zii, sidhani kama upo sahihi. usituweke kwenye kapu/ kundi moja. hatuwezi kuwa sawa. lazma kuna mmoja yupo juu na alieko chini amejawa na wivu, chuki na majungu. tizama ramani ya Afrika utapata ni yupi aliye juu na atabaki kuwa juu miaka alfu lela ulela upende usipende utake usitake ulie au ucheke aliyeko chini ni shit hole kabisa