miamiatz
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 505
- 941
Back up vitu vya msingi piga chini os. Ikiendelea basi ujue muhusiia anatumia remote access sio local access japo sidhani kama kuna mtu anaweza kwenda mbali zaidi kiasi cha kutumia remote access labda kama upo idara nyeti ama mabenki yana huo mchezo pia kwa staff nyeti na pia wanasiasa wanadukuliwa remotely.Haya sasa dawa ni nn kuondosha hili kama nadukuliwa!??[emoji2]