Ukiona hauwezi kurudia round ya pili ujue tatizo ni hili

Ukiona hauwezi kurudia round ya pili ujue tatizo ni hili

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Wataalam wanasema round ya kwanza inaamuliwa na MWANAMUME ila round zingine zooote zinazofuata zinaamuliwa na MWANAMKE.

Kwahiyo ukiona unaenda vizuri round ya kwanza lakini baada ya hapo hauwezi kuendelea au unakinai tendo basi ujue tatizo lipo kwa huyo baby wako.

Kama baby wako amenyooka vizuri utashangaa tu wewe mwenyewe umeshafika round ya 5 au 6 huko na bado mnara unasoma.

Take it or leave it📌📌📌🔨🔨🔨
 
Wataalam wanasema round ya kwanza inaamuliwa na MWANAMUME ila round zingine zooote zinazofuata zinaamuliwa na MWANAMKE.

Kwahiyo ukiona unaenda vizuri round ya kwanza lakini baada ya hapo hauwezi kuendelea au unakinai tendo basi ujue tatizo lipo kwa huyo baby wako.

Kama baby wako amenyooka vizuri utashangaa tu wewe mwenyewe umeshafika round ya 5 au 6 huko na bado mnara unasoma.

Take it or leave it📌📌📌🔨🔨🔨
Nadhani mimi ni mwanaume dhaifu, sijawahi kufika round 6, tena mnara ubaki unasoma. Mimi ni mgonjwa na sina mpango wa tiba

Ama inawezekana mimi ni mzima ila hizi story za kudhania za round 6 na zaidi zinacheza na saikolojia yangu
 
Nadhani mimi ni mwanaume dhaifu, sijawahi kufika round 6, tena mnara ubaki unasoma. Mimi ni mgonjwa na sina mpango wa tiba

Ama inawezekana mimi ni mzima ila hizi story za kudhania za round 6 na zaidi zinacheza na saikolojia yangu
kiongozi itakuwa bado hujafikiwa.

Trust me, ukifikiwa hayo yooote niliyoandika hapo yanawezekana na hata zaidi ya hapo.

memba wengine watakushudia zaidi hapa.
 
Hizi story ndizo zinawafanya baadhi ya wanaume washindwe kujiamini kitandani, hivi hizo bao 4,5 au sita unataka kuvumbua nini? Au ndio zile bao za jogoo? Hivi kweli bao la kwanza utumie dakika 30 mpaka 40 then la pili liende saa nzima kisha useme utapiga bao 4 au 5? May be unaongelea mchepuko mnaekutana mara moja kwa mwezi ila sio kwa mke mmeishi miaka mitano na kuendelea.
 
Nadhani mimi ni mwanaume dhaifu, sijawahi kufika round 6, tena mnara ubaki unasoma. Mimi ni mgonjwa na sina mpango wa tiba

Ama inawezekana mimi ni mzima ila hizi story za kudhania za round 6 na zaidi zinacheza na saikolojia yangu
Mimi huwa najiuliza hivi hizo 5 sijui 6 unazifikishaje non stop au ndio zile kila baada ya dk 5 bao.
 
Back
Top Bottom