Kuna watu huingia kichwa kichwa wanakutana na kitu kizitoHapo umeongea kweli tupu
Watu wengi sana wameangamia kwa kuingia kichwa kichwa! Wewe unaona kabisa watu wamesimama nyomi pembeni kuna kiti kiko wazi!Mkuu kwa fact hii, petition ya kujengewa sanamu lako pale Posta inaanzishwa muda si mrefu
Kitendo cha kutoolewa au kuoa hadi makamo yasogee lazima kuwepo sababu!Kwenye maembe sawa, lakini kwenye mahusiano umebugi step,
Siyo lazima mtu kuoa/kuolewa kwa sababu haya ni maamuzi binafsi.
Hakuna aliewai kuripotiwa kupata tatizo la akili kwa sababu hakuwa ameoa/ kuolewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulishawahi kusoma Fasihi po pote pale katika maisha yako mkuu? Kama ulishawahi mbona hivi sasa?Huwezi kufananisha maembe na binadamu kwasababu binadamu anamipango yake na maamuzi yake ya kuamua mambo,mwingine haoi wala kuolewa bila kuaccomplish mambo fulani.
Mimi nitagharamia nondo nne na matoroli mawili ya mchanga. Sanamu la mtoa mada lazima lisimame wallahi!Mimi kama mimi, nachangia mifuko miwili kwenye ujenzi wa sanamu la mtoa mada!
Tunatishana Sana, Vigogo Wapukutika, Vigogo Wafa Ni Uzushi Mtupu, Tuchape Kazi Ndugu Zangu!! Bwana Bure HayupoMaembe ni maembe na mtu wa makamo ni wa makamo, Tusitishane😂😂😂, ndiyo namtumia sms hapa huyu binti wa makamo😂😂
Hiyo ni justification ya kukinga udhaifu!Huwezi kufananisha maembe na binadamu kwasababu binadamu anamipango yake na maamuzi yake ya kuamua mambo,mwingine haoi wala kuolewa bila kuaccomplish mambo fulani.
Na ukupata namba ya "fundi Maiko" uniambie. Sanamu ni lazima lijengwe!Mimi nitagharamia nondo nne na matoroli mawili ya mchanga. Sanamu la mtoa mada lazima lisimame wallahi!
Mmoja WAPo mmKuna watu huingia kichwa kichwa wanakutana na kitu kizito