Ukiona una tabia hizi basi jua unaanza kuzeeka

70% ya hizo tabia nilikua nazo enzi za ujana wangu, badala yake zimekua kinyume kabisa kipindi hiki za uzee wangu.
 
tena bora mala 100 wazee kuliko wewe si kijana wala mzee anae weza kuandika ugoro kama huu
 
Ukiona unagadhabika badala ya kushtuka au kusuuzika rohoni ukipishana njiani na mwanamke aliyevalia nguo fupi au ya kubana na amejaliwa, jua wewe tayari ni babu
 
1.kutuma watoto hata kwenye duka lililo mbali eti kuna bei nafuu au wanapima vizur

2.kuunga sukari kidogo sana kwenye chai

3.kukojoa kwa muda mrefu na kutoa pumzi kwenye jicho

4.hasira za kijinga jinga
 
1.kutuma watoto hata kwenye duka lililo mbali eti kuna bei nafuu au wanapima vizur

2.kuunga sukari kidogo sana kwenye chai

3.kukojoa kwa muda mrefu na kutoa pumzi kwenye jicho

4.hasira za kijinga jinga
😀😀😀Mkuu umelenga mle mle
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…