Ukiona wanavyotamba hapa utafikiri vipimo vimepamba moto

Ukiona wanavyotamba hapa utafikiri vipimo vimepamba moto

hoja yangu ni kwamba.
Kama Tanzania kungekuwepo wagonjwa wengi wa corona.
WANGEONEKANA hata bila ya kupimwa..
wenzetu huko kila siku wanaambukizwa,kila siku wanakufa,kila siku kuna wagonjwa wapo MAHUTUTI wanakaribia kufa sababu ya corona.
lakini hapa kwetu hamnaaa.
na kama wapo basi WANAPONA WENYEWE.
Ndo mwisho nikasema "SISI TUNA DAMU NZURI".
maana tunaugua corona alafu tunapona wenyewe.

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Sawa kabisa, huu ugonjwa ni kama Ebola na Kipindupindu, kama kweli upo, ndani ya wiki mbili utashuhudia wagonjwa wamejazana mahospitalini, na watu wengi wanakufa ndani ya muda mfupi sana, kama kilichowakuta TBC, hawa wafanyakazi waliokufa, wiki jana walikua ofisini kama kawaida, lakini wiki hii wamekufa, huu ugonjwa haujifichi kabisa, Tanzania bado maambukizi ni kidogo sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyovyote iwavyo, walau serikali imelichukulia kwa uzito sio sawa na sisi. Na, tukitaka kupima tunaweza kutumia mfumo ulio bora zaidi
Uzito upi, kupima bila kuchukua hatua zozote za maana?, bora ungesema Rwanda na Uganda kidogo ningekuelewa, katika serikali ambayo inafanya mambo ya hovyo na yasiyoeleweka katika kupambana na Corona ni Kenya, ndio sababu maambukizi yanaongezeka kuliko nchi yoyote katika ukanda huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Koma kujiita Mtanzania mjinga wewe.
unajua sisi Watanzania tuko very slow, mwezi mzima baada ya ulimwengu mzima kufunga anga zake hakuna ndege kuingia wala kutoka ndio sisi nasi tunashtuka ikiwa too late wakati tayari kumekucha.
dunia nzima sasa inajitahidi kuizibiti Corona ilhali sie bado tumelalia masikio huku kirusi kikizidi kukolea mitaani. hakuna kupima wala tahadhari zozote muafaka zinazochukuliwa.
kwa hili la Corona, serikali yetu imefeli na haina nia njema na watu wake.
 
unajua sisi Watanzania tuko very slow, mwezi mzima baada ya ulimwengu mzima kufunga anga zake hakuna ndege kuingia wala kutoka ndio sisi nasi tunashtuka ikiwa too late wakati tayari kumekucha.
dunia nzima sasa inajitahidi kuizibiti Corona ilhali sie bado tumelalia masikio huku kirusi kikizidi kukolea mitaani. hakuna kupima wala tahadhari zozote muafaka zinazochukuliwa.
kwa hili la Corona, serikali yetu imefeli na haina nia njema na watu wake.
Ninyi tatizo hamjui nini mnafanya katika haya mapambano, kila hatua ya maambukizi Ina "intervention" yake. Kenya mlipofikia kutokana na idadi kubwa ya wenye maambukizi, mlipaswa muwe ndani ya "total lockdown", lakini hadi sasa bado mnazinguka,badhindwa na Rwanda na Uganda walitangaza " total lockdown " wakiwa na wagonjwa 50 tu, ninyi hadi sasa mnakaribia 200 lakini bado hamtangazi lockdown kwa kuogopa uchumi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzito upi, kupima bila kuchukua hatua zozote za maana?, bora ungesema Rwanda na Uganda kidogo ningekuelewa, katika serikali ambayo inafanya mambo ya hovyo na yasiyoeleweka katika kupambana na Corona ni Kenya, ndio sababu maambukizi yanaongezeka kuliko nchi yoyote katika ukanda huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya bwana
 
Wakishapima si wagonjwa wanakuwa isolated wasiendelee kuambukiza? Huko kwa Trump wako wengi mno ndio maana wanazidiwa ila sisi Kwa kiwango cha maambukizi kilichopo natumaini tungeweza kudhibiti
Jaribu kuelewa kwanza kabla ya kujibu, hao wote wanaopimwa Kenya, tayari wapo "Isolated", ukiacha wagonjwa wanaopimwa wakiwa Hospitalini, ambao hata Tanzania pia tunawapima, hao wengine wote wanaopimwa huko Kenya, ni wale ambao tayari wapo chini ya karantini, hawaambukizi tena, sasa wanapimwa ili iweje wakati tayari wapo katika karantini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaribu kuelewa kwanza kabla ya kujibu, hao wote wanaopimwa Kenya, tayari wapo "Isolated", ukiacha wagonjwa wanaopimwa wakiwa Hospitalini, ambao hata Tanzania pia tunawapima, hao wengine wote wanaopimwa huko Kenya, ni wale ambao tayari wapo chini ya karantini, hawaambukizi tena, sasa wanapimwa ili iweje wakati tayari wapo katika karantini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo hayo na ninyi mnafanya? Basi nilijua wanapima watu wote
 
Sasa kupima kama wafanyavyo Kenya kunasaidiaje
1)Wanapima watu waliokwenda Hospitali kutafuta matibabu
2)Wanapima watu wote waliopo karantini
3)Wanapima "contacts" wa watu wote waliopatikana na virusi.

Makundi yote Haya, tayari yapo mikononi mwa serikali na wameshatengwa hawakutani tena na jamii, ukiacha mamba moja hapo juu, hao wengine wanapimwa kwasababu gani?, kwanini wasisubiri siku 14 na kupima wale watakaokuwa na dalili?

Sent using Jamii Forums mobile app

Siku 14 hadi dalili zionekane kashaambukiza wangapi
 
Uzito upi, kupima bila kuchukua hatua zozote za maana?, bora ungesema Rwanda na Uganda kidogo ningekuelewa, katika serikali ambayo inafanya mambo ya hovyo na yasiyoeleweka katika kupambana na Corona ni Kenya, ndio sababu maambukizi yanaongezeka kuliko nchi yoyote katika ukanda huu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Na sii kwamba wanafanya testing ya zaidi ya wa2 500 kwa siku ndoo maana new cases zinatokea kwa saana
 
chuki unamchukia mtu aliyestable than you

Sasa hawa ni wa kuchukiwa au wa kuonewa huruma?

Ninyi critics wa serikali haya yangetokea Tanzania nchi hii kungekalika kweli? Acheni unafiki na kujifanya hauoni upumbavu unaoendelea Kenya

Ingekua hii imetokea Tanzania mngempersonalize Magufuli directly na hili, ila sababu ni Kenya mmeufyata na kujitia chongo.

Unajiona mjaaanja mwenyewe!

Maoni yakishaambatana na chuki yanakua ni ugoro mtupu.
 
Ninyi tatizo hamjui nini mnafanya katika haya mapambano, kila hatua ya maambukizi Ina "intervention" yake. Kenya mlipofikia kutokana na idadi kubwa ya wenye maambukizi, mlipaswa muwe ndani ya "total lockdown", lakini hadi sasa bado mnazinguka,badhindwa na Rwanda na Uganda walitangaza " total lockdown " wakiwa na wagonjwa 50 tu, ninyi hadi sasa mnakaribia 200 lakini bado hamtangazi lockdown kwa kuogopa uchumi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah...kiongozi utajuaje idadi sahihi ya wagonjwa kama hupimi?...kiukweli hapa tunabeti....ngoja tusubiri kama tutalala au hatutalala [emoji41]

Sent using Beretta ARX160
 
Back
Top Bottom