Ukiona maisha yako ni magumu basi jua kuwa kuna Mtu amekuchezea (amekuroga)

Ukiona maisha yako ni magumu basi jua kuwa kuna Mtu amekuchezea (amekuroga)

Sometimes hiyo ni njia ya kujipa moyo. Unakuta mtu ana dreams kubwa lakini hazifanyii kazi akitegemea maajabu.. Mfano mimi nilikuwa na ndugu yangu alipata pesa akafungua biashara kwa kutaka kuwakonga wabinti wenzake, duka kubwa frem kubwa ndani ina private ofisi, choo, kodi yake tu ni hatari. Nikamwambia hivi wewe unaanza biashara hii kodi mbona kubwa, jibu alilonipa sikurudia uliza. Kuendesha ile biashara cost ilikuwa kubwa sana kuliko mapato haikuchukua hata mwaka ikafa.

Maisha yake yakawa magumu, akaokoka, yeye ikawa ni kuomba tu Mungu amtendee miujiza. Hatafuti kazi waala hataki kuanzia chini na anadai karogwa. Yeye anaomba tu, ukimuona anakwambia flani ndiyo kaniroga kila mtu kuanzia ndugu, majirani, mwenye nyumba wake wote wachawi na ndiyo chanzo cha maisha magumu yake. sometimes failures zetu tunataka kuzibebesha watu. Maisha yake yalikuwa magumu hasa. Lakini mara zote ilikuwa anadai karogwa. aliuwa hafikirii huwezi kuwa kwa mwezi unaingiza kipato c halafu matumizi yako ni L ukategemea hutoanguka.

Ukifikria sana kuwa una maisha magumu kwasababu umerogwa, muda mwingi unakuwa unakosea. Una maisha magumu kwasababu huna connection, au hujajatafuta vya kutosha au umeridhika na maisha hayo magumu. Sikatai uchawi upo hata umetajwa kwenye vitabu vitakatifu ila watu wnautumia kama njia ya kujipa moyo kuwa wamefail kwasababu wamerogwa kama ambavyo vijana siku hizi tunajipa moyo kuwa kila kijana aliyefanikiwa anauza unga ila kujustify failures zetu.
Hapo nimekusoma ukweli kabisa huo
 
Bila kupepesa macho naunga mkono hojaaa asilimia mia mia moja coz hata mimi ni muhanga na yalinikuta hayo na waganga kadhaa walikuwa wanashindwa kuniagua mpk nilipompata mzee mkinga bwana weeeee siku hiyo hiyo nilikuja kuitwa kwenye mchongo nikaingiza laki tano wakati kabla ya hapo nilikuwa sijaliwi na mtu yeyote kila mtu alikuwa akiniona kama mavi tu mtalaam aliniambia nilifungwa vibaya mbo kiasi ambacho nilikuwa nasuburia kufa tu na baada ya hapo ni mwendo wa kushika ela tu ingawa kunavijikwazo huwa vinajitokeza lkn namtafuta mtaalam tunayamaliza.

Nb.wabaya watu mkuuu
 
Sasa si ndio uchawi wenyewe huo. Mtu anaamua tu kuwaroga watumishi wa umma. Mtu anajisikia tu asikuongezee mshahara.
Katika kila jambo jua nyuma yake kuna jambo limejificha.
How come 5 yrs with no salary increment?
Halafu anajisifu kuwa yeye ni kiongozi wa malaika.
 
Hivi nyongeza ya Tsh 10,000/ inaweza kukutoa stage gani ki maisha?
haujui umuhimu wa increament. Kwa taarifa yako annual increament ina mchango mkubwa ktk kupata mikopo mizuri benki; hiyo elfu kumi unayoidharau ukizisha kwa miezi sitini aliyotuzulumu plus other annual increament kwa miaka mingine ni pesa nyingi sana.
 
Watanzania ni wanafiki sana. Wengi wanakwenda kwa waganga lakini hapa wanaandika hakuna uchawi au mtegemee Mungu wako.

Kuna wanaonasa kaka wa watu kwa uchawi mpaka wanaolewa. Lakini siku ya send off wanasema asante Yesu, like fuvu la kondoo aliloliacha pangoni au kwenye kaburi la mtoto mchanga halitaji.
Yes. Kwa unafiki Tanzania nadhani iko kwenye top one duniani.

Mtu dukani kaweka majini then hapohapo anapiga nyimbo za kuabudu na anapost Fb Mungu ni tegemeo lake
 
Yes. Kwa unsfiki Tanzania nadhani iko kwenye top one duniani.
Mtu dukani kaweka majini then hapohapo anapiga nyimbo za kuabudu na anapost Fb Mungu ni tegemeo lake

Wivu uzaa roho mbaya na roho mbaya utengeza husda. Husda inataka haki uchukua ushirikina kutafuta suluhuu.
 
Sometimes hiyo ni njia ya kujipa moyo. Unakuta mtu ana dreams kubwa lakini hazifanyii kazi akitegemea maajabu.. Mfano mimi nilikuwa na ndugu yangu alipata pesa akafungua biashara kwa kutaka kuwakonga wabinti wenzake, duka kubwa frem kubwa ndani ina private ofisi, choo, kodi yake tu ni hatari. Nikamwambia hivi wewe unaanza biashara hii kodi mbona kubwa, jibu alilonipa sikurudia uliza. Kuendesha ile biashara cost ilikuwa kubwa sana kuliko mapato haikuchukua hata mwaka ikafa.

Maisha yake yakawa magumu, akaokoka, yeye ikawa ni kuomba tu Mungu amtendee miujiza. Hatafuti kazi waala hataki kuanzia chini na anadai karogwa. Yeye anaomba tu, ukimuona anakwambia flani ndiyo kaniroga kila mtu kuanzia ndugu, majirani, mwenye nyumba wake wote wachawi na ndiyo chanzo cha maisha magumu yake.

Sometimes failures zetu tunataka kuzibebesha watu. Maisha yake yalikuwa magumu hasa. Lakini mara zote ilikuwa anadai karogwa. aliuwa hafikirii huwezi kuwa kwa mwezi unaingiza kipato c halafu matumizi yako ni L ukategemea hutoanguka.

Ukifikria sana kuwa una maisha magumu kwasababu umerogwa, muda mwingi unakuwa unakosea. Una maisha magumu kwasababu huna connection, au hujajatafuta vya kutosha au umeridhika na maisha hayo magumu. Sikatai uchawi upo hata umetajwa kwenye vitabu vitakatifu ila watu wnautumia kama njia ya kujipa moyo kuwa wamefail kwasababu wamerogwa kama ambavyo vijana siku hizi tunajipa moyo kuwa kila kijana aliyefanikiwa anauza unga ila kujustify failures zetu.
Nakupinga asee, inamaana mtu afungue biashara bila kufanya tathmini?

Hata Kama Kodi ni kubwa sidhani hiyo ndio sababu.

Kwa niliyoshuhudia katika maisha yangu, acha Kwanza niungane na ndugu yako kuwa amelogwa.
 
Mkuu niunganishe na huyo fundi
Bila kupepesa macho naunga mkono hojaaaaaaaaaaaaaa aslimia mia miamooooooja coz hata mimi ni muhanga na yalinikuta hayo na waganga kadhaa walikuwa wanashindwa kuniagua mpk nilipompata mzee mkinga bwana weeeee siku hiyo hiyo nilikuja kuitwa kwenye mchongo nikaingiza laki tano wakati kabla ya hapo nilikuwa sijaliwi na mtu yeyote kila mtu alikuwa akiniona kama mavi tu mtalaam aliniambia nilifungwa vibaya mbo kiasi ambacho nilikuwa nasuburia kufa tu na baada ya hapo ni mwendo wa kushika ela tu ingawa kunavijikwazo huwa vinajitokeza lkn namtafuta mtaalam tunayamaliza.

Nb.wabaya watu mkuuu
 
Nakupinga asee, inamaana mtu afungue biashara bila kufanya tathmini?

Hata Kama Kodi ni kubwa sidhani hiyo ndio sababu.

Kwa niliyoshuhudia katika maisha yangu, acha Kwanza niungane na ndugu yako kuwa amelogwa.
Hivi wewe ufungue duka frem unalipa laki sita kwa mwezi, usafi 20,000, mlinzi 40,000 hujaweka ela yako ya kula na nauli halafu mwezi mzima uuze milion 2 unadhani hutofunga hiyo biashara, maana hayo ni mauzo tu siyo faida.

Watu wengi tunafail wenyewe halafu tunasingizia wachawi. Mimi ni mmoja ya watu ambaye niliwahi kuwa juu nikaanguka, nikawa juu tena nikaaanguka, nikapanda tena. Na mara zote japo huyo ndugu yangu alikwua ananiambia kuna watu wananichezea ila mimi nikikaa nilikuwa naona kabisa makosa niliyokuwa ninafanya hata sikurogwa. Na naposema kuanguka namaanisha kuanguka ukawa hujui hata unakula nini huelewi A wala C wakati ulikuwa pocket money unatembea si chini ya milion kwenye gari.

Mara nyingi ni failures zetu wenyewe ndizo zinatufanya tusisonge. Kama kurogwa basi waliorogwa nadhani ni wachache kuliko kufail kwa kukosa connection, juhudi, mipango, na uthubutu.
 
Sometimes hiyo ni njia ya kujipa moyo. Unakuta mtu ana dreams kubwa lakini hazifanyii kazi akitegemea maajabu.. Mfano mimi nilikuwa na ndugu yangu alipata pesa akafungua biashara kwa kutaka kuwakonga wabinti wenzake, duka kubwa frem kubwa ndani ina private ofisi, choo, kodi yake tu ni hatari. Nikamwambia hivi wewe unaanza biashara hii kodi mbona kubwa, jibu alilonipa sikurudia uliza. Kuendesha ile biashara cost ilikuwa kubwa sana kuliko mapato haikuchukua hata mwaka ikafa.

Maisha yake yakawa magumu, akaokoka, yeye ikawa ni kuomba tu Mungu amtendee miujiza. Hatafuti kazi waala hataki kuanzia chini na anadai karogwa. Yeye anaomba tu, ukimuona anakwambia flani ndiyo kaniroga kila mtu kuanzia ndugu, majirani, mwenye nyumba wake wote wachawi na ndiyo chanzo cha maisha magumu yake.

Sometimes failures zetu tunataka kuzibebesha watu. Maisha yake yalikuwa magumu hasa. Lakini mara zote ilikuwa anadai karogwa. aliuwa hafikirii huwezi kuwa kwa mwezi unaingiza kipato c halafu matumizi yako ni L ukategemea hutoanguka.

Ukifikria sana kuwa una maisha magumu kwasababu umerogwa, muda mwingi unakuwa unakosea. Una maisha magumu kwasababu huna connection, au hujajatafuta vya kutosha au umeridhika na maisha hayo magumu. Sikatai uchawi upo hata umetajwa kwenye vitabu vitakatifu ila watu wnautumia kama njia ya kujipa moyo kuwa wamefail kwasababu wamerogwa kama ambavyo vijana siku hizi tunajipa moyo kuwa kila kijana aliyefanikiwa anauza unga ila kujustify failures zetu.
Hicho ulichokiongea sikukatalii kina ukweli hasa kwa staili ya biashara alivyoanza huyo rafiki yako ni lazima angefeli kwa sababu hakufuata kanuni.

Lakini kuna wakati mwingine mtu anafuata kanuni zote na bado hatoboi yaani anahangaika kila mahali na anafanya connections zote lkn maisha bado ni magumu hapo ndipo uchawi mahali ulipotumika
 
Mkuu sorry huyo mkinga ulimpata wapi?
Bila kupepesa macho naunga mkono hojaaaaaaaaaaaaaa aslimia mia miamooooooja coz hata mimi ni muhanga na yalinikuta hayo na waganga kadhaa walikuwa wanashindwa kuniagua mpk nilipompata mzee mkinga bwana weeeee siku hiyo hiyo nilikuja kuitwa kwenye mchongo nikaingiza laki tano wakati kabla ya hapo nilikuwa sijaliwi na mtu yeyote kila mtu alikuwa akiniona kama mavi tu mtalaam aliniambia nilifungwa vibaya mbo kiasi ambacho nilikuwa nasuburia kufa tu na baada ya hapo ni mwendo wa kushika ela tu ingawa kunavijikwazo huwa vinajitokeza lkn namtafuta mtaalam tunayamaliza.

Nb.wabaya watu mkuuu
 
Bila kupepesa macho naunga mkono hojaaaaaaaaaaaaaa aslimia mia miamooooooja coz hata mimi ni muhanga na yalinikuta hayo na waganga kadhaa walikuwa wanashindwa kuniagua mpk nilipompata mzee mkinga bwana weeeee siku hiyo hiyo nilikuja kuitwa kwenye mchongo nikaingiza laki tano wakati kabla ya hapo nilikuwa sijaliwi na mtu yeyote kila mtu alikuwa akiniona kama mavi tu mtalaam aliniambia nilifungwa vibaya mbo kiasi ambacho nilikuwa nasuburia kufa tu na baada ya hapo ni mwendo wa kushika ela tu ingawa kunavijikwazo huwa vinajitokeza lkn namtafuta mtaalam tunayamaliza.

Nb.wabaya watu mkuuu
Mmnh ebu fanya connection
 
Back
Top Bottom