Ukiona hupigiwi simu, status huwekwi, huna likes kwenye mtandao ya kijamii ujue thamani yako imeisha

Ukiona hupigiwi simu, status huwekwi, huna likes kwenye mtandao ya kijamii ujue thamani yako imeisha

Ukitaka kujua watu wanakuchukulia vipi pindi umeishiwa au umefulia kabisa simu yako haipigiwi kama zamani, hata wale matapeli wa tuma namba hii nao wananyamaza.

Kwenye mitandao ya kijamii napo ukipost unaweza kukuta like chache tena za wasiokufahamu.

Kipimo cha maisha yako kwa sasa ni kidigitali.
Sio kweli.

Hata Malaya wana likes nyingi na comments nyingi ila thamani Yao ndogo.

Utakuta mtu ana wadhifa wake bosi mkubwa tu ila ana followers wachache, akipost anapata likes chache.
 
Back
Top Bottom