Ukiona kiongozi anajisifia mwenyewe,kuwa yeye ndio amekijenga CHADEMA kuliko wengine atakuwa anashida fulani.

Ukiona kiongozi anajisifia mwenyewe,kuwa yeye ndio amekijenga CHADEMA kuliko wengine atakuwa anashida fulani.

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Jamani napata shida sana,kusikia Mbowe anasema yeye ndio amekijenga CHAMA, eti kwa fedha, mawazo,nk, nijuacho mm kiongozi mzuri na mwenye hekima hawezi kusema yeye ndio umekikuza CHAMA na kukijenga
CHAMA ni tasisi, ambayo inajengwa na watu mbalilmbali ndani ya nchi na nje, watu wanatoa michango ya kifedha, kimbinu, mawazo, ushauli wanaweza kuwa wanachama au sio wanachama cha chadema, wapenda mabadiliko, wanaharakati, wanasiasa, wasio na CHAMA nk,
Mfano chadema kuanzia mwaka 2015 kuna wanachama wengi wamekufa ,wametekwa, wamefungwa magerezani mpaka leo wapo huko, wamepoteza kaz zao, wamefilisiwa kiuchumi, wamepotea, wamekuwa vilema, wamekimbia nchi, ndoa zao zimevunjika,wametengwa na familia zao, mfano nzuri wakina hazole, soka, sativa, mzee kibao, roma, Lema,sugu, mdude ,wenje, list ni ndefu sana tena sanaaaa huyu lisu anatembea na risasi mwilini mwake kwa ssb ya kukipigania CHAMA cha chadema. Jamani mbowe haupaswi kusema wewe ndio uliekipigania CHAMA hivyo unahati miliki ya chadema .sio kweli utakuwa unakose sana.tena sanaaa
Chadema ni CHAMA cha watanzania wote, wote wanamchango mkubwa sana katika kukijenga na kukikuza CHAMA hicho. Kama busara na hekima ukusaidie kujua kuwa wanachadema na watanzania wameamua kuwa sasa ukae pembeni, ingawa na wewe ni miongoni mwa watu WALIO toa michango mkubwa,lakin hii haimanishi kuwa wewe ndio mmiliki wa CHADEMA ACHA EGOISM. ni zamu ya dereva mwingine ambae ni Tundu lisu kuendesha hili gari muhimu sana kuelekea kuikomboa Tanzania ktk mikono ya mafisadi, na machawa. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
 
Inaonekana hii ni biashara, sio huduma tena..

mbona wanagombana wenyewe kwa wenyewe?

kuna nini?
 
Halafu anatamka bila haya kuwa "nikiona chama changu kinazama nitaingia front mwenyewe".

Ebo! Chama chake? Ni kweli hiki chama ni mali yake binafsi??
 
Halafu anatamka bila haya kuwa "nikiona chama changu kinazama nitaingia front mwenyewe".

Eboo! Chama chako? Ni kweli hiki chama ni mali yako binafsi??
Atuombe msamaha watanzania
 
Kama wanachama waliomo sasa karibu wote wamemkuta ana haki ya kusema hivyo.
 
CHADEMA ni mali binafsi ya Mbowe full stop!!... Kila tukiwaambia mnatujibu kunya leo hii mnalialia mtu anapopigana asipokonywe chama chake alichorithishwa na baba mkwe. Lissu akusanye wanyaturu wenzake waunde chama chao. Ila CHADEMA inamhusu Mbowe na wachaga wenzake. Wengine wote ni watu baki. HAIWAHUSU.
 
Jamani napata shida sana,kusikia Mbowe anasema yeye ndio amekijenga CHAMA, eti kwa fedha, mawazo,nk, nijuacho mm kiongozi mzuri na mwenye hekima hawezi kusema yeye ndio umekikuza CHAMA na kukijenga
CHAMA ni tasisi, ambayo inajengwa na watu mbalilmbali ndani ya nchi na nje, watu wanatoa michango ya kifedha, kimbinu, mawazo, ushauli wanaweza kuwa wanachama au sio wanachama cha chadema, wapenda mabadiliko, wanaharakati, wanasiasa, wasio na CHAMA nk,
Mfano chadema kuanzia mwaka 2015 kuna wanachama wengi wamekufa ,wametekwa, wamefungwa magerezani mpaka leo wapo huko, wamepoteza kaz zao, wamefilisiwa kiuchumi, wamepotea, wamekuwa vilema, wamekimbia nchi, ndoa zao zimevunjika,wametengwa na familia zao, mfano nzuri wakina hazole, soka, sativa, mzee kibao, roma, Lema,sugu, mdude ,wenje, list ni ndefu sana tena sanaaaa huyu lisu anatembea na risasi mwilini mwake kwa ssb ya kukipigania CHAMA cha chadema. Jamani mbowe haupaswi kusema wewe ndio uliekipigania CHAMA hivyo unahati miliki ya chadema .sio kweli utakuwa unakose sana.tena sanaaa
Chadema ni CHAMA cha watanzania wote, wote wanamchango mkubwa sana katika kukijenga na kukikuza CHAMA hicho. Kama busara na hekima ukusaidie kujua kuwa wanachadema na watanzania wameamua kuwa sasa ukae pembeni, ingawa na wewe ni miongoni mwa watu WALIO toa michango mkubwa,lakin hii haimanishi kuwa wewe ndio mmiliki wa CHADEMA ACHA EGOISM. ni zamu ya dereva mwingine ambae ni Tundu lisu kuendesha hili gari muhimu sana kuelekea kuikomboa Tanzania ktk mikono ya mafisadi, na machawa. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
Ni kweli chama hakikujengwa na yeye peke yake. Wabunge machachari wa chadema enzi hizo walisaidia Sana chadema kupendwa na kupata wanachama.
Lakini bado nafasi yake Kama mwenyekiti wa chama ana nafasi yake kubwa pia katika kukijenga pasipo kuchukua credit zote
 
Ujumbe umefika mkuu, au ww ndio mbowe
Mimi Wala Sikusema Ya Kwamba Ujumbe Haukufika,,La Hasha Ujumbe Umefika Lakini Si Mbaya,,na Wala Si Dhambi Au Ni Kosa Kisheria Ujumbe Uliokwisha fika Kufanyiwa Marekebisho Kama Unahitaji Marekebisho Iwe Ya Lazima Au Kivingine,,,La Pili,,Mimi Sio Mbowe,,Mimi Ni Boni Yai
 
Jamani napata shida sana,kusikia Mbowe anasema yeye ndio amekijenga CHAMA, eti kwa fedha, mawazo,nk, nijuacho mm kiongozi mzuri na mwenye hekima hawezi kusema yeye ndio umekikuza CHAMA na kukijenga
CHAMA ni tasisi, ambayo inajengwa na watu mbalilmbali ndani ya nchi na nje, watu wanatoa michango ya kifedha, kimbinu, mawazo, ushauli wanaweza kuwa wanachama au sio wanachama cha chadema, wapenda mabadiliko, wanaharakati, wanasiasa, wasio na CHAMA nk,
Mfano chadema kuanzia mwaka 2015 kuna wanachama wengi wamekufa ,wametekwa, wamefungwa magerezani mpaka leo wapo huko, wamepoteza kaz zao, wamefilisiwa kiuchumi, wamepotea, wamekuwa vilema, wamekimbia nchi, ndoa zao zimevunjika,wametengwa na familia zao, mfano nzuri wakina hazole, soka, sativa, mzee kibao, roma, Lema,sugu, mdude ,wenje, list ni ndefu sana tena sanaaaa huyu lisu anatembea na risasi mwilini mwake kwa ssb ya kukipigania CHAMA cha chadema. Jamani mbowe haupaswi kusema wewe ndio uliekipigania CHAMA hivyo unahati miliki ya chadema .sio kweli utakuwa unakose sana.tena sanaaa
Chadema ni CHAMA cha watanzania wote, wote wanamchango mkubwa sana katika kukijenga na kukikuza CHAMA hicho. Kama busara na hekima ukusaidie kujua kuwa wanachadema na watanzania wameamua kuwa sasa ukae pembeni, ingawa na wewe ni miongoni mwa watu WALIO toa michango mkubwa,lakin hii haimanishi kuwa wewe ndio mmiliki wa CHADEMA ACHA EGOISM. ni zamu ya dereva mwingine ambae ni Tundu lisu kuendesha hili gari muhimu sana kuelekea kuikomboa Tanzania ktk mikono ya mafisadi, na machawa. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
 

Attachments

  • images (4).jpeg
    images (4).jpeg
    6.6 KB · Views: 3
Kwani uongo ?? Ni kweli mwamba kakijenga CHADEMA ni ukweli hata wewe unaujua !
Sasa utakubali vipi mpuuzi mmoja na wenzie waje wajidai eti watakiendeleza ?? Mbona hakikufa wakati anazurura huko ulaya wakati Mbowe akikihangaikia nchi nzima ??? Huyo Lissu mchango wake kwa CHADEMA ni mdogo saana labda kupata umaarufu kupitia mgongo wa CHADEMA !
 
Na mchango wa Mbowe kupipa pesa kupitia mgongo wa chadema
 
Kweli siasa mchezo mchafu ! Hivi kweli huyu Lissu wakutoka na kuanza kusemasema ovyo na vibaya kumhusu mwenyekiti wake ALIEJITAHIDI KUOKOA MAISHA YAKE ! Huyu Lissu huyu ! Kweli binadamu hawana shukrani !
Yote ni tamaa tu ya madaraka na mali ! Sasa Mbowe muonyeshe kazi huyo Mnyampaa ! Mwambie kama uliweza kumpeleka Nairobi akiwa mahtuti mkiwa na mpagazi akiwa ameshikilia zile chupa basi wewe ndiyo muongoza njia na yeye na wengine woote watafuata !
 
Jamani napata shida sana,kusikia Mbowe anasema yeye ndio amekijenga CHAMA, eti kwa fedha, mawazo,nk, nijuacho mm kiongozi mzuri na mwenye hekima hawezi kusema yeye ndio umekikuza CHAMA na kukijenga
CHAMA ni tasisi, ambayo inajengwa na watu mbalilmbali ndani ya nchi na nje, watu wanatoa michango ya kifedha, kimbinu, mawazo, ushauli wanaweza kuwa wanachama au sio wanachama cha chadema, wapenda mabadiliko, wanaharakati, wanasiasa, wasio na CHAMA nk,
Mfano chadema kuanzia mwaka 2015 kuna wanachama wengi wamekufa ,wametekwa, wamefungwa magerezani mpaka leo wapo huko, wamepoteza kaz zao, wamefilisiwa kiuchumi, wamepotea, wamekuwa vilema, wamekimbia nchi, ndoa zao zimevunjika,wametengwa na familia zao, mfano nzuri wakina hazole, soka, sativa, mzee kibao, roma, Lema,sugu, mdude ,wenje, list ni ndefu sana tena sanaaaa huyu lisu anatembea na risasi mwilini mwake kwa ssb ya kukipigania CHAMA cha chadema. Jamani mbowe haupaswi kusema wewe ndio uliekipigania CHAMA hivyo unahati miliki ya chadema .sio kweli utakuwa unakose sana.tena sanaaa
Chadema ni CHAMA cha watanzania wote, wote wanamchango mkubwa sana katika kukijenga na kukikuza CHAMA hicho. Kama busara na hekima ukusaidie kujua kuwa wanachadema na watanzania wameamua kuwa sasa ukae pembeni, ingawa na wewe ni miongoni mwa watu WALIO toa michango mkubwa,lakin hii haimanishi kuwa wewe ndio mmiliki wa CHADEMA ACHA EGOISM. ni zamu ya dereva mwingine ambae ni Tundu lisu kuendesha hili gari muhimu sana kuelekea kuikomboa Tanzania ktk mikono ya mafisadi, na machawa. Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.
CCM Mnahangaika sana na kuiogopa CDM sana, tulieni.
 
Back
Top Bottom