Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaTatizo hata tukiwaombea mema mkiamua kuachana mtaachana Tu🤣🤣
Ni nyinyi wenyewe kuamua....mkiamua kuwa wote, hata turoge, mtabaki pamoja, msitusingizie walimwengu.
Wewe ni kimeoTatizo hata tukiwaombea mema mkiamua kuachana mtaachana Tu[emoji1787][emoji1787]
Ni nyinyi wenyewe kuamua....mkiamua kuwa wote, hata turoge, mtabaki pamoja, msitusingizie walimwengu.
Ni kweli 😃Tatizo hata tukiwaombea mema mkiamua kuachana mtaachana Tu🤣🤣
Ni nyinyi wenyewe kuamua....mkiamua kuwa wote, hata turoge, mtabaki pamoja, msitusingizie walimwengu.
hahahaha, tusingepoteza mudaa hata kidogooKwann heading yako usingeandika kiingereza tu..? Wahuni tungeiruka mapema tu
Kwanza unatakiwa unishukuru nilivyokutabiria kuwa hii manzi itafia kifuani kwako na ulipinga kwa maneno makali.Unajitahidi sana kutumia akili wakati hauna.
Upewe maua yakoKwanza unatakiwa unishukuru nilivyokutabiria kuwa hii manzi itafia kifuani kwako na ulipinga kwa maneno makali.
Hebu leteni fungu la kumi kwa nabii...kijana[emoji23]
Maua ya kazi gani leteni fungu la kumi😂😂Upewe maua yako
Maua ya kazi gani lwteni fungu la kumi[emoji23][emoji23]
Nataka asaliBro hutaki nyuki [emoji23][emoji23][emoji23]
Nataka asali
Nilikuita umsikilize mmeo shemHivi ulikuwa unasemaje nimeambiwa umeniita [emoji12]
Nilikuita umsikilize mmeo shem
Limeisha hilo, don't worryMaua ya kazi gani leteni fungu la kumi[emoji23][emoji23]
Ukiona kitabu hujakielewa, hujaandikiwa weweNimesomaaaa hata sijamwelewa naona kaandika hajui anaongelea nn.