Right Way In Light
JF-Expert Member
- Jul 27, 2024
- 1,322
- 3,461
Sio kwel, nauliza with pure intention. Huna haja ya ku speculateUnachokifanya ni kutaka kupiga ramli.
kwakua wewe ndio umeleta hii mada nafikiri you are obliged to answer our questions, maana tumekusoma tumekuelewa sasa mr.ticha tujibu maswali yetu, au topic ngumu na umeileta mwenyewe??Kwako ndoa ni kitu gani?
I guarantee you are wrong. Kwasababu wewe ndi mwandish wa muda mrefu hapa na tunakusoma, na mara kadhaa karika mabandiko yako umejieleza mpaka umri wako japo sio exactly lakin wewe bado ni bwana mdogo kwangu. Sana tu.Sio ajabu nipo kwenye ndoa miaka mingi kuliko wewe
So hujanizid umri wala marriage lifelong