Uongo.Ccm na mbowe lao moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo.Ccm na mbowe lao moja
Mbowe anatakiwa aachane na uenyekiti, kwa miaka raidi ya 20 aliyohudumu kwenye nafasi hiyo inatosha.Kweli siasa mchezo mchafu ! Hivi kweli huyu Lissu wakutoka na kuanza kusemasema ovyo na vibaya kumhusu mwenyekiti wake ALIEJITAHIDI KUOKOA MAISHA YAKE ! Huyu Lissu huyu ! Kweli binadamu hawana shukrani !
Yote ni tamaa tu ya madaraka na mali ! Sasa Mbowe muonyeshe kazi huyo Mnyampaa ! Mwambie kama uliweza kumpeleka Nairobi akiwa mahtuti mkiwa na mpagazi akiwa ameshikilia zile chupa basi wewe ndiyo muongoza njia na yeye na wengine woote watafuata !