Ukiona mpenzi wako anakuharakisha sana akupe utamu ujue ni sababu ya moja ya mambo haya

Ukiona mpenzi wako anakuharakisha sana akupe utamu ujue ni sababu ya moja ya mambo haya

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Kuishi kwingi kuona mengi. Siku hizi ukiona mwanamke wako anakuharakisha na kukutamanisha sana kwa maneno matamu eti ana nyege sana au ana hamu sana na wewe ujue kuna mtego unataka kupigwa.

~ Mara nyingi huwa amefulia na anajua ukienda hutakosa kuacha chochote mfukoni.

~ Kubwa zaidi kuwa makini usiachiwe mimba isiyo yako.

Hata kama umesafiri atakwambia uwahi kurudi au kama hutorudi basi yeye akufate, huku akijua tarehe zinasonga na kwamba huenda kalenda unazomla zikapishana na alizoliwa na mshakaji ndivyo presha inazidi kupanda.

Sasa kama ni mwanamke mpya boya ataanza kujidai kuwa mwanamke kamzimikia, kalagha bahooo!

Wikiendi njema!
 
Kuishi kwingi kuona mengi. Siku hizi ukiona Mwanamke wako ana kuharakisha na kuku- tamanisha sana kwa maneno matamu eti ana nyege sana au ana hamu sana na wewe ujue kuna mtego unataka kupigwa.

Mara nyingi huwa amefuria na anajua ukienda hutakosa kuacha chochote mfukoni.

Kubwa zaidi kuw amakini usiachiwe mimba isiyo yako.

Hata kama umesafiri atakwambia uwahi kurudi au kama hutorudi basi yeye akufate.

Huku akijua tarehe zinasonga na kwamba huenda Calander unazomla zikapishana na alizoliwa na mshakaji ndivyo presha inazidi kupanda.

Sasa kama ni demu mpya boya ataanza kujidai kuwa demu kamzimikia.....kalagha bahooo!!!

Weekendi njema

🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Back
Top Bottom