Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Wewe uvivu umeacha?Wanawake wavivu kitandani watabisha...
Nadhani mimi ni mwanaume dhaifu, sijawahi kufika round 6, tena mnara ubaki unasoma. Mimi ni mgonjwa na sina mpango wa tibaWataalam wanasema round ya kwanza inaamuliwa na MWANAMUME ila round zingine zooote zinazofuata zinaamuliwa na MWANAMKE.
Kwahiyo ukiona unaenda vizuri round ya kwanza lakini baada ya hapo hauwezi kuendelea au unakinai tendo basi ujue tatizo lipo kwa huyo baby wako.
Kama baby wako amenyooka vizuri utashangaa tu wewe mwenyewe umeshafika round ya 5 au 6 huko na bado mnara unasoma.
Take it or leave itππππ¨π¨π¨
We mzima ila hujiamini...Nadhani mimi ni mwanaume dhaifu, sijawahi kufika round 6, tena mnara ubaki unasoma. Mimi ni mgonjwa na sina mpango wa tiba
Ama inawezekana mimi ni mzima ila hizi story za kudhania za round 6 na zaidi zinacheza na saikolojia yangu
Kwani nwisho ngapi,nbona wewoRound ya 1 2 3 4 5 6 dah muwe na usiku mwema.
kiongozi itakuwa bado hujafikiwa.Nadhani mimi ni mwanaume dhaifu, sijawahi kufika round 6, tena mnara ubaki unasoma. Mimi ni mgonjwa na sina mpango wa tiba
Ama inawezekana mimi ni mzima ila hizi story za kudhania za round 6 na zaidi zinacheza na saikolojia yangu
Nawaza hizo round na kila round ni muda gani unatumika mpaka mtu anafika round sitaKwani nwisho ngapi,nbona wewo
Demu mpya ukiwa below 30 huna madeni,akija jioni kulala mpaka asubuhi round 6 ni sawaNawaza hizo round na kila round ni muda gani unatumika mpaka mtu anafika round sita
Mwanamke anayekutengea. Huwezi kumridhisha milele. Mapenzi hisiaround moja inatosha Kutungisha mimba, Kukupa hiv, kaswende, ghono ila haiwezi kumridhisha. Za kuambiwa changanya na zako.
Mimi huwa najiuliza hivi hizo 5 sijui 6 unazifikishaje non stop au ndio zile kila baada ya dk 5 bao.Nadhani mimi ni mwanaume dhaifu, sijawahi kufika round 6, tena mnara ubaki unasoma. Mimi ni mgonjwa na sina mpango wa tiba
Ama inawezekana mimi ni mzima ila hizi story za kudhania za round 6 na zaidi zinacheza na saikolojia yangu