GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
99.999% ya Watendaji wa SSIT na hata Boss wao Mkuu Kikatiba na Kiuteuzi huutegemea huu Mtandao na huwa tupo nao hapa JamiiForums 24/7.Ni kweli, inaonekana watendaji serikalini huwa wanadai kufuatilia huu mtandao kwa mengi, japo sisi humu ndani huwa tunashangilia ufuatiliaji wao kumbe wakati mwingine wenzetu huwa na yao kichwani.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Ni lini pia mtajijadili na Mimi Kalemera Rwigyema Mazimpaka Kadogoo Kisungura ( GENTAMYCINE ) kwani muda wowote Mama anataka Kuniteua nimsaidie mahala.Ni mojawapo ya mbinu za kufanya vetting.
Ukiweka jina la mtu humu potential candidate.......wataweka mpaka mademu zake wa zamoni.
Kama mtu ni mwema au mbaya utajua tu
Kuna mifano mingi inaonesha TZ hakuna vetting99.999% ya Watendaji wa SSIT na hata Boss wao Mkuu Kikatiba na Kiuteuzi huutegemea huu Mtandao na huwa tupo nao hapa JamiiForums 24/7.
Na nasikia kuna Member Mmoja hapa JamiiForums ( kwa sasa nimemsahau Jina ) alimsakama sana kwa Threads kadhaa na Kweli akakosa / akaukosa.Kikeke alitajwa tajwa sana kwenye uteuzi fulani, jamaa akaukosa
OSINTNi kweli, inaonekana watendaji serikalini huwa wanadai kufuatilia huu mtandao kwa mengi, japo sisi humu ndani huwa tunashangilia ufuatiliaji wao kumbe wakati mwingine wenzetu huwa na yao kichwani.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kikeke alitajwa tajwa sana kwenye uteuzi fulani, jamaa akaukosa
Shadowing.Na nasikia kuna Member Mmoja hapa JamiiForums ( kwa sasa nimemsahau Jina ) alimsakama sana kwa Threads kadhaa na Kweli akakosa / akaukosa.
Bongoland hamnaga vettingKuna mifano mingi inaonesha TZ hakuna vetting