Ukiona una miaka 28 halafu benki huna hata vibilioni 30, wewe si mwanaume

Sina wasi wasi na mke wangu sababu najua huna cha kumfanya...........nguvu za uzazi huna .........utampataje sasa........alisikika mlevi mmoja akiropoka
Tafuta hela masikini wewe
 
Vibilioni 30 tu - mbona una mawazo ya kimaskini sana! Chini ya Trilioni usione umefika Mkuu.
 
Nakabal mkuu tena yule ndege John anakumaindi sana
 
Baba yako ulishampa hela au na yeye ni mbwa tu atafute hela???
 
Wanakuja
 
H
Huu ujinga wote umesababishwa na serikali ya kifisadi iliyopo madarakani, matokeo yake watu smart wanatekwa halafu wajinga kama wewe mnaachwa uraiani.
 
Kama kweli unahela, fanya mapekeche, tuone apo ni jamiiforum platinum member
 
Inaonekana hujui hesabu hata chembe.Ni kilaza kabisa.
Ulikusudia milioni 30.
Bilioni 30 hujui kwamba hata wabunge na raisi wetu hawazimiliki.Mameneja wa mabenki wanazishika tu na kuzisoma.
 
Inaonekana hujui hesabu kabisa.Ni kilaza kabisa.
Ulikusudia milioni 30.
Bilioni 30 hujui kwamba hata wabunge na raisi wetu hawazimiliki.Mameneja wa mabenki wanazishika tu na kuzisoma.
Tafuta hela masikini wewe bilioni 30 kwangu pesa za nyanya tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…