Ukiona unaota ndoto hizi chukua hatua mapema

Ukiona unaota ndoto hizi chukua hatua mapema

Nope.

Niliota meno yanavunjika… haha ni muda umepita,, yan nikishika jino natoka na kipande chake.
Kuna mtu akanambia et utapata msiba wa mtu wako wa karibu.
99.99% ya watu wangu wa karibu wako hai.
Au tu zilikuwa ni shibe?
Ni njaa😂
 
Habari wapendwa! Katika maisha yangu ya kiutumishi mpaka sasa nimegundua kuwa watu wengi wanaishi kwa mapenzi ya wachawi, watu wengi wanakufa kabla ya siku zao, watu wengi ni masikini kwa sababu ya vifungo walivyo navyo, watu wengi wanaishi maisha ya shida ambayo sio kusudi la Mungu wao kuishi maisha hayo, watu wengi wanaumwa kisukari feki, presha feki, ukimwi feki, yaani hayo magonjwa wamerushiwq na wanaishi nayo! Mungu wetu huwa anazungumza nasi kupitia ndoto ila wengi hawajali wanafikiri ni ndoto tu, lakini laiti wangechukua hatu wasingefikq huko waliko,

Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.Ayubu 33:14

Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani;

Ayubu 33:15

Ukiona unaota ndoto hizi, ndugu yangu chukua hatua! Usifikiri ni ndoto tu! Ni Mungu anakujulisha hali yako ya kiroho! Kumbuka ulimwngu wako wa kiroho ndio hali yako ya kimwili na ndio maisha yako halisi hivyo usipuzie

Angalizo: nazungumzia ndoto inayojirudia zaidi ya mara moja!

1: Kuota unafanya mapenzi kwnye ndoto

2: Kuota unakula kwenye ndoto au kunywa

3: Kuota unakula nyama kwenye ndoto

4: Kuota unaogelea

5: Kuota unapaa kama ndege

6: Kuota unaonana na watu waliokufa au kuongea nao

7; Kuota upo makaburini

8: Kuota upo mtoni unaoga

9: Kuota umengatwq na mbwa au kushambuliwa na mbwq

10: Kuota unangatwq na paka au kushambuliwa na paka wengi

11: Kuota unakimbizwa na ngombe mkali

12: Kuota unakimbizwq na nyoka, au kungatwa na nyoka, ukumbwa wa nyoka una maana yake,

Hizo ni baadhi ya ndoto mbaya ambayo hupaswi kuzipuzia ndugu yangu, na kila ndoto hapo ina maana yake, madharq ya ndoto hizi ukizipuzia.

1: Vifo vya ghafula
2: Magonjwa yasiyothibika mfano ukimwi, pressure, kisukari nk
3: Kufa kwenye ajali
4: Migogoro kwenye ndoa
5: Kutokufanikiwa kama wewe umesoma unatafuta kazi hupati na hata kama ukipata unafukuzwa bila sababu
6: Kutokuolewa
7: Umasikini
8: Kwenda jehannum ya moto, hamna muota ndoto hizo atakayeenda mbinguni kama haawezi kuzishugulikia

Kwa jina la Yesu ndugu utawekwa huru, hizi ndoto haziondoki kwa kwenda kwa manabii au kutumia mafuta na vifaa vya kiroho! Ni kwa Jina la Yesu tu! Unawekwa huru ndugu,

Kama wewe unateswa na miongoni mwa ndoto hizo, njoo inbox nikupe maana yake, na suluhu yake!

Nitakuungqnisha na wachungaji wa eneo uliopo ninao wajua na utawekwa huru ndugu yangu!!
Fala kweli JF imeanza kuingiliwa na matapeli kama una dawa weka hapa kila mtu aone biashara hadi kwenye ndoto
 
Habari wapendwa! Katika maisha yangu ya kiutumishi mpaka sasa nimegundua kuwa watu wengi wanaishi kwa mapenzi ya wachawi, watu wengi wanakufa kabla ya siku zao, watu wengi ni masikini kwa sababu ya vifungo walivyo navyo, watu wengi wanaishi maisha ya shida ambayo sio kusudi la Mungu wao kuishi maisha hayo, watu wengi wanaumwa kisukari feki, presha feki, ukimwi feki, yaani hayo magonjwa wamerushiwq na wanaishi nayo! Mungu wetu huwa anazungumza nasi kupitia ndoto ila wengi hawajali wanafikiri ni ndoto tu, lakini laiti wangechukua hatu wasingefikq huko waliko,

Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.Ayubu 33:14

Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani;

Ayubu 33:15

Ukiona unaota ndoto hizi, ndugu yangu chukua hatua! Usifikiri ni ndoto tu! Ni Mungu anakujulisha hali yako ya kiroho! Kumbuka ulimwngu wako wa kiroho ndio hali yako ya kimwili na ndio maisha yako halisi hivyo usipuzie

Angalizo: nazungumzia ndoto inayojirudia zaidi ya mara moja!

1: Kuota unafanya mapenzi kwnye ndoto

2: Kuota unakula kwenye ndoto au kunywa

3: Kuota unakula nyama kwenye ndoto

4: Kuota unaogelea

5: Kuota unapaa kama ndege

6: Kuota unaonana na watu waliokufa au kuongea nao

7; Kuota upo makaburini

8: Kuota upo mtoni unaoga

9: Kuota umengatwq na mbwa au kushambuliwa na mbwq

10: Kuota unangatwq na paka au kushambuliwa na paka wengi

11: Kuota unakimbizwa na ngombe mkali

12: Kuota unakimbizwq na nyoka, au kungatwa na nyoka, ukumbwa wa nyoka una maana yake,

Hizo ni baadhi ya ndoto mbaya ambayo hupaswi kuzipuzia ndugu yangu, na kila ndoto hapo ina maana yake, madharq ya ndoto hizi ukizipuzia.

1: Vifo vya ghafula
2: Magonjwa yasiyothibika mfano ukimwi, pressure, kisukari nk
3: Kufa kwenye ajali
4: Migogoro kwenye ndoa
5: Kutokufanikiwa kama wewe umesoma unatafuta kazi hupati na hata kama ukipata unafukuzwa bila sababu
6: Kutokuolewa
7: Umasikini
8: Kwenda jehannum ya moto, hamna muota ndoto hizo atakayeenda mbinguni kama haawezi kuzishugulikia

Kwa jina la Yesu ndugu utawekwa huru, hizi ndoto haziondoki kwa kwenda kwa manabii au kutumia mafuta na vifaa vya kiroho! Ni kwa Jina la Yesu tu! Unawekwa huru ndugu,

Kama wewe unateswa na miongoni mwa ndoto hizo, njoo inbox nikupe maana yake, na suluhu yake!

Nitakuungqnisha na wachungaji wa eneo uliopo ninao wajua na utawekwa huru ndugu yangu!!
We mpuuzi kwerikweri
 
Habari wapendwa! Katika maisha yangu ya kiutumishi mpaka sasa nimegundua kuwa watu wengi wanaishi kwa mapenzi ya wachawi, watu wengi wanakufa kabla ya siku zao, watu wengi ni masikini kwa sababu ya vifungo walivyo navyo, watu wengi wanaishi maisha ya shida ambayo sio kusudi la Mungu wao kuishi maisha hayo, watu wengi wanaumwa kisukari feki, presha feki, ukimwi feki, yaani hayo magonjwa wamerushiwq na wanaishi nayo! Mungu wetu huwa anazungumza nasi kupitia ndoto ila wengi hawajali wanafikiri ni ndoto tu, lakini laiti wangechukua hatu wasingefikq huko waliko,

Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.Ayubu 33:14

Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani;

Ayubu 33:15

Ukiona unaota ndoto hizi, ndugu yangu chukua hatua! Usifikiri ni ndoto tu! Ni Mungu anakujulisha hali yako ya kiroho! Kumbuka ulimwngu wako wa kiroho ndio hali yako ya kimwili na ndio maisha yako halisi hivyo usipuzie

Angalizo: nazungumzia ndoto inayojirudia zaidi ya mara moja!

1: Kuota unafanya mapenzi kwnye ndoto

2: Kuota unakula kwenye ndoto au kunywa

3: Kuota unakula nyama kwenye ndoto

4: Kuota unaogelea

5: Kuota unapaa kama ndege

6: Kuota unaonana na watu waliokufa au kuongea nao

7; Kuota upo makaburini

8: Kuota upo mtoni unaoga

9: Kuota umengatwq na mbwa au kushambuliwa na mbwq

10: Kuota unangatwq na paka au kushambuliwa na paka wengi

11: Kuota unakimbizwa na ngombe mkali

12: Kuota unakimbizwq na nyoka, au kungatwa na nyoka, ukumbwa wa nyoka una maana yake,

Hizo ni baadhi ya ndoto mbaya ambayo hupaswi kuzipuzia ndugu yangu, na kila ndoto hapo ina maana yake, madharq ya ndoto hizi ukizipuzia.

1: Vifo vya ghafula
2: Magonjwa yasiyothibika mfano ukimwi, pressure, kisukari nk
3: Kufa kwenye ajali
4: Migogoro kwenye ndoa
5: Kutokufanikiwa kama wewe umesoma unatafuta kazi hupati na hata kama ukipata unafukuzwa bila sababu
6: Kutokuolewa
7: Umasikini
8: Kwenda jehannum ya moto, hamna muota ndoto hizo atakayeenda mbinguni kama haawezi kuzishugulikia

Kwa jina la Yesu ndugu utawekwa huru, hizi ndoto haziondoki kwa kwenda kwa manabii au kutumia mafuta na vifaa vya kiroho! Ni kwa Jina la Yesu tu! Unawekwa huru ndugu,

Kama wewe unateswa na miongoni mwa ndoto hizo, njoo inbox nikupe maana yake, na suluhu yake!

Nitakuungqnisha na wachungaji wa eneo uliopo ninao wajua na utawekwa huru ndugu yangu!!
Mtumishi, una uthibitisho kwa point namba 8?

Kulingana na Warumi 10:9-10, kinachomfanya mtu kwenda Mbinguni ni yeye kumkiri YESU kuwa ni BWANA na si jitihada zake binafsi. Tunaokolewa kwa Neema.
 
Ni mawazo yako kwa kuwa ufahamu wako umefungwa huwezi kuelewa mpendwa!!
Acheni utapeli ufahamu unafungwa kwa kuto amini unacho amini wewe?watu Tunaota mindoto ya ajabu na hatujafanya lolote wala kwenda kokote na maisha yanaendelea kwa amani na upendo na mafanikio acheni kuongopea watu nyie matapeli wa kiroho
 
Usingizi ukikata.. nishasahu nlikuwa naota nini.. raha sana
 
Habari wapendwa! Katika maisha yangu ya kiutumishi mpaka sasa nimegundua kuwa watu wengi wanaishi kwa mapenzi ya wachawi, watu wengi wanakufa kabla ya siku zao, watu wengi ni masikini kwa sababu ya vifungo walivyo navyo, watu wengi wanaishi maisha ya shida ambayo sio kusudi la Mungu wao kuishi maisha hayo, watu wengi wanaumwa kisukari feki, presha feki, ukimwi feki, yaani hayo magonjwa wamerushiwq na wanaishi nayo! Mungu wetu huwa anazungumza nasi kupitia ndoto ila wengi hawajali wanafikiri ni ndoto tu, lakini laiti wangechukua hatu wasingefikq huko waliko,

Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.Ayubu 33:14

Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani;

Ayubu 33:15

Ukiona unaota ndoto hizi, ndugu yangu chukua hatua! Usifikiri ni ndoto tu! Ni Mungu anakujulisha hali yako ya kiroho! Kumbuka ulimwngu wako wa kiroho ndio hali yako ya kimwili na ndio maisha yako halisi hivyo usipuzie

Angalizo: nazungumzia ndoto inayojirudia zaidi ya mara moja!

1: Kuota unafanya mapenzi kwnye ndoto

2: Kuota unakula kwenye ndoto au kunywa

3: Kuota unakula nyama kwenye ndoto

4: Kuota unaogelea

5: Kuota unapaa kama ndege

6: Kuota unaonana na watu waliokufa au kuongea nao

7; Kuota upo makaburini

8: Kuota upo mtoni unaoga

9: Kuota umengatwq na mbwa au kushambuliwa na mbwq

10: Kuota unangatwq na paka au kushambuliwa na paka wengi

11: Kuota unakimbizwa na ngombe mkali

12: Kuota unakimbizwq na nyoka, au kungatwa na nyoka, ukumbwa wa nyoka una maana yake,

Hizo ni baadhi ya ndoto mbaya ambayo hupaswi kuzipuzia ndugu yangu, na kila ndoto hapo ina maana yake, madharq ya ndoto hizi ukizipuzia.

1: Vifo vya ghafula
2: Magonjwa yasiyothibika mfano ukimwi, pressure, kisukari nk
3: Kufa kwenye ajali
4: Migogoro kwenye ndoa
5: Kutokufanikiwa kama wewe umesoma unatafuta kazi hupati na hata kama ukipata unafukuzwa bila sababu
6: Kutokuolewa
7: Umasikini
8: Kwenda jehannum ya moto, hamna muota ndoto hizo atakayeenda mbinguni kama haawezi kuzishugulikia

Kwa jina la Yesu ndugu utawekwa huru, hizi ndoto haziondoki kwa kwenda kwa manabii au kutumia mafuta na vifaa vya kiroho! Ni kwa Jina la Yesu tu! Unawekwa huru ndugu,

Kama wewe unateswa na miongoni mwa ndoto hizo, njoo inbox nikupe maana yake, na suluhu yake!

Nitakuungqnisha na wachungaji wa eneo uliopo ninao wajua na utawekwa huru ndugu yangu!!
Ndoto hazina shida, kila mtu lazima aote kutokana na pilika za siku.
 
Upo sahihi. Nikilala na njaa huwa naota nakula, natakiwa kuchukua hatua ya kutolala na njaa.
 
Back
Top Bottom