MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Yashawahi kunikuta hivi....................
Ina maana nilikuwa naandaliwa pigo?
Ina maana nilikuwa naandaliwa pigo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi wanawake huwa hampatagi hamu? Maana yake ukimwambia mtu unahitaji mara nyingi utakuwa na sababu zako nyingine kabisa..., hebu tueleweshe ndugu.🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Sema neno moja tu Mama D🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Huo ndio ubaharia sasa tunaosema😅😅Kuna pisi moja imesimama kweli, nilipiga sound ikagoma namimi nikakubali kweli sio level zangu.
Siku nashangaa imenichek inajilegeza kweli ikaniambia njoo, wakati mwanzo ilisema haiingizagi wanaume kwake.
Mimi kama jadi nikabeba zana zangu nkatimba, toka siku ile akapotea nakuja kusikia ana mimba nikasema iiiii
pole sana mkuu naona umepigwa na kitu cha tan5Kuishi kwingi kuona mengi. Siku hizi ukiona Mwanamke wako ana kuharakisha na kuku- tamanisha sana kwa maneno matamu eti ana nyege sana au ana hamu sana na wewe ujue kuna mtego unataka kupigwa.
Mara nyingi huwa amefuria na anajua ukienda hutakosa kuacha chochote mfukoni.
Kubwa zaidi kuw amakini usiachiwe mimba isiyo yako.
Hata kama umesafiri atakwambia uwahi kurudi au kama hutorudi basi yeye akufate.
Huku akijua tarehe zinasonga na kwamba huenda Calander unazomla zikapishana na alizoliwa na mshakaji ndivyo presha inazidi kupanda.
Sasa kama ni demu mpya boya ataanza kujidai kuwa demu kamzimikia.....kalagha bahooo!!!
Weekendi njema
Hahaha sio mimi Mkuu.pole sana mkuu naona umepigwa na kitu cha tan5
Kuna mambo mawili hapoSahih Kuna mmoja ananisumbuaa Sana nikaisi Lina ukimwi nn
😅😅😅😅Fomula ni kuzuia wazungu na beki 10 yaani ndomu!,ili usije ukasingiziwa panya road ni wako!akisema ndomu ilupasuka hapo sana inabidi mgawane majengo ya serikali [emoji851]
Au akutie nuksi ili jambo zuri lisitokeeKuishi kwingi kuona mengi. Siku hizi ukiona mwanamke wako anakuharakisha na kukutamanisha sana kwa maneno matamu eti ana nyege sana au ana hamu sana na wewe ujue kuna mtego unataka kupigwa.
~ Mara nyingi huwa amefulia na anajua ukienda hutakosa kuacha chochote mfukoni.
~ Kubwa zaidi kuwa amakini usiachiwe mimba isiyo yako.
Hata kama umesafiri atakwambia uwahi kurudi au kama hutorudi basi yeye akufate, huku akijua tarehe zinasonga na kwamba huenda kalenda unazomla zikapishana na alizoliwa na mshakaji ndivyo presha inazidi kupanda.
Sasa kama ni mwanamke mpya boya ataanza kujidai kuwa mwanamke kamzimikia, kalagha bahooo!
Wikiendi njema!
Yote yanawezekanaAu akutie nuksi ili jambo zuri lisitokee
Hapa tu kuna mtu kaanza jana nikajifanya nimekausha nampa ratiba za hapa na pale. Leo kanichana anataka nimpe hela. Nikajua ahaa kumbe hicho ndio kilikuwa kinatafutwa na sio nyege tenaHamna jema, tukitulia kama gogo mnasema, tukiwaambia maneno matamu pia mnahisi mtego aah acheni hizo kwani hizo nyege mmeumbiwa nyie tu?😛
Sasa ndugu ndo tuache kuoa kweliNani aliye waambia muowe