Ukiona Mwembe umejaa Maembe yaliyoiva kwenye Nyumba yenye Watoto watukutu basi kuna mawili

Ukiona Mwembe umejaa Maembe yaliyoiva kwenye Nyumba yenye Watoto watukutu basi kuna mawili

Ukiona Mwembe umejaa Maembe yaliyoiva na kuning'inia kiasi cha kuvutia kwenye nyumba ya watoto watukutuku au shule basi tambua kuna haya mawili;

1. Huenda Mzee mwenye mwembe ni mkali sana au Mchawi
2. Maembe ni machungu balaa yasiyolika hata kwa chumvi!

Kwa mfano ule ule utumie pia unapoona Mrembo/Mkaka wa makamo Ambaye hajaolewa/oa Usikurupuke kuingia kichwa kichwa lipo jambo!

Vuta subira!

Tambua kwamba kama kwa jirani Maembe kama hayo yanaliwa na chumvi yakiwa machanga! Iweje Hayo yakomae yakiwa mtini?

"Ukiwa naye ndipo utaelewa kwanini ulimkuta Single "
La tatu, ujue Huenda kuna nyigu, nyuki wakali au mayange

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Naked truth ,kuna mmoja tabata ni pisi kweli lakini watoto wa kiume woote wanamuogopa, kumbe anabanjuliwa na mdingi wake na amemuwekea mauzauza ili kila mtu akitaka kumnyandua yamkute ya kumkuta. hatari sana haya mambo
 
Tambua kwamba kama kwa jirani Maembe kama hayo yanaliwa na chumvi yakiwa machanga! Iweje Hayo yakomae yakiwa mtini?

"Ukiwa naye ndipo utaelewa kwanini ulimkuta Single "
Nimecheka balaa, huo ni ukwel kabisa.
 
Kweli k
Ukiona Mwembe umejaa Maembe yaliyoiva na kuning'inia kiasi cha kuvutia kwenye nyumba ya watoto watukutuku au shule basi tambua kuna haya mawili;

1. Huenda Mzee mwenye mwembe ni mkali sana au Mchawi
2. Maembe ni machungu balaa yasiyolika hata kwa chumvi!

Kwa mfano ule ule utumie pia unapoona Mrembo/Mkaka wa makamo Ambaye hajaolewa/oa Usikurupuke kuingia kichwa kichwa lipo jambo!

Vuta subira!

Tambua kwamba kama kwa jirani Maembe kama hayo yanaliwa na chumvi yakiwa machanga! Iweje Hayo yakomae yakiwa mtini?

"Ukiwa naye ndipo utaelewa kwanini ulimkuta Single "
Kweli kabisa
 
Back
Top Bottom