Ukiona wanavyotamba hapa utafikiri vipimo vimepamba moto

Ukiona wanavyotamba hapa utafikiri vipimo vimepamba moto

Hahaha hizo mbinu wanazotumia kupambana na Corona ndio huwafanya waonekane mapoyoyo, tunaimbiwa kila siku tumaintain social distancing lakini wanalundikwa kama mishkaki na bakora juu
 
Hii mihemko na chuki dhidi ya wakenya inasaidia nini?
chuki unamchukia mtu aliyestable than you

Sasa hawa ni wa kuchukiwa au wa kuonewa huruma?

Ninyi critics wa serikali haya yangetokea Tanzania nchi hii kungekalika kweli? Acheni unafiki na kujifanya hauoni upumbavu unaoendelea Kenya

Ingekua hii imetokea Tanzania mngempersonalize Magufuli directly na hili, ila sababu ni Kenya mmeufyata na kujitia chongo.
 
hivi huko ulaya na marekani wote wanapimwa?.
si unaona wanadondoka wenyewe.
HIVI KWELI HAPA TANZANIA MTU AUMWE CORONA ALAFU AKAE TU HOME?.
au wanaumwa lakini WANAPONA WENYEWE?.
basi sisi tuna damu nzuri.
Ila walau wanajitahidi, kwa siku tumeambiwa wanapima mamia ya watu... Ningefurahi kama hata sisi tungeiga hili

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
hivi huko ulaya na marekani wote wanapimwa?.
si unaona wanadondoka wenyewe.
HIVI KWELI HAPA TANZANIA MTU AUMWE CORONA ALAFU AKAE TU HOME?.
au wanaumwa lakini WANAPONA WENYEWE?.
basi sisi tuna damu nzuri.

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Japo sijaelewa hoja yako ila hata mimi sijasema wapime wote maana ni kitu ambacho hakiwezekani. Sawa tuseme kweli tunaugua na kupona lakini si wapo pia wanaokufa? Kitendo cha kuugua hadi kupona huyu mtu tayari anakuwa ameambukiza wangapi? Na kati ya hao aliowaambukiza wote watakuwa na kinga thabiti?
 
Ila walau wanajitahidi, kwa siku tumeambiwa wanapima mamia ya watu... Ningefurahi kama hata sisi tungeiga hili
Wakishapima nini kinatokea?, wamarekani wamepima mpaka Trump kaamua kuacha kupima kwasababu haisaidii kitu. Muhimu ni kuepuka misongamano, hayo ya kupima ni ujinga tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hoja yangu ni kwamba.
Kama Tanzania kungekuwepo wagonjwa wengi wa corona.
WANGEONEKANA hata bila ya kupimwa..
wenzetu huko kila siku wanaambukizwa,kila siku wanakufa,kila siku kuna wagonjwa wapo MAHUTUTI wanakaribia kufa sababu ya corona.
lakini hapa kwetu hamnaaa.
na kama wapo basi WANAPONA WENYEWE.
Ndo mwisho nikasema "SISI TUNA DAMU NZURI".
maana tunaugua corona alafu tunapona wenyewe.
Japo sijaelewa hoja yako ila hata mimi sijasema wapime wote maana ni kitu ambacho hakiwezekani. Sawa tuseme kweli tunaugua na kupona lakini si wapo pia wanaokufa? Kitendo cha kuugua hadi kupona huyu mtu tayari anakuwa ameambukiza wangapi? Na kati ya hao aliowaambukiza wote watakuwa na kinga thabiti?

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Wakishapima nini kinatokea?, wamarekani wamepima mpaka Trump kaamua kuacha kupima kwasababu haisaidii kitu. Muhimu ni kuepuka misongamano, hayo ya kupima ni ujinga tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakishapima si wagonjwa wanakuwa isolated wasiendelee kuambukiza? Huko kwa Trump wako wengi mno ndio maana wanazidiwa ila sisi Kwa kiwango cha maambukizi kilichopo natumaini tungeweza kudhibiti
 
Na hata hivyo corona inajionesha Yenyewe wala haina haja ya kuitangaza.
kesho tunatimiza mwezi.
Ndani ya mwezi huu huko ulaya na marekani zote na baadhi za nchi za Africa wamekufa watu wengiii.wameambukizwa watu wengiii..
Lakini sisi tuna wagonjwa 32 mtu hataki kuamini anaona serikali inadanganya.
Sasa serikali idanganye ili iweje?.
Kwa faida ya nani?.
Serikali ina muogopa nani?
Wakishapima nini kinatokea?, wamarekani wamepima mpaka Trump kaamua kuacha kupima kwasababu haisaidii kitu. Muhimu ni kuepuka misongamano, hayo ya kupima ni ujinga tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Ila walau wanajitahidi, kwa siku tumeambiwa wanapima mamia ya watu... Ningefurahi kama hata sisi tungeiga hili
unajua sisi Watanzania tuko very slow, mwezi mzima baada ya ulimwengu mzima kufunga anga zake hakuna ndege kuingia wala kutoka ndio sisi nasi tunashtuka ikiwa too late wakati tayari kumekucha.
dunia nzima sasa inajitahidi kuizibiti Corona ilhali sie bado tumelalia masikio huku kirusi kikizidi kukolea mitaani. hakuna kupima wala tahadhari zozote muafaka zinazochukuliwa.
kwa hili la Corona, serikali yetu imefeli na haina nia njema na watu wake.
 
Swali kuna wagonjwa wangapi hapa Tanzania?
unajua sisi Watanzania tuko very slow, mwezi mzima baada ya ulimwengu mzima kufunga anga zake hakuna ndege kuingia wala kutoka ndio sisi nasi tunashtuka ikiwa too late wakati tayari kumekucha.
dunia nzima sasa inajitahidi kuizibiti Corona ilhali sie bado tumelalia masikio huku kirusi kikizidi kukolea mitaani. hakuna kupima wala tahadhari zozote muafaka zinazochukuliwa.
kwa hili la Corona, serikali yetu imefeli na haina nia njema na watu wake.

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Japo sijaelewa hoja yako ila hata mimi sijasema wapime wote maana ni kitu ambacho hakiwezekani. Sawa tuseme kweli tunaugua na kupona lakini si wapo pia wanaokufa? Kitendo cha kuugua hadi kupona huyu mtu tayari anakuwa ameambukiza wangapi? Na kati ya hao aliowaambukiza wote watakuwa na kinga thabiti?
Sasa kupima kama wafanyavyo Kenya kunasaidiaje
1)Wanapima watu waliokwenda Hospitali kutafuta matibabu
2)Wanapima watu wote waliopo karantini
3)Wanapima "contacts" wa watu wote waliopatikana na virusi.

Makundi yote Haya, tayari yapo mikononi mwa serikali na wameshatengwa hawakutani tena na jamii, ukiacha mamba moja hapo juu, hao wengine wanapimwa kwasababu gani?, kwanini wasisubiri siku 14 na kupima wale watakaokuwa na dalili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unajua sisi Watanzania tuko very slow, mwezi mzima baada ya ulimwengu mzima kufunga anga zake hakuna ndege kuingia wala kutoka ndio sisi nasi tunashtuka ikiwa too late wakati tayari kumekucha.
dunia nzima sasa inajitahidi kuizibiti Corona ilhali sie bado tumelalia masikio huku kirusi kikizidi kukolea mitaani. hakuna kupima wala tahadhari zozote muafaka zinazochukuliwa.
kwa hili la Corona, serikali yetu imefeli na haina nia njema na watu wake.
Wanadai eti damu yetu nzuri hatuugui, mwanzo walisema waafrika hatupati...haya tumepata na tunakufa vile vile.
 
Sasa kupima kama wafanyavyo Kenya kunasaidiaje
1)Wanapima watu waliokwenda Hospitali kutafuta matibabu
2)Wanapima watu wote waliopo karantini
3)Wanapima "contacts" wa watu wote waliopatikana na virusi.

Makundi yote Haya, tayari yapo mikononi mwa serikali na wameshatengwa hawakutani tena na jamii, ukiacha mamba moja hapo juu, hao wengine wanapimwa kwasababu gani?, kwanini wasisubiri siku 14 na kupima wale watakaokuwa na dalili?

Sent using Jamii Forums mobile app
Vyovyote iwavyo, walau serikali imelichukulia kwa uzito sio sawa na sisi. Na, tukitaka kupima tunaweza kutumia mfumo ulio bora zaidi
 
Back
Top Bottom