Ukiona Mwembe umejaa Maembe yaliyoiva kwenye Nyumba yenye Watoto watukutu basi kuna mawili

Ukiona Mwembe umejaa Maembe yaliyoiva kwenye Nyumba yenye Watoto watukutu basi kuna mawili

Huwezi kufananisha maembe na binadamu kwasababu binadamu anamipango yake na maamuzi yake ya kuamua mambo,mwingine haoi wala kuolewa bila kuaccomplish mambo fulani.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
IMG_20211022_185541.jpg
 
Binafsi ziwezi kuamini sana hivyo! Kuna wengine wanaweza kuingia kichwa kichwa lakini wakakuta mambo ni super.Siyo kila ambaye hajaoa au kuolewa ana matatizo.
 
Watu wengi sana wameangamia kwa kuingia kichwa kichwa! Wewe unaona kabisa watu wamesimama nyomi pembeni kuna kiti kiko wazi!

Wewe unafika pasipo kutafakali unabandika makalio.....hakika kuna mawili! Either kiti kibovu au ni cha kiongozi/dereva! Jiandae kunyanyuliwa

aliyekwambia kuoa au kuolewa ni maamuzi binafsi ndiye anakufanya uonekane una tatizo mpaka huoni au kuolewa.

maana usingekuwa mbinafsi ungeshabebwa au kubeba.
 
aliyekwambia kuoa au kuolewa ni maamuzi binafsi ndiye anakufanya uonekane una tatizo mpaka huoni au kuolewa.

maana usingekuwa mbinafsi ungeshabebwa au kubeba.
Unachekesha
 
Ushaambiwa na wakulungwa wa mtaa kaja kwa ajili ya misheni maalum, so wana maana yao kulileta zigo kama lile,,, ukijitia wewe kibor##o dinda unaweza ukamsaidia ushahidi kwenye hiyo misheni yake, simaanishi kwamba TSS hawapigwi mshipa,,, ni kama alivyosema mleta uzi, ukimuona demu wa makamo yupo yupo tu mtaani kabla ya kumtokea fikiri kwanza ikiwezekana uliza wandewa wa kitaa ,,,,
Kabisa mkuu kama alikuja kikazi inawezekana huko alikotokea ni mke Wa NTU,kongole kwa aliyekusanua hiyo ndo rafiki Wa kweli,thou wana hapa watakwambia alikuonea wvu usilambe zigo.
 
mbona nina miaka 26 na nipo single wazee sio kwamba sigongi hapana ila sina demu ile kusem huyu ni mchumba na maisha yanasonga
 
Back
Top Bottom