Ukiona kiongozi anajisifia mwenyewe,kuwa yeye ndio amekijenga CHADEMA kuliko wengine atakuwa anashida fulani.

Mbowe anatakiwa aachane na uenyekiti, kwa miaka raidi ya 20 aliyohudumu kwenye nafasi hiyo inatosha.
Awapishe na wenzake waendeleze kijiti.
Kupingana na ukweli ni kujichimbia anguko yeye mwenyewe.
Heshima aliyoijenga kwa miaka mingi ataipoteza na kuonekana mroho wa madaraka na dikteta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…