Back up vitu vya msingi piga chini os. Ikiendelea basi ujue muhusiia anatumia remote access sio local access japo sidhani kama kuna mtu anaweza kwenda mbali zaidi kiasi cha kutumia remote access labda kama upo idara nyeti ama mabenki yana huo mchezo pia kwa staff nyeti na pia wanasiasa wanadukuliwa remotely.Haya sasa dawa ni nn kuondosha hili kama nadukuliwa!??[emoji2]
Pw bossBack up vitu vya msingi piga chini os. Ikiendelea basi ujue muhusiia anatumia remote access sio local access.
Inamaanisha earphone inai keep busy MIC so sidhani kama kuna shida hapo.Mimi nikitumia earphone juu kunakua kunajitokeza kitufe Cha kijani mic na nikikata mazungumzo kinakata ,na nisipotumia earphone hali hiyo haijitokezi ,hapa inakuaje
Elimu nzuri.Back up vitu vya msingi piga chini os. Ikiendelea basi ujue muhusiia anatumia remote access sio local access japo sidhani kama kuna mtu anaweza kwenda mbali zaidi kiasi cha kutumia remote access labda kama upo idara nyeti ama mabenki yana huo mchezo pia kwa staff nyeti na pia wanasiasa wanadukuliwa remotely.
Hakuna shida kwakoMimi nikitumia earphone juu kunakua kunajitokeza kitufe Cha kijani mic na nikikata mazungumzo kinakata ,na nisipotumia earphone hali hiyo haijitokezi ,hapa inakuaje
Ushachezea za mbavuKwahiyo mkuu, mfano mimi hapo inamaana nimewekwa kati ama!?View attachment 2561113
Hakuna simu ambayo haidukuliwi mzeeSio kila simu
Njia ya forwarding na crm, na crm inapatikana kwenye mtandao husika, hii ni records za simu na text ulituma na kutumiwa. Ukiona mtu anazo high probable umechomeshwaVipi ambao tunatumia simu za button tunaweza dukuliwa pia? Kwa namba yako ya simu pekee?
Sent using Jamii Forums mobile app
Udukuzi wake ni mgumu sana ila inadukulika kwa ku intercept mawasiliano.Vipi ambao tunatumia simu za button tunaweza dukuliwa pia? Kwa namba yako ya simu pekee?
Sent using Jamii Forums mobile app
Zipo au unataka nizitaje moja baada ya nyingine?Hakuna simu ambayo haidukuliwi mzee
Picha mkuu! Fahari ya macho! Hapo naona kama majina ya madawa pharmacy[emoji16]Zipo au unataka nizitaje moja baada ya nyingine?
✓OnePlus 8/8T, 9/9 Pro and 10 Pro
✓Blackphone PRIVY
✓Purism Librem 5
✓Intact Phone Arcane – Data Castle
✓Intact Phone bond – Cyber Crime Protection
✓Darkmatter Katim Phone
✓IntactPhone R2
✓Bittium Tough Mobile
✓Bittium Tough Mobile 2 – Encryption Empire
✓Finney U1 – Swiss-made
✓Silent Circle Blackphone v2 – Stealth and Private
✓Blackberry DTEK50
HAZIDUKULIWI NG'O
Natumia OnePlus 10 Pro 5G. Kuonesha kuwa ni rahisi nimeroot kabisaaa.Zipo au unataka nizitaje moja baada ya nyingine?
✓OnePlus 8/8T, 9/9 Pro and 10 Pro
✓Blackphone PRIVY
✓Purism Librem 5
✓Intact Phone Arcane – Data Castle
✓Intact Phone bond – Cyber Crime Protection
✓Darkmatter Katim Phone
✓IntactPhone R2
✓Bittium Tough Mobile
✓Bittium Tough Mobile 2 – Encryption Empire
✓Finney U1 – Swiss-made
✓Silent Circle Blackphone v2 – Stealth and Private
✓Blackberry DTEK50
HAZIDUKULIWI NG'O
Hujanielewa bado basi endelea kubishaNatumia OnePlus 10 Pro 5G. Kuonesha kuwa ni rahisi nimeroot kabisaaa.
Nambie kimebaki nini hapo, kama nimeweza root?View attachment 2563053View attachment 2563054
Na kwenye orodha ya simu ulizoweka, hakuna ambayo haidukuliwi kwa taarifa yako.Zipo au unataka nizitaje moja baada ya nyingine?
✓OnePlus 8/8T, 9/9 Pro and 10 Pro
✓Blackphone PRIVY
✓Purism Librem 5
✓Intact Phone Arcane – Data Castle
✓Intact Phone bond – Cyber Crime Protection
✓Darkmatter Katim Phone
✓IntactPhone R2
✓Bittium Tough Mobile
✓Bittium Tough Mobile 2 – Encryption Empire
✓Finney U1 – Swiss-made
✓Silent Circle Blackphone v2 – Stealth and Private
✓Blackberry DTEK50
HAZIDUKULIWI NG'O
Nimekwambia bado haujanielewa ukinielewa utaacha kubishaNa kwenye orodha ya simu ulizoweka, hakuna ambayo haidukuliwi kwa taarifa yako.
Ila, kuna kitu kimoja kwenye haya mambo, kuna simu ambazo watu hawatilii mkazo, kwa mfano windows phone, blackberry, symbian...zilishapita na wakati ila mtu akikutaka akikutafuta ukijaa anadukua
Hizo One Plus ulizozitaja zinadukuliwa tena kirahisi kama ilivyo kwa simu nyingine za AndroidZipo au unataka nizitaje moja baada ya nyingine?
✓OnePlus 8/8T, 9/9 Pro and 10 Pro
✓Blackphone PRIVY
✓Purism Librem 5
✓Intact Phone Arcane – Data Castle
✓Intact Phone bond – Cyber Crime Protection
✓Darkmatter Katim Phone
✓IntactPhone R2
✓Bittium Tough Mobile
✓Bittium Tough Mobile 2 – Encryption Empire
✓Finney U1 – Swiss-made
✓Silent Circle Blackphone v2 – Stealth and Private
✓Blackberry DTEK50
HAZIDUKULIWI NG'O
Nimesema haujaelewa ukielewa hutabishaHizo One Plus ulizozitaja zinadukuliwa tena kirahisi kama ilivyo kwa simu nyingine za Android