Ukiona una tabia hizi basi jua unaanza kuzeeka

Ukiona una tabia hizi basi jua unaanza kuzeeka

70% ya hizo tabia nilikua nazo enzi za ujana wangu, badala yake zimekua kinyume kabisa kipindi hiki za uzee wangu.
 
Ukiona unafanya yafuatayo basi jua umeanza kuzeeka, upo nyuma ya muda:

[emoji117]Kuwa hasira bila sababu ya msingi: ishu ndogo mara anakua agressive balaa

[emoji117]Kuilaumu serikali Kwa ishu zako binafsi: Hapa mtu Hana pesa anaanza Kuilaumu serikali[emoji1787][emoji1787] serikali ifanyeje Sasa?

[emoji117]Kukosoa kosoa watu na kuona Kila kitu anachofanya mtu anakosea huku wewe ukiwa sahihi.

[emoji117]Kitu kidogo unapata masikitiko ya Karne nzima.

[emoji117]kuanza kuongea peke yako: yaani hapa jua umeanza na kua Chizi kabisa[emoji29]

[emoji117]Mtu unakua muoga muoga hujiamini unachukua tahadhali ata Kwa vitu sio vya msingi (kuhofia usalama).

Hizo ni chache tu hebu ongeza na zingine apa.
tena bora mala 100 wazee kuliko wewe si kijana wala mzee anae weza kuandika ugoro kama huu
 
Ukiona unagadhabika badala ya kushtuka au kusuuzika rohoni ukipishana njiani na mwanamke aliyevalia nguo fupi au ya kubana na amejaliwa, jua wewe tayari ni babu
 
1.kutuma watoto hata kwenye duka lililo mbali eti kuna bei nafuu au wanapima vizur

2.kuunga sukari kidogo sana kwenye chai

3.kukojoa kwa muda mrefu na kutoa pumzi kwenye jicho

4.hasira za kijinga jinga
 
1.kutuma watoto hata kwenye duka lililo mbali eti kuna bei nafuu au wanapima vizur

2.kuunga sukari kidogo sana kwenye chai

3.kukojoa kwa muda mrefu na kutoa pumzi kwenye jicho

4.hasira za kijinga jinga
😀😀😀Mkuu umelenga mle mle
 
Back
Top Bottom