Ukiona Mdada anakusalimia basi jiandae kwa haya yafuatayo

Amekwama - anataka msaada wa pesa aka maokoto

Amepotea - anataka mtu wa kumwelekeza sehem anayoenda

Malizia....

Bandugu tusalimie sio hadi mkwame ndo mnarudi kutusalimia - tutawapotezea!
Kweli Kabsa
Kuna mdada nili mu approach zaidi ya miaka 2 iliyopita akazingua juzi Kati ananitafuta nikashangaa maongezi mengi mwisho kabsa n mkopeshe 200K
 
Unataka nikubebishe hapa makima na manyani ya jf yanipopoe mawe?

Kuna mijitu hata ukicheka na demu humu inataka ikuwekee sumu ufie mbali😂😂😂
Unaishi kwa kuogopa watu, tena wa jf? Acha hizo bana
 
Hamna kitu nachukiq kama kulisalimia li dada afu linaitika kwa kichwa as if ni bubu...Huwa nalichanaga hapo hapo sinaga salam za kuchezea
 
Hamna kitu nachukiq kama kulisalimia li dada afu linaitika kwa kichwa as if ni bubu...Huwa nalichanaga hapo hapo sinaga salam za kuchezea
Na ukilisalimia likaka likakujibu kwa kichwa unafanyeje?
 
Mungu atakushushia vingi kwa mtindo wa kukushangaza kama Zawadi ya ushindi[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…