Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imagine kizazi cha namna hii! Hivi mtu anayetafuta likes maisha yake yakoje?! Uwekwe kwenye status ili iweje?!Hivi kumbe watu kama nyie mpo, mnaoishi kwa kujali likes? Yaani unadefine maisha Yako kwa kuangalia watu wangapi wanalike kile unachoandika?
Huu ni utoto. Maisha Yako ni Mali yako mwenyewe bila kujali wengine wanakuchukuliaje. Jitahidi tu kuwa 'a responsible citizen '.
Kwanini usiwapigie wewe?Kuhusu likes, kuwekwa status na coments kwenye sosho media sijali sana. Ila I am experiencing this currently simu yangu yangu haiiti kabisa yaani kabisa, imefika hatua mpaka nimesahau ringtone ya simu yangu, wacheni masihala jameni.
It seems hujapitia maisha ya kufulia wewe, usingeuliza hilo swaliKwanini usiwapigie wewe?
Kukosa thamani kwa watu sio shida,provided Mungu wangu aliyeniumba bado ananithamini mimi kiumbe wake dhaifu na hivyo kuendelea kunizawadia Uhai,Afya na nguvu za kutafuta chapaa,ninafuraha tele.Ukitaka kujua watu wanakuchukulia vipi pindi umeishiwa au umefulia kabisa simu yako haipigiwi kama zamani, hata wale matapeli wa tuma namba hii nao wananyamaza.
Kwenye mitandao ya kijamii napo ukipost unaweza kukuta like chache tena za wasiokufahamu.
Kipimo cha maisha yako kwa sasa ni kidigitali.
wewe unatafutwa kwa njia hipi au kukujua ulipo kwa dunia ya sasa mfano ndo msanii wa nyimboIQ ndogo sana mleta mada
uewelewa wako bado ni mdogo .mbona unamfatilia rafiki yako aliyopo nje ya nchi na kila analofanya na kujibu au kumpigia .angekuwa ana jipya ungemfatiliaHuwezi linganisha thamani ya mtu na mambo ya mitandao yakijamii.... umetumia IQ ndogo sanaa..
Coz mitandao ya ngono ndo inaongoza kuwa na wafuasi wengi na likes za kutosha huko. Je kwa apo utaseamaje?
Yaani kuna watu mpaka wana umwa mimi nilibahatika kukaa na demu mmoja pale dodoma na baadhi ya washikaji yaani yule demu siku namkuta ana mawazo na hayupo sawa nikamuuliza kulikoni akasema ilikuwa birthday yake ila watu hawaja mpost wakati yeye ana wapost za kwao yaani hakuwa sawa na ametuma picha like chache na comment tokea siku hyo nikaacha mambo ya kuwa serious kwenye social platforms sipost nna mwaka wa 5 huu sijawahi post anything kwenye Facebook wala Instagram zaidi ya kubadilisha profile na nikaondoa notifications za birthday.Hivi kumbe watu kama nyie mpo, mnaoishi kwa kujali likes? Yaani unadefine maisha Yako kwa kuangalia watu wangapi wanalike kile unachoandika?
Huu ni utoto. Maisha Yako ni Mali yako mwenyewe bila kujali wengine wanakuchukuliaje. Jitahidi tu kuwa 'a responsible citizen '.
I can't argue with an adolescent.uewelewa wako bado ni mdogo .mbona unamfatilia rafiki yako aliyopo nje ya nchi na kila analofanya na kujibu au kumpigia .angekuwa ana jipya
NakaziaIQ ndogo sana mleta mada
we kazia umuone ex wako anavo kuumiza kwenye digitali siku ya wapendao kwani unamfata kwakeNakazia
NI vitu ambavyo binafsi silazimishiUkitaka kujua watu wanakuchukulia vipi pindi umeishiwa au umefulia kabisa simu yako haipigiwi kama zamani, hata wale matapeli wa tuma namba hii nao wananyamaza.
Kwenye mitandao ya kijamii napo ukipost unaweza kukuta like chache tena za wasiokufahamu.
Kipimo cha maisha yako kwa sasa ni kidigitali.
Sasa ex nae ana thamani ganiwe kazia umuone ex wako anavo kuumiza kwenye digitali siku ya wapendao kwani unamfata kwake
kwani wasanii na doto magari kajijuaje kwa sasaHuwezi linganisha thamani ya mtu na mambo ya mitandao yakijamii.... umetumia IQ ndogo sanaa..
Coz mitandao ya ngono ndo inaongoza kuwa na wafuasi wengi na likes za kutosha huko. Je kwa apo utaseamaje?
subiri uwe tajiri .huna baya lazima tukupost kama tabia za wana ccm kusifia kwanza raisi mama awatambueUpumbavu wa kuwekana status upo huko Dsm. Mimi ukiniweka status tunakosana