mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
hakuna cha userious, haturudi nyumaπUjakutana na mtu ambaye yupo serious mbona utamwonea huruma wewe
vimejaa mkuu nimesoma dozen havisaidii chochote πUshauri wangu Infinite_Kiumeni andika kitabu kiingie sokoni
Usiongee sana bado ujawa muhanga wewe...hakuna cha userious, haturudi nyumaπ
we jichanganye uone....Usiongee sana bado ujawa muhanga wewe...
π€£ Hayana mwongozo hizo ni theories tu hazina impact ila anaweza kuwapata wanaopenda hizo theories. Mchongo mwanamume ni kuwa na kibunda tuvimejaa mkuu nimesoma dozen havisaidii chochote π
Unakuta hata milion moja bank hanaπanakuna tu pumbu kwenye kochi la shemeji yakeIla we jamaa akili yako inawazaga mapenzi tu
labda kweli sijakutana na mtu wa hivyo π, lakini mapenzi ni yaleyale tuπ€Ujakutana na mtu ambaye yupo serious mbona utamwonea huruma wewe
Mara ngapi sasa....we jichanganye uone....
πππππWanaojua wamepiga kimya, wasiojua wanaongea..... Uliwahi kusikia wapi kauli kama hiii
hahahaha π ππUnakuta hata milion moja bank hanaπanakuna tu pumbu kwenye kochi la shemeji yake
π€£ π€£ π aiseeUnakuta hata milion moja bank hanaπanakuna tu pumbu kwenye kochi la shemeji yake
oya unatumia lugha kali.... π
πππKaka karibu kariakoo Leo hamna kazi wachina wamefunga maduka tunakesha tu humuπππππ
π€£ π€£ π aise
Ulichapiwa nini?Kwangu alijaribu karibia yote hayo ila alishindwa kuuconvice tena moyo wangu kurudiana nae.
me ni ke bhana,ππππKaka karibu kariakoo Leo hamna kazi wachina wamefunga maduka tunakesha tu humu