West standard
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 441
- 649
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very arrogant of u.Kwa hiyo raia kumtambua mtu kuwa TISS ndo kukosa maadili? Hebu nijuze, apo asiyekuwa na maadili ni nani raia au huyo TISS? Na kama raia kosa lake hapa liko wapi mpaka ionekane hana maadili
We unaonekana una una roho mbaya sana,,, nyie ndo wale tukiwapiga vikumbo njiani bahati mbaya tu mnaanza unanijua mm nani,,,, hebu niambie hicho kiburi changu kwenye post zangu hapo kiko wapi?
Pia kuna uwezekano hayo maembe ni kwa ajili ya mandondocha tu (uchawi wa mze mwenye mwembe wake Mshana Jr ), ukitungua hizo embe mkono wako haurudi tena chini.Ukiona Mwembe umejaa Maembe yaliyoiva na kuning'inia kiasi cha kuvutia kwenye nyumba ya watoto watukutuku au shule basi tambua kuna haya mawili;
1. Huenda Mzee mwenye mwembe ni mkali sana au Mchawi
2. Maembe ni machungu balaa yasiyolika hata kwa chumvi!
Kwa mfano ule ule utumie pia unapoona Mrembo/Mkaka wa makamo Ambaye hajaolewa/oa Usikurupuke kuingia kichwa kichwa lipo jambo!
Vuta subira!
Tambua kwamba kama kwa jirani Maembe kama hayo yanaliwa na chumvi yakiwa machanga! Iweje Hayo yakomae yakiwa mtini?
"Ukiwa naye ndipo utaelewa kwanini ulimkuta Single "
Kumbe ni kwa Mama yake!!, Umesahau kuwa "Mtoto wa mwenzako ni mkubwa mwenzio"??.Kuwa na adabu hujui kwamba mtoto kwa mama Hakui?
Kwani Mimi nimesemaje??Ni maoni yake yaheshimiwe
[emoji706]We unaonekana una una roho mbaya sana,,, nyie ndo wale tukiwapiga vikumbo njiani bahati mbaya tu mnaanza unanijua mm nani,,,, hebu niambie hicho kiburi changu kwenye post zangu hapo kiko wapi?
Umetumia maneno rahisi kwenye fumbo kubwa!!..Hebu nisome commentsUkiona Mwembe umejaa Maembe yaliyoiva na kuning'inia kiasi cha kuvutia kwenye nyumba ya watoto watukutuku au shule basi tambua kuna haya mawili;
1. Huenda Mzee mwenye mwembe ni mkali sana au Mchawi
2. Maembe ni machungu balaa yasiyolika hata kwa chumvi!
Kwa mfano ule ule utumie pia unapoona Mrembo/Mkaka wa makamo Ambaye hajaolewa/oa Usikurupuke kuingia kichwa kichwa lipo jambo!
Vuta subira!
Tambua kwamba kama kwa jirani Maembe kama hayo yanaliwa na chumvi yakiwa machanga! Iweje Hayo yakomae yakiwa mtini?
"Ukiwa naye ndipo utaelewa kwanini ulimkuta Single "
Ungeomba ushauri hata kwa DC TMKUmetumia maneno rahisi kwenye fumbo kubwa!!..Hebu nisome comments
Hebu niquot huo mstari niliosema TISS kaja kwetu nione,, nimesema hivi,, niliporudi kutoka ughaibuni pale mtaani kwetu nikakuatana na demu mkali wa makamo, nilipotaka kutupa karata yangu, wandewa wa mtaani wakaniambia achana nae kwani huyo ni TISS na yupo hapa kwa misheni maalum, so mm kwa kuwa sikuwepo hapo mtaani kwa miaka mingi sikutaka kuwapinga hao wandewa wa mtaani, sasa iweje uanze kunisimanga,,, we mdwanzi tu na nyie ndo mtaani mtu akipakana na nyie hata karatasi likipeperuka kwenye uwanja wako basi nongwa na mikwara kisa mpo kwenye system[emoji706]
I find out hujielewi. Umesema TISS amekuja kwaajili ya mission kitaa kwenu. Umejuaje? Huoni hatari katika mission kwa huyo afisa na mission yenyewe? Huoni mission kuharibika let it ilikua positive ktk jamii? Una miaka mingapi? Very slow at learning. Una miaka mingapi? Jifunze kujiongeza
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Are u a boy or a man? U are very stuppid. Mku*duo. Maana una attack na kucatch feelings tu. Hujui hata kusoma kwa vituo na kuelewa. Aliyekuattack wewe nani na kwa kipi. Si umeanza wewe? Makalio yako chips 2 wewe. Nakuambia maadili hakuna kiasi cha afisa kuwa ktk mission na raia wanajua we unaongea nn? Uko vzr tuendelee? Umejawa na umama. Unajaa kama nn. Povu linakutoka kama shangingi la mwananyamala. Hayo mengine yanatoka wapi. Na kweli nikapakana na fala kama wewe unakula risasi ya tako. Huna akiliHebu niquot huo mstari niliosema TISS kaja kwetu nione,, nimesema hivi,, niliporudi kutoka ughaibuni pale mtaani kwetu nikakuatana na demu mkali wa makamo, nilipotaka kutupa karata yangu, wandewa wa mtaani wakaniambia achana nae kwani huyo ni TISS na yupo hapa kwa misheni maalum, so mm kwa kuwa sikuwepo hapo mtaani kwa miaka mingi sikutaka kuwapinga hao wandewa wa mtaani, sasa iweje uanze kunisimanga,,, we mdwanzi tu na nyie ndo mtaani mtu akipakana na nyie hata karatasi likipeperuka kwenye uwanja wako basi nongwa na mikwara kisa mpo kwenye system
Yale yale niliyoyasema we mdwanzi tu,,, yani watu kama nyie uku uswahilini tunawatamani sana nyie,,, style zenu ndo hizo kutishia watu bastora, kisa tu una undugu na mkubwa fulani serikalini, afu mnajifanyaga mmesoma sana, endelea kutukana hakuna tusi jipya,,,Are u a boy or a man? U are very stuppid. Mku*duo. Maana una attack na kucatch feelings tu. Hujui hata kusoma kwa vituo na kuelewa. Aliyekuattack wewe nani na kwa kipi. Si umeanza wewe? Makalio yako chips 2 wewe. Nakuambia maadili hakuna kiasi cha afisa kuwa ktk mission na raia wanajua we unaongea nn? Uko vzr tuendelee? Umejawa na umama. Unajaa kama nn. Povu linakutoka kama shangingi la mwananyamala. Hayo mengine yanatoka wapi. Na kweli nikapakana na fala kama wewe unakula risasi ya tako. Huna akili
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
TISS mbona tuko nao sana tu, tunasoma nao na tunafanya nao kazi, wanajulikana waleKwa hiyo raia kumtambua mtu kuwa TISS ndo kukosa maadili? Hebu nijuze, apo asiyekuwa na maadili ni nani raia au huyo TISS? Na kama raia kosa lake hapa liko wapi mpaka ionekane hana maadili
Yeah ni kweli kabisa mkuu ila kuna huyu wa kuitwa miss pablo ye anaona ajabu mpaka kufikia kunisimanga na kunitukanaTISS mbona tuko nao sana tu, tunasoma nao na tunafanya nao kazi, wanajulikana wale
[emoji817][emoji3581]Ukiona Mwembe umejaa Maembe yaliyoiva na kuning'inia kiasi cha kuvutia kwenye nyumba ya watoto watukutuku au shule basi tambua kuna haya mawili;
1. Huenda Mzee mwenye mwembe ni mkali sana au Mchawi
2. Maembe ni machungu balaa yasiyolika hata kwa chumvi!
Kwa mfano ule ule utumie pia unapoona Mrembo/Mkaka wa makamo Ambaye hajaolewa/oa Usikurupuke kuingia kichwa kichwa lipo jambo!
Vuta subira!
Tambua kwamba kama kwa jirani Maembe kama hayo yanaliwa na chumvi yakiwa machanga! Iweje Hayo yakomae yakiwa mtini?
"Ukiwa naye ndipo utaelewa kwanini ulimkuta Single "