joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Nani amekuambia dunia inataka kujua idadi ya wagonjwa?, dunia lengo lake kwa sasa ni kuzuia maambukizi yasiongezeke zaidi, kupima na kujua idadi ya wagonjwa nchini haisaidii kupunguza wagonjwa wasiongezeke, njia pekee ya kuzuia maambukizi ni kuzuia watu wasikutane, haijalishi umewapima au hukuwapima.Dah...kiongozi utajuaje idadi sahihi ya wagonjwa kama hupimi?...kiukweli hapa tunabeti....ngoja tusubiri kama tutalala au hatutalala [emoji41]
Sent using Beretta ARX160
Measure kama zipi ambazo zinaweza kuchukuliwa ili ugonjwa usifanye damage kwenye mapafu?, ndio sababu nikasisitiza kutumia akili kwanza kabla ya kuandika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kwanini ni wa Tanzania na Wakenya kila siku?Mbona sio waganda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani amekuambia dunia inataka kujua idadi ya wagonjwa?, dunia lengo lake kwa sasa ni kuzuia maambukizi yasiongezeke zaidi, kupima na kujua idadi ya wagonjwa nchini haisaidii kupunguza wagonjwa wasiongezeke, njia pekee ya kuzuia maambukizi ni kuzuia watu wasikutane, haijalishi umewapima au hukuwapima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa akili zao huwa wanazielewa wao wenyewe. Chuki dhidi ya wakenya haitazuia maambukizi nchini Tz. Kuikashifu Kenya wakati Tz waumini wanakubaliwa kuendelea kushiriki kwa wingi kwenye ibada hakutachangia chochote, kwenye vita dhidi ya maambukizi nchini Tz. Kenya haitizami Tz kwenye masuala kama vipimo au vita hivi dhidi ya virusi vya Corona. Wakenya tunaikashifu serikali yetu kila uchao na kuwalazimisha wawajibike. Ingekuwa jambo la busara kama hao watz wenzako wangejikita kwenye mambo kama hayo, sio kuunga mkono upupu ambao haueleweki. Kisa vitu vya kipumbavu kama vyama vya kisiasa wakati tayari kuna vifo ambavyo vimetokea kwasababu ya Corona.Hii mihemko na chuki dhidi ya wakenya inasaidia nini?
zii, sidhani kama upo sahihi. usituweke kwenye kapu/ kundi moja. hatuwezi kuwa sawa. lazma kuna mmoja yupo juu na alieko chini amejawa na wivu, chuki na majungu. tizama ramani ya Afrika utapata ni yupi aliye juu na atabaki kuwa juu miaka alfu lela ulela upende usipende utake usitake ulie au ucheke aliyeko chini ni shit hole kabisaWabongo na wakenya tuna USWAHILI MWINGI.
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Mkiaambiwa ukweli mnakimbilia kuandika mnachukiwa!Hawa akili zao huwa wanazielewa wao wenyewe. Chuki dhidi ya wakenya haitazuia maambukizi nchini Tz. Kuikashifu Kenya wakati Tz waumini wanakubaliwa kuendelea kushiriki kwa wingi kwenye ibada hakutachangia chochote, kwenye vita dhidi ya maambukizi nchini Tz. Kenya haitizami Tz kwenye masuala kama vipimo au vita hivi dhidi ya virusi vya Corona. Wakenya tunaikashifu serikali yetu kila uchao na kuwalazimisha wawajibike. Ingekuwa jambo la busara kama hao watz wenzako wangejikita kwenye mambo kama hayo, sio kuunga mkono upupu ambao haueleweki. Kisa vitu vya kipumbavu kama vyama vya kisiasa wakati tayari kuna vifo ambavyo vimetokea kwasababu ya Corona.
Haha hoja?Hoja imekushinda
LOL "miaka alfu lela ulela" 😂😂😂😂zii, sidhani kama upo sahihi. usituweke kwenye kapu/ kundi moja. hatuwezi kuwa sawa. lazma kuna mmoja yupo juu na alieko chini amejawa na wivu, chuki na majungu. tizama ramani ya Afrika utapata ni yupi aliye juu na atabaki kuwa juu miaka alfu lela ulela upende usipende utake usitake ulie au ucheke aliyeko chini ni shit hole kabisa
Acha mihemko ya kiboya na ukasuku mwingi. Nimejibu comment ya mtz mwenzako hapo juu. Sasa sielewi kwanini unaanza kunihubiria hii injili yako ya kuzimu.Mkiaambiwa ukweli mnakimbilia kuandika mnachukiwa!
Mchukiwe na kipi kwa mfano?
Mchukiwe kwa kuiga iga ovyo mabwana zenu ili muwafuraishe na muonekane mna akili kuwazidi waafrika wengine kumbe hakuna kitu!
Mchukiwe kwa kupenda kukurupuka kwenye mambo yanayoitaji kutumia akili!
Hivi huwa hamuoni nyie ndio mna chuki yenyewe ile!
Nyie pamoja na vyombo vyenu vya habari mliitukana Tanzania na kumuita rais wetu mkaidi na kuitaka serikali yenu ifunge mipaka yote sana sana iliyopakana na Tz... Kiko wapi sasa... Mbona wakenya wanaikimbia nchi yenu na kuja Tz!
Mnaiga iga tembo kunya ona sasa mnavyochanika misamba!
Mara mseme tunaficha corona... hivi corona inafichika!
Nyee nyee hapa.Acha mihemko ya kiboya na ukasuku mwingi. Nimejibu comment ya mtz mwenzako hapo juu. Sasa sielewi kwanini unaanza kunihubiria hii injili yako ya kuzimu.
Mkuu, leta scoreboard?Nani amekuambia dunia inataka kujua idadi ya wagonjwa?, dunia lengo lake kwa sasa ni kuzuia maambukizi yasiongezeke zaidi, kupima na kujua idadi ya wagonjwa nchini haisaidii kupunguza wagonjwa wasiongezeke, njia pekee ya kuzuia maambukizi ni kuzuia watu wasikutane, haijalishi umewapima au hukuwapima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alfu lela ulela ni kiswahili sanifu kabisa na inamaanisha elfu na moja. Tafuta vitabu vya hadithi za 'Arabian Nights' uboreshe kiswahili chako, vimefikia toleo la nne kwa sasa. Sio unakomalia tu humu kwenye jukwaa hili ukibweka bweka.LOL "miaka alfu lela ulela" Ndio nini hicho?
dawa ipo mkuu tupo kwenye maabara flani apa dodm tunaipikaaaa...Wanadai eti damu yetu nzuri hatuugui, mwanzo walisema waafrika hatupati...haya tumepata na tunakufa vile vile.
Nchi gani inafanya "mass testing?", Europe hakuna nchi hata moja inayofanya, Marekani nayo juzi Trump anesimamisha hilo zoezi na kusema halina umuhimu wowote. Jielimishe kwanza kabla ya kuandika.Hehehe asilimia kubwa duniani kama sii woote wanafanya mass testing... kama upo kwenye kundi la kuelezewa umuhimu wa testing kufanyika kwa wingi.... unahitaji kusoma saana kupata mtazamo kwann dunia nzima inafanya testing
Jambo la kushangaza, ni wakenya ndio wanaoshikwa wakikimbilia Tanzania kwa kutumia njia za panya. Hakuna mtanzania anayekuja Kenya kwa njia za panya.Hawa akili zao huwa wanazielewa wao wenyewe. Chuki dhidi ya wakenya haitazuia maambukizi nchini Tz. Kuikashifu Kenya wakati Tz waumini wanakubaliwa kuendelea kushiriki kwa wingi kwenye ibada hakutachangia chochote, kwenye vita dhidi ya maambukizi nchini Tz. Kenya haitizami Tz kwenye masuala kama vipimo au vita hivi dhidi ya virusi vya Corona. Wakenya tunaikashifu serikali yetu kila uchao na kuwalazimisha wawajibike. Ingekuwa jambo la busara kama hao watz wenzako wangejikita kwenye mambo kama hayo, sio kuunga mkono upupu ambao haueleweki. Kisa vitu vya kipumbavu kama vyama vya kisiasa wakati tayari kuna vifo ambavyo vimetokea kwasababu ya Corona.
Wakishapima nini kinatokea?, wamarekani wamepima mpaka Trump kaamua kuacha kupima kwasababu haisaidii kitu. Muhimu ni kuepuka misongamano, hayo ya kupima ni ujinga tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi gani inafanya "mass testing?", Europe hakuna nchi hata moja inayofanya, Marekani nayo juzi Trump anesimamisha hilo zoezi na kusema halina umuhimu wowote. Jielimishe kwanza kabla ya kuandika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nchi gani inafanya "mass testing?", Europe hakuna nchi hata moja inayofanya, Marekani nayo juzi Trump anesimamisha hilo zoezi na kusema halina umuhimu wowote. Jielimishe kwanza kabla ya kuandika.
Sent using Jamii Forums mobile app