Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Ume potea lindoni mkubwa.Noma sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ume potea lindoni mkubwa.Noma sana
Ni njaa😂Nope.
Niliota meno yanavunjika… haha ni muda umepita,, yan nikishika jino natoka na kipande chake.
Kuna mtu akanambia et utapata msiba wa mtu wako wa karibu.
99.99% ya watu wangu wa karibu wako hai.
Au tu zilikuwa ni shibe?
mdau unanifariji?Waotaji wa ndoto hizo huishia kuwa matajiri wakubwa maishani, focus na uwe unamshukuru sana Mungu
Yali kukuta makubwa 😆🤣, nime cheka Sana mkubwaUsia wangu kwa vijana ni kwamba....
Ukiona unaingia chooni, usinye
Fala kweli JF imeanza kuingiliwa na matapeli kama una dawa weka hapa kila mtu aone biashara hadi kwenye ndotoHabari wapendwa! Katika maisha yangu ya kiutumishi mpaka sasa nimegundua kuwa watu wengi wanaishi kwa mapenzi ya wachawi, watu wengi wanakufa kabla ya siku zao, watu wengi ni masikini kwa sababu ya vifungo walivyo navyo, watu wengi wanaishi maisha ya shida ambayo sio kusudi la Mungu wao kuishi maisha hayo, watu wengi wanaumwa kisukari feki, presha feki, ukimwi feki, yaani hayo magonjwa wamerushiwq na wanaishi nayo! Mungu wetu huwa anazungumza nasi kupitia ndoto ila wengi hawajali wanafikiri ni ndoto tu, lakini laiti wangechukua hatu wasingefikq huko waliko,
Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.Ayubu 33:14
Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani;
Ayubu 33:15
Ukiona unaota ndoto hizi, ndugu yangu chukua hatua! Usifikiri ni ndoto tu! Ni Mungu anakujulisha hali yako ya kiroho! Kumbuka ulimwngu wako wa kiroho ndio hali yako ya kimwili na ndio maisha yako halisi hivyo usipuzie
Angalizo: nazungumzia ndoto inayojirudia zaidi ya mara moja!
1: Kuota unafanya mapenzi kwnye ndoto
2: Kuota unakula kwenye ndoto au kunywa
3: Kuota unakula nyama kwenye ndoto
4: Kuota unaogelea
5: Kuota unapaa kama ndege
6: Kuota unaonana na watu waliokufa au kuongea nao
7; Kuota upo makaburini
8: Kuota upo mtoni unaoga
9: Kuota umengatwq na mbwa au kushambuliwa na mbwq
10: Kuota unangatwq na paka au kushambuliwa na paka wengi
11: Kuota unakimbizwa na ngombe mkali
12: Kuota unakimbizwq na nyoka, au kungatwa na nyoka, ukumbwa wa nyoka una maana yake,
Hizo ni baadhi ya ndoto mbaya ambayo hupaswi kuzipuzia ndugu yangu, na kila ndoto hapo ina maana yake, madharq ya ndoto hizi ukizipuzia.
1: Vifo vya ghafula
2: Magonjwa yasiyothibika mfano ukimwi, pressure, kisukari nk
3: Kufa kwenye ajali
4: Migogoro kwenye ndoa
5: Kutokufanikiwa kama wewe umesoma unatafuta kazi hupati na hata kama ukipata unafukuzwa bila sababu
6: Kutokuolewa
7: Umasikini
8: Kwenda jehannum ya moto, hamna muota ndoto hizo atakayeenda mbinguni kama haawezi kuzishugulikia
Kwa jina la Yesu ndugu utawekwa huru, hizi ndoto haziondoki kwa kwenda kwa manabii au kutumia mafuta na vifaa vya kiroho! Ni kwa Jina la Yesu tu! Unawekwa huru ndugu,
Kama wewe unateswa na miongoni mwa ndoto hizo, njoo inbox nikupe maana yake, na suluhu yake!
Nitakuungqnisha na wachungaji wa eneo uliopo ninao wajua na utawekwa huru ndugu yangu!!
Unarudishwa nyumaMkuu inakuaje unaota upo shuleni asa shule ya msingi muda mwingine unafanya mtihani vitu kibao vya shule ya msingi na marafiki wa primary
Actualy zinabeba ujumbe, zenyewe hazina shida but ujumbe zinabeba si suala la kupuuziaNdoto hazina shida yeyote
We mpuuzi kwerikweriHabari wapendwa! Katika maisha yangu ya kiutumishi mpaka sasa nimegundua kuwa watu wengi wanaishi kwa mapenzi ya wachawi, watu wengi wanakufa kabla ya siku zao, watu wengi ni masikini kwa sababu ya vifungo walivyo navyo, watu wengi wanaishi maisha ya shida ambayo sio kusudi la Mungu wao kuishi maisha hayo, watu wengi wanaumwa kisukari feki, presha feki, ukimwi feki, yaani hayo magonjwa wamerushiwq na wanaishi nayo! Mungu wetu huwa anazungumza nasi kupitia ndoto ila wengi hawajali wanafikiri ni ndoto tu, lakini laiti wangechukua hatu wasingefikq huko waliko,
Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.Ayubu 33:14
Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani;
Ayubu 33:15
Ukiona unaota ndoto hizi, ndugu yangu chukua hatua! Usifikiri ni ndoto tu! Ni Mungu anakujulisha hali yako ya kiroho! Kumbuka ulimwngu wako wa kiroho ndio hali yako ya kimwili na ndio maisha yako halisi hivyo usipuzie
Angalizo: nazungumzia ndoto inayojirudia zaidi ya mara moja!
1: Kuota unafanya mapenzi kwnye ndoto
2: Kuota unakula kwenye ndoto au kunywa
3: Kuota unakula nyama kwenye ndoto
4: Kuota unaogelea
5: Kuota unapaa kama ndege
6: Kuota unaonana na watu waliokufa au kuongea nao
7; Kuota upo makaburini
8: Kuota upo mtoni unaoga
9: Kuota umengatwq na mbwa au kushambuliwa na mbwq
10: Kuota unangatwq na paka au kushambuliwa na paka wengi
11: Kuota unakimbizwa na ngombe mkali
12: Kuota unakimbizwq na nyoka, au kungatwa na nyoka, ukumbwa wa nyoka una maana yake,
Hizo ni baadhi ya ndoto mbaya ambayo hupaswi kuzipuzia ndugu yangu, na kila ndoto hapo ina maana yake, madharq ya ndoto hizi ukizipuzia.
1: Vifo vya ghafula
2: Magonjwa yasiyothibika mfano ukimwi, pressure, kisukari nk
3: Kufa kwenye ajali
4: Migogoro kwenye ndoa
5: Kutokufanikiwa kama wewe umesoma unatafuta kazi hupati na hata kama ukipata unafukuzwa bila sababu
6: Kutokuolewa
7: Umasikini
8: Kwenda jehannum ya moto, hamna muota ndoto hizo atakayeenda mbinguni kama haawezi kuzishugulikia
Kwa jina la Yesu ndugu utawekwa huru, hizi ndoto haziondoki kwa kwenda kwa manabii au kutumia mafuta na vifaa vya kiroho! Ni kwa Jina la Yesu tu! Unawekwa huru ndugu,
Kama wewe unateswa na miongoni mwa ndoto hizo, njoo inbox nikupe maana yake, na suluhu yake!
Nitakuungqnisha na wachungaji wa eneo uliopo ninao wajua na utawekwa huru ndugu yangu!!
Hapana bali unataarifiwa kutulia na kujituma kama ulivyokuwa ukitulia shuleni ili upate matokeo mazurimdau unanifariji?
Mtumishi, una uthibitisho kwa point namba 8?Habari wapendwa! Katika maisha yangu ya kiutumishi mpaka sasa nimegundua kuwa watu wengi wanaishi kwa mapenzi ya wachawi, watu wengi wanakufa kabla ya siku zao, watu wengi ni masikini kwa sababu ya vifungo walivyo navyo, watu wengi wanaishi maisha ya shida ambayo sio kusudi la Mungu wao kuishi maisha hayo, watu wengi wanaumwa kisukari feki, presha feki, ukimwi feki, yaani hayo magonjwa wamerushiwq na wanaishi nayo! Mungu wetu huwa anazungumza nasi kupitia ndoto ila wengi hawajali wanafikiri ni ndoto tu, lakini laiti wangechukua hatu wasingefikq huko waliko,
Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.Ayubu 33:14
Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani;
Ayubu 33:15
Ukiona unaota ndoto hizi, ndugu yangu chukua hatua! Usifikiri ni ndoto tu! Ni Mungu anakujulisha hali yako ya kiroho! Kumbuka ulimwngu wako wa kiroho ndio hali yako ya kimwili na ndio maisha yako halisi hivyo usipuzie
Angalizo: nazungumzia ndoto inayojirudia zaidi ya mara moja!
1: Kuota unafanya mapenzi kwnye ndoto
2: Kuota unakula kwenye ndoto au kunywa
3: Kuota unakula nyama kwenye ndoto
4: Kuota unaogelea
5: Kuota unapaa kama ndege
6: Kuota unaonana na watu waliokufa au kuongea nao
7; Kuota upo makaburini
8: Kuota upo mtoni unaoga
9: Kuota umengatwq na mbwa au kushambuliwa na mbwq
10: Kuota unangatwq na paka au kushambuliwa na paka wengi
11: Kuota unakimbizwa na ngombe mkali
12: Kuota unakimbizwq na nyoka, au kungatwa na nyoka, ukumbwa wa nyoka una maana yake,
Hizo ni baadhi ya ndoto mbaya ambayo hupaswi kuzipuzia ndugu yangu, na kila ndoto hapo ina maana yake, madharq ya ndoto hizi ukizipuzia.
1: Vifo vya ghafula
2: Magonjwa yasiyothibika mfano ukimwi, pressure, kisukari nk
3: Kufa kwenye ajali
4: Migogoro kwenye ndoa
5: Kutokufanikiwa kama wewe umesoma unatafuta kazi hupati na hata kama ukipata unafukuzwa bila sababu
6: Kutokuolewa
7: Umasikini
8: Kwenda jehannum ya moto, hamna muota ndoto hizo atakayeenda mbinguni kama haawezi kuzishugulikia
Kwa jina la Yesu ndugu utawekwa huru, hizi ndoto haziondoki kwa kwenda kwa manabii au kutumia mafuta na vifaa vya kiroho! Ni kwa Jina la Yesu tu! Unawekwa huru ndugu,
Kama wewe unateswa na miongoni mwa ndoto hizo, njoo inbox nikupe maana yake, na suluhu yake!
Nitakuungqnisha na wachungaji wa eneo uliopo ninao wajua na utawekwa huru ndugu yangu!!
Ukiota unatembea juu ya zulia jekundu mshukuru Mungu, mambo yako ni mazuri.mtupe na upande mwingine wa ndoto zipi tukiota tujue tunaenda kutoboa sio kututisha tu kila siku aisee....
Acheni utapeli ufahamu unafungwa kwa kuto amini unacho amini wewe?watu Tunaota mindoto ya ajabu na hatujafanya lolote wala kwenda kokote na maisha yanaendelea kwa amani na upendo na mafanikio acheni kuongopea watu nyie matapeli wa kirohoNi mawazo yako kwa kuwa ufahamu wako umefungwa huwezi kuelewa mpendwa!!
Hujanizidi kila siku niko primary au university nafanya paper na UE za kutosha wakati nishamaliza kitambomimi ni muhanga na hii ndoto
Kama mimi aiseeeMimi kila mara naota sometimes chuo hila nao soma nao ni washule za msingi
nipo hata nisipo comment.Ume potea lindoni mkubwa.
Ndoto hazina shida, kila mtu lazima aote kutokana na pilika za siku.Habari wapendwa! Katika maisha yangu ya kiutumishi mpaka sasa nimegundua kuwa watu wengi wanaishi kwa mapenzi ya wachawi, watu wengi wanakufa kabla ya siku zao, watu wengi ni masikini kwa sababu ya vifungo walivyo navyo, watu wengi wanaishi maisha ya shida ambayo sio kusudi la Mungu wao kuishi maisha hayo, watu wengi wanaumwa kisukari feki, presha feki, ukimwi feki, yaani hayo magonjwa wamerushiwq na wanaishi nayo! Mungu wetu huwa anazungumza nasi kupitia ndoto ila wengi hawajali wanafikiri ni ndoto tu, lakini laiti wangechukua hatu wasingefikq huko waliko,
Kwa kuwa Mungu hunena mara moja, Naam, hata mara ya pili, ajapokuwa mtu hajali.Ayubu 33:14
Katika ndoto, katika maono ya usiku, Usingizi mzito uwajiliapo watu, Katika usingizi kitandani;
Ayubu 33:15
Ukiona unaota ndoto hizi, ndugu yangu chukua hatua! Usifikiri ni ndoto tu! Ni Mungu anakujulisha hali yako ya kiroho! Kumbuka ulimwngu wako wa kiroho ndio hali yako ya kimwili na ndio maisha yako halisi hivyo usipuzie
Angalizo: nazungumzia ndoto inayojirudia zaidi ya mara moja!
1: Kuota unafanya mapenzi kwnye ndoto
2: Kuota unakula kwenye ndoto au kunywa
3: Kuota unakula nyama kwenye ndoto
4: Kuota unaogelea
5: Kuota unapaa kama ndege
6: Kuota unaonana na watu waliokufa au kuongea nao
7; Kuota upo makaburini
8: Kuota upo mtoni unaoga
9: Kuota umengatwq na mbwa au kushambuliwa na mbwq
10: Kuota unangatwq na paka au kushambuliwa na paka wengi
11: Kuota unakimbizwa na ngombe mkali
12: Kuota unakimbizwq na nyoka, au kungatwa na nyoka, ukumbwa wa nyoka una maana yake,
Hizo ni baadhi ya ndoto mbaya ambayo hupaswi kuzipuzia ndugu yangu, na kila ndoto hapo ina maana yake, madharq ya ndoto hizi ukizipuzia.
1: Vifo vya ghafula
2: Magonjwa yasiyothibika mfano ukimwi, pressure, kisukari nk
3: Kufa kwenye ajali
4: Migogoro kwenye ndoa
5: Kutokufanikiwa kama wewe umesoma unatafuta kazi hupati na hata kama ukipata unafukuzwa bila sababu
6: Kutokuolewa
7: Umasikini
8: Kwenda jehannum ya moto, hamna muota ndoto hizo atakayeenda mbinguni kama haawezi kuzishugulikia
Kwa jina la Yesu ndugu utawekwa huru, hizi ndoto haziondoki kwa kwenda kwa manabii au kutumia mafuta na vifaa vya kiroho! Ni kwa Jina la Yesu tu! Unawekwa huru ndugu,
Kama wewe unateswa na miongoni mwa ndoto hizo, njoo inbox nikupe maana yake, na suluhu yake!
Nitakuungqnisha na wachungaji wa eneo uliopo ninao wajua na utawekwa huru ndugu yangu!!
Sawanipo hata nisipo comment.