Ukiona Mfanyabiashara yeyote anakufanyia hivi jua anaitaka Nyota yako Kali ili imsaidie Kibiashara

Ngojea Wataalam na Wabobezi ( Mangwena ) waje hapa na Watujibu. Nadhani GENTAMYCINE ndiyo Muathirika zaidi wa hili.
 
Huwa nahisi watu wengi wanaishi maisha yasiyo yao aisee kwa sababu ya haya mambo.
Unakuta mambo yalikuwa kwenye mstari mara yanabadilika yanakwenda ulalo ulalo hadi unashangaa.
Au unakuta mtu alikuwa anashika top 5 darasa la kwanza hadi form 6, mara unamkuta mjini hana mia wala mwelekeo.
 
Akijua tu majina yako matatu, na atakubembeleza ili umwambia jina lako la asili. Hapo umekwisha! Pesa mpe tu jifanya umeiangusha chini, ikanyage na umpe.
 
Toa maelekezo kwa faida ya wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…