Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halo😅🤣.....Futa namba yangu ilihali mi n new namba
Niambie..wanasemaje huko
hahaha! unakuta hapo ana dakika hata 100 anaona zinakaribia kukata anapiga zisiende bureNilishawahi kipigiwa simu na mtu ambaye hana hoja tuliongea weeee! Tulipokaribia kumaliza kuongeza tukaanza kuagana kama hivi:-
MIMI: Basi freshi mkuu.
YEYE: Hamna Noma mshikaji.
MIMI: Ok.
YEYE: Usiku mwema.
MIMI: Na kwako pia.
YEYE: Na kwa familia yako.
MIMI: Kabisa.
YEYE: Ndo hivyo.
MIMI: Hivyoje.
YEYE: Hivyo.
.................
Tuliendelea kuagana mpaka dakika zake zilipoisha, duh... Ila watu wengine!
afu yeye kaanza kukutafuta,mi hua nasema usiku mwema hatakama ni mchana, akisema nambie means umwambie lolote.Niambie..
Ni hatari,ogopaaaaaaaahahahaha makasiriko pro max ultra
Ha haaa inachosha sana...afu yeye kaanza kukutafutai hua nasema usiku mwema hatakama ni mchana, akisema nambie means umwambie lolote.
Kama ni mwanamke akisema NAMBIE means amekupa uwanja mpana ufunguke(umepewa nafasi ya dhahabu),sasa wewe unaishia kujikanyaga kanyaga tuafu yeye kaanza kukutafuta,mi hua nasema usiku mwema hatakama ni mchana, akisema nambie means umwambie lolote.
na kama ni mwanaume kanipa uwanja wa kuomba helaKama ni mwanamke akisema NAMBIE means amekupa uwanja mpana ufunguke(umepewa nafasi ya dhahabu),sasa wewe unaishia kujikanyaga kanyaga tu
Yes kabisa sa unakuta mtu kapata nafasi ya wazi hii apa kabisa anaishia kujikanyaga kanyaga kama ng'ombe,dah upewe ninina kama ni mwanaume kanipa uwanja wa kuomba hela
yeye(mwanamke): nambieafu yeye kaanza kukutafuta,mi hua nasema usiku mwema hatakama ni mchana, akisema nambie means umwambie lolote.
Hapa ndo wanaume tunakulaga kimasiharaafu yeye kaanza kukutafuta,mi hua nasema usiku mwema hatakama ni mchana, akisema nambie means umwambie lolote.
Hahahaha naanza kulifanyia kazi leo hiiYes kabisa sa unakuta mtu kapata nafasi ya wazi hii apa kabisa anaishia kujikanyaga kanyaga kama ng'ombe,dah upewe nini
🤣🤣🤣🤣🤣Hapa ndo wanaume tunakulaga kimasihara
Hahahaha 🤣 😂,,moyo una side 4 kwaio akupe mojayeye(mwanamke): nambie
mimi: nikwambie nini
yeye: chochote tu
mimi: nipe nafasi kwenye moyo wako
yeye: hapana moyo wangu nishampa mwingine
mimi: basi niweke kichwani najua hamna kitu
Sawa mkuuHahahaha naanza kulifanyia kazi leo hii
Mambo mengi?😀Mnatunyima nini huko?