Ukiona ndugu na watu wanamdharau Mkeo ujue wewe mwenyewe Wanakudharau

Ukiona ndugu na watu wanamdharau Mkeo ujue wewe mwenyewe Wanakudharau

Unachokifanya ni kutaka kupiga ramli.
Sio kwel, nauliza with pure intention. Huna haja ya ku speculate
Kwako ndoa ni kitu gani?
kwakua wewe ndio umeleta hii mada nafikiri you are obliged to answer our questions, maana tumekusoma tumekuelewa sasa mr.ticha tujibu maswali yetu, au topic ngumu na umeileta mwenyewe??
Sio ajabu nipo kwenye ndoa miaka mingi kuliko wewe
I guarantee you are wrong. Kwasababu wewe ndi mwandish wa muda mrefu hapa na tunakusoma, na mara kadhaa karika mabandiko yako umejieleza mpaka umri wako japo sio exactly lakin wewe bado ni bwana mdogo kwangu. Sana tu.
So hujanizid umri wala marriage lifelong
 
Just an answer mdogo angu, huna haja ya kupiga siasa!!. Umekaa kwenye ndoa kwa miaka mingapi??
Usije ukawa unafundisha watu ndoa kumbe hujaoa au umeacha/achwa(ndoa imekushinda) au ndio kwanzaaaa una miaka miwili.

How long bwana mdogo?? Maana si kila mtu ana qualify kufundisha haya mambo
Kwa hiyo shida yako aseme hajaoa ili na wewe umwambie hajaqualify kufundisha haya mambo,

Ndiyo hicho tu unachotaka?

Yaani wewe huangalii kilichoandikwa unachojali ni idadi tu ya miaka aliyokaa kwenye ndoa!

Kwa hiyo wewe mtu aliyekaa kwny ndoa muda mrefu chochote atakachokufundisha unaamini kisa tu kakaa kwenye ndoa muda mrefu?

Unafahamu kuwa mapadre hawana ndoa na wanafundisha kuhusu ndoa na ndoa zinaimarika?

Kudhani kuwa, kufundisha kuhusu ndoa ni lazima uwe kwny ndoa kwa muda mrefu, ni sawa na kudhani kuwa mwalimu wa udereva VETA ni lazima awe ameendesha malori ya masafa marefu kwa muda mrefu,

Au mwalimu wa Interpreneurship ni lazima awe anamiliki makampuni mengi kwa muda mrefu!
 
Just an answer mdogo angu, huna haja ya kupiga siasa!!. Umekaa kwenye ndoa kwa miaka mingapi??
Usije ukawa unafundisha watu ndoa kumbe hujaoa au umeacha/achwa(ndoa imekushinda) au ndio kwanzaaaa una miaka miwili.

How long bwana mdogo?? Maana si kila mtu ana qualify kufundisha haya mambo
Ili Kufundisha kuhusu ndoa ni lazima uwe kwenye ndoa mkuu?
 
Sio kwel, nauliza with pure intention. Huna haja ya ku speculate

Pure intention yako nimeipima kwenye swali nililokuuliza, ungetakiwa udhihirishe hiyo dhamiri Safi kwa kunijibu lakini bado umeniwekea mtego ili upige ramli yako.

Mbinu unayoitumia wanatumia waganga wa kienyeji na matapeli. Ni mbinu rahisi Sana.
kwakua wewe ndio umeleta hii mada nafikiri you are obliged to answer our questions,
Swali lako lipo nje ya mada, linahusu mambo yangu binafsi.
Ungeuliza yanayohusu Mada ningejibu pasipo kukusumbua

maana tumekusoma tumekuelewa sasa mr.ticha tujibu maswali yetu, au topic ngumu na umeileta mwenyewe??

Topic ngumu ni hiyo ya Kutaka taarifa zangu binafsi ambazo sijaziandika hapa.

I guarantee you are wrong. Kwasababu wewe ndi mwandish wa muda mrefu hapa na tunakusoma, na mara kadhaa karika mabandiko yako umejieleza mpaka umri wako japo sio exactly lakin wewe bado ni bwana mdogo kwangu. Sana tu.
So hujanizid umri wala marriage lifelong

😃😃

Sasa kama unatumia ID bandia si unaweza kuwa Mkubwa kwa kila kitu. Yawezakuwa wewe ni Bakhresa au Samia. Hapa wewe nakuchukulia kwa namna yoyote nitakayoitaka kama wewe unavyoweza jichukulia kwa namna yoyote kwa sababu upo nyuma ya barakoa
 
watoto nao, mwisho kizazi chako kinakuwa useless
Do you think ,what does i
Kwa hiyo shida yako aseme hajaoa ili na wewe umwambie hajaqualify kufundisha haya mambo,

Ndiyo hicho tu unachotaka?

Yaani wewe huangalii kilichoandikwa unachojali ni idadi tu ya miaka aliyokaa kwenye ndoa!

Kwa hiyo wewe mtu aliyekaa kwny ndoa muda mrefu chochote atakachokufundisha unaamini kisa tu kakaa kwenye ndoa muda mrefu?

Unafahamu kuwa mapadre hawana ndoa na wanafundisha kuhusu ndoa na ndoa zinaimarika?

Kudhani kuwa, kufundisha kuhusu ndoa ni lazima uwe kwny ndoa kwa muda mrefu, ni sawa na kudhani kuwa mwalimu wa udereva VETA ni lazima awe ameendesha malori ya masafa marefu kwa muda mrefu,

Au mwalimu wa Interpreneurship ni lazima awe anamiliki makampuni mengi kwa muda mrefu!
Umeongea hisia sana. Anyway, si kila mtu anachukua chukua tu kila kitu bila ku verify source au author. Sasa wewe uko tofauti na mimi na let us not judge this anymore. Unaonaje??
 
Mwanamke kisirani ungeendelea kuishi naye?
Kama sio wewe mwenye kisirani
Ndo hivyo kwa ajili ya convince ya watoto unaamua tu kulisukuma, utakuta mwanamke hapendi kuona ndugu wa mume au anawagombanisha! Hapo umekuja kujua her true colours baada ya kuoa? Utafanya nini na vitoto viwili au vitatu ndo hata primary hawajaanza?
 
Do you think ,what does i

Umeongea hisia sana. Anyway, si kila mtu anachukua chukua tu kila kitu bila ku verify source au author. Sasa wewe uko tofauti na mimi na let us not judge this anymore. Unaonaje??

Nimekuuliza swali ambalo jibu lake lipo katika swali lako.

Ili mtu ajue vitu vingi ndani ya ndoa, anatakiwa akae miaka mingapi kwenye ndoa?

Nikakuuliza, kwako ndoa ni nini?
 
Pure intention yako nimeipima kwenye swali nililokuuliza, ungetakiwa udhihirishe hiyo dhamiri Safi kwa kunijibu lakini bado umeniwekea mtego ili upige ramli yako.

Mbinu unayoitumia wanatumia waganga wa kienyeji na matapeli. Ni mbinu rahisi Sana.

Swali lako lipo nje ya mada, linahusu mambo yangu binafsi.
Ungeuliza yanayohusu Mada ningejibu pasipo kukusumbua



Topic ngumu ni hiyo ya Kutaka taarifa zangu binafsi ambazo sijaziandika hapa.



😃😃

Sasa kama unatumia ID bandia si unaweza kuwa Mkubwa kwa kila kitu. Yawezakuwa wewe ni Bakhresa au Samia. Hapa wewe nakuchukulia kwa namna yoyote nitakayoitaka kama wewe unavyoweza jichukulia kwa namna yoyote kwa sababu upo nyuma ya barakoa
I sense some insecurities kwa haya umeandika.
Basi tuliache hil lipite
 
Ndo hivyo kwa ajili ya convince ya watoto unaamua tu kulisukuma, utakuta mwanamke hapendi kuona ndugu wa mume au anawagombanisha! Hapo umekuja kujua her true colours baada ya kuoa? Utafanya nini na vitoto viwili au vitatu ndo hata primary hawajaanza?
EXactly, kuna time unajikuta unaishi tena saa zingine unabembeleza kuishi na mtu ambaye unajua kabisa hakupend wala hakuhitaji but just kwakua umeshafika hatua ambayo hutaki tena kurud nyumba kuanza upya usije ukasababisha madhara zaidi.. like huo mfano hapo, umeshazaa watoto na hupend kuona watoto wanapata shida kwa kuoa mwanamke mwingine
 
I sense some insecurities kwa haya umeandika.
Basi tuliache hil lipite

Hoja yako ni ipi. Hilo tuu ndio watu watalihitaji kabla hujaondoka.


Mahusiano sio Kazi ili mtu ahitaji uzoefu.

Ndio maana mwanaume mwenye miaka ishirini ndoani Muda wowote ndoa inaweza kumshinda licha ya kukaa Muda mrefu na huyo mwanamke na akamshindwa huyo mwanamke lakini akaja kijana mdogo akamtuliza huyo mwanamke aliyeshindikana kwa huyo mbaba(mwanaume) mwenye umri Mkubwa.
 
Back
Top Bottom