Ukiona maisha yako ni magumu basi jua kuwa kuna Mtu amekuchezea (amekuroga)

Ukiona maisha yako ni magumu basi jua kuwa kuna Mtu amekuchezea (amekuroga)

Inawezekana pia, mimi ni nani nipingane na mtazamo wako?
Mkuu hili ni jamvi la maswahiba tunaambiana uhalisia kupitia yale tuliyoyaandika, huyo jamaa umemuadress kama rafiki yako but still hakupokea ushauri wako hiyo pekee kwa wakat ule ilitosha kukudhihirishia kuwa bond ya urafiki wenu ni weak kinachonishangaza ni hiki ni kwann ulitake time kuiscout biashara yake kuanzia commencing mpaka depression kiintelijensia tunapata haya
1: hukuwa busy na mipango yako ndo maana ukapata muda wa kuwa na taarifa sahihi juu ya biashara yake,
2: Ni kipi kilichokuvutia mpaka ukawa karibu na biashara yake na wakati huna hisa ndani yake jibu jepesi laweza kuwa hukutaka ipite hiv hiv hadi uone anavyodepress na hiyo kwako kuwa kama climax ya faraja yako.
3: Wakati ule inawezekana hukuwa na uwezo zaidi yake ama biashara kubwa zaidi ya aliyoifungua yeye maana yangu ni hii hapa ungekuwa na biashara yenye faida lets say milioni 1.5 kwa mwez usingeifuatilia yake inayoingiza laki sita kama faida, so ulimwona kama your main Idol and at the same time as a rival, ndio maana unafeel free kumwelezea kama adui yako mwingine tu but addressing him or as a friend.
Just thinking out loud ma friend!!!!!!!!!!.
 
Mkuu hili ni jamvi la maswahiba tunaambiana uhalisia kupitia yale tuliyoyaandika, huyo jamaa umemuadress kama rafiki yako but still hakupokea ushauri wako hiyo pekee kwa wakat ule ilitosha kukudhihirishia kuwa bond ya urafiki wenu ni weak kinachonishangaza ni hiki ni kwann ulitake time kuiscout biashara yake kuanzia commencing mpaka depression kiintelijensia tunapata haya
1: hukuwa busy na mipango yako ndo maana ukapata muda wa kuwa na taarifa sahihi juu ya biashara yake,
2: Ni kipi kilichokuvutia mpaka ukawa karibu na biashara yake na wakati huna hisa ndani yake jibu jepesi laweza kuwa hukutaka ipite hiv hiv hadi uone anavyodepress na hiyo kwako kuwa kama climax ya faraja yako.
3: Wakati ule inawezekana hukuwa na uwezo zaidi yake ama biashara kubwa zaidi ya aliyoifungua yeye maana yangu ni hii hapa ungekuwa na biashara yenye faida lets say milioni 1.5 kwa mwez usingeifuatilia yake inayoingiza laki sita kama faida, so ulimwona kama your main Idol and at the same time as a rival, ndio maana unafeel free kumwelezea kama adui yako mwingine tu but addressing him or as a friend.
Siyo rafiki yangu ni ndugu yangu wa damu same mother same father, shida yake shida yangu majanga yake majanga yangu. Failure zake zina diect impact kwangu. Na hata hiyo biashara mzigo wake wa kwanza nilimuagizia mimi na connection nikampa mimi japo mimi sikuwa nafanya biashara hiyo so there is no way tukawa rivals. Ila undugu wa damu ndiyo chanzo cha kujua success zake na failures zake.
 
Kwaiyo maisha yakiwa Magumu...Tukimbilie kwa Waganga KUMTAFUTA MCHAW...au tufanyaje


Mbona hutupi solution?
 
Watanzania ni wanafiki sana. Wengi wanakwenda kwa waganga lakini hapa wanaandika hakuna uchawi au mtegemee Mungu wako.

Kuna wanaonasa kaka wa watu kwa uchawi mpaka wanaolewa. Lakini siku ya send off wanasema asante Yesu, like fuvu la kondoo aliloliacha pangoni au kwenye kaburi la mtoto mchanga halitaji.
Mkuuu...unahangaika Nini na unafiki was watu....wewe mganga kakusaidia..Basi endelea na njia yako...nawe ulivyopata hiyi KAZi usikute ulisema Asante yesu.
 
Siyo rafiki yangu ni ndugu yangu wa damu same mother same father, shida yake shida yangu majanga yake majanga yangu. Failure zake zina diect impact kwangu. Na hata hiyo biashara mzigo wake wa kwanza nilimuagizia mimi na connection nikampa mimi japo mimi sikuwa nafanya biashara hiyo so there is no way tukawa rivals. Ila undugu wa damu ndiyo chanzo cha kujua success zake na failures zake.
Pamoja sana mkuu nimekubali,nimekubali Nafaka keep going but nitarudi mara nyingine, sitarely kwenye post yako, nitakuja kukuattack personally na hoja zako ndio zitakuweka huru
dhidi ya mashambulizi yangu juu ya hii issue ya uchawi so get ready for this.
Only for the wider knowledge.
 
Hivi serikari nayo inaweza kuwa inawaroga wananchi wake
 
Niligundua kwamba wale wote waliotoboa kimaisha wanajua kwa dhati kuwa uchawi Upo. Wanaishi kwa kujihami ndio maana wametoboa.
 
Back
Top Bottom