Ukiona unaota ndoto hizi chukua hatua mapema

Nilikuwa natafuta ya kuota unafanya mtihani nashukuru Mungu siyaiona kwenye list Yako.
 
Umezunguka wee bt lengo lako kuponda mitume na manabii na kutangaza dhehebu lako hutoboi kwa style hii. Kama ilivyo wapo mitume na manabii wa uwongo na kweli pia wapo wachungaji wa namna hiyo, inshu ya maji na mafuta ni vitu vpo kbs hata ndan ya bible na vinatumika spiritually ulimwengu wa nuru na giza.
 
Sio kweli, mpendwa, mafuta na maji yeyote anayetumia vyitu hivyo ni feki wala hatokqni na Mungu ninayemjua, na kama upo vizuri kimaandiko njoo inbox nikupe namba ya wasap unionyeshe ni wapi wamesema tutumie maji na mafuta kwenye ibaada zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…