kukudukua basi ataweka hiyo app kisha ataweza pata taarifa zako zoteee.

Ni Taarifa Gani Mdukuzi Anazipata Ukidukuliwa?
  1. Sms zako zote
  2. simu zinazotoka na kuingia
  3. location yako
  4. contacts zako
  5. picha na files zako
  6. anaweza kupiga picha bila wewe kujua
  7. anaweza kurekodi maongezi yako ya simu au live bila wewe kujua
  8. anaweza futa vitu vyako
  9. anaweza kubadilishia password ya simu yako
  10. anaweza kudhibiti baadhi ya vitu, kwa mfano anaweza kukuzuia settings za location usiweze kuzima n.k
Sasa katika yote hayo utajuaje kama simu yako imedukuliwa?
Kila simu ina mfumo wa ulinzi ambao unazuia kuinstall apps ambazo hazijatoka google apps store, na ikitokea spy apps imekuwa installed maanake ulinzi ulitolewa ili apps husika iwekwe. Kwenye simu ambayo nimetumia kama mfano neno "Installation Sources" limetumika lakini kwenye simu zingine wanatumia nene "Install From Unknown Source". Ukiangalia kwenye picha uataona kwamba mimi nimeruhusa kuinstall apps toka chrome na xender, nje ya hapo apps haziwezi kuingia, simu itakutaka ufungue ulinzi wake ili apps iweze kuingia. so, hapa angalia kwenye settings>Passwords and security>Installation sources(mpangilio wa settings unatofautiana ila concept ni moja) kisha angalia sehemu zinazopitisha hizo apps.
View attachment 2551635

2. Kwa simu kuanzia android ya 9, ukifungua camera au recorder kwa mfano, kwa juu kulia itakuletea kadoti kadogo ka kijani ambako kanakuonesha kuwa kuna kitu kinaendelea. Kwa hiyo kama hutumia kama kamera, location au recorder wakati huo na kadoti ka kijani kakaonekana weka wasiwasi kwamba huenda umedukuliwa na mtu ana access location yako au kamera yako au recorder ya kwenye simu yako. Na uzuri ni kwamba ukiswip kuja chini utaona ni kitu gani kinatumia camera, recorder au location yako.
Kama mtu ana access camera ukiswip utaona kitufe kwenye kijani kama ianavyonekana kwenye picha hapa chini.
View attachment 2551657

Kama mtu anakurecord utaona kitufe cha mic kwenye kijani kama inavyoonekana hapa kwenye picha
View attachment 2551664
Halikadhalika, kama mtu ana access location yako yako utaona location ina blink juu kwenye status bar yako kuonesha kuwa "you are being tracked"
Ndugu mwanajamvi, kujua hivyo vyote unatakiwa kuwa makini, maana mdukuzi anaweza akawa anafanya kazi yake wakati ambao wewe hutumii simu yako.

3. Kuscan apps zako kwa kutumia ant virus. Jiwekee utaratibu wa kuscan apss zako mara kwa mara. ant virus itakwamia na kukuonesha application ambayo ni suspicious na kama huitambui application hiyo itoe haraka, kama huwezi omba usaidizi maana wadukuzi wengine wanaenda mbali zaidi kwa kuzuia usiweze kutoa apps husika aidha kwa password au kukunyima access za administrator kwenye simu upande wa security, yote hayo yanafanywa automatic na apps maana apps inakuwa na kirusi kiiba taarifa.

4. Kagua apps zako unazo zitumia. Wote tunajua kuwa kuna apps ambazo huja na simu na hata hatuzitumii laikin kuna apps ambazo sisi tunaziweka, lakini ukiona apps ambayo haikuja na simu na wewe haukuiweka, washa full huenda umedukuliwa.

Baada ya kuandika dalili hizo nne, nitoe mapendekezo yangu hapa chini.
  1. download apps zako toka google playstore au app store tu
  2. achana na mods app kama vile GBwhatsapp, una hatarisha usalama wako. Tumia apps official tu.
  3. Usiguse link yoyote ambayo umetumiwa na hujui kazi kazi yake, kabla ya kugusa hakikisha umepewa maelezo ya kina na jiridhishe pia, na usiwe na tamaa, wengi wamedakwa kwa tamaa zao.
  4. kuduka simu ya mtu ni makosa kwa sheria ya Tanzania, hivyo jiepushe na kudukua simu ya mwenza wako wako maana inaweza pelekea ukapata kesi ya makosa ya kimtandao
  5. nunua simu official kila inapobidi (hasa samsung) zipo simu nyingi mtaani ziko "uchi" hazina ulinzi wowote kiasi kwamba mtu anaweza ingia kwenye simu yako na kufanya chochote.
  6. jiepushe na wi-fi za bure zingine ni mitego, ukiunga mtu anaweza pata access ya simu yako, pale juu nimekwambia kuna aina nyingi za udukuzi.
Ndugu zangu, hayo ndo maoni yangu, kama kuna uanchojua zaidi ya hayo tujuzane hapa ili tusaidie na wengine taarifa zao zibaki salama.

Naomba kuwasilisha.
Naomba nisaidie cha kufanya.... Nimeangalia simu yangu inaonyesha kile umesema hapo juu.


Asante
 

Attachments

  • 1707317972323.jpg
    1707317972323.jpg
    5.5 KB · Views: 10
  • 1707320725271.jpg
    1707320725271.jpg
    16.7 KB · Views: 9
Bongo watu wakijua namba yako tu tayari mawasiliano yako wanayo
 
Naomba nisaidie cha kufanya.... Nimeangalia simu yangu inaonyesha kile umesema hapo juu.


Asante
Hapo mbona kuna icon ya "on going call" kwamba wakati unapiga hii screenshot kuna simu ulikuwa unaongea nayo au unapiga, kama ni hivyo basi hiyo ndio sababu ya kuonekana kwa hiyo icon ya kijani
 
Back
Top Bottom