Ukiona mume wako kachepuka na mfanyakazi wa kazi za ndani kuna mawili

uyo dawa unamtia mimba unamuacha, aongeze count ya singo mazas

then unaweka ndani uyo maid
 
Hakuna kitu kama hicho mm napinga. kuchepuka au umalaya nitabia ya mtu wako vijana wanajielewa na wake zao wanamakelele lakin hachepuk namfanyakaz .the things is tabia ya mtu
 
Hata kama mwanamke anajitambua, mwanaume kama tangu hajaoa amezoea kubadilisha wanawake, atawapiga tu! Ni hulka ya mwanaume. Ila kweli kuna wanawake wanaobomoa ndoa yao wenyewe. Hawana uwezo wa kumsoma bwana.
 
Hayo yanaweza kuchangia lakini ikumbukwe wako wanaume walala na kiumbe chochote chenye sehemu inayoruhusu chululu yao kuingia

Awe mwanaume mwenzao, kuku, mbuzi, nyoka wanaingiza tuu

Mungu atusaidie
Tafadhali tuombe radhi wanaume. Wengine hatujawahi kuingiza tobo lolote zaidi ya hapo mbele.
 
Fact ambayo hawapendi kusikia wake zetu
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ™Œ
 
Dada anamaliza maneno huyuu,huyo mumewe Sasa story zake tunazo![emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…