Ukiona wenzako wanavyofanya ufugaji wa kuku, Mabanda yao walivyojenga, kwa hakika hutaacha kufuga

Ukiona wenzako wanavyofanya ufugaji wa kuku, Mabanda yao walivyojenga, kwa hakika hutaacha kufuga

Mkuu mfano wanaojitengenezea chakula kwa kuku 500,unaweza pata faida kiasi gani,coz my experience ninayo kwenye vyakula vya CP or FALCON .Still napata enough profit

Kama unapata faida katika chakula cha CP AU Falcon huna haja ya kutengeneza mwenyewe chakula but maeneo mengine chakula cha kuku huwa kinauzwa kwa bei mbaya sana kitu ambacho inashusha faida yako.
 
Kama unapata faida katika chakula cha CP AU Falcon huna haja ya kutengeneza mwenyewe chakula but maeneo mengine chakula cha kuku huwa kinauzwa kwa bei mbaya sana kitu ambacho inashusha faida yako.

Kaka naweza pata mfano wa price za chakula hapo dodoma?
 
Nimevutiwa sana na haya mabanda...niko ktk mkakati wa kuanza kilimo cha mifugo...ningependa kupata ushauri zaidi juu ya ujenzi wa mabanda bora ya kuku...eneo ninalo la kutosha.

Tuwasiliane bwana Rukundo nitakushauri vizuri na utaweza kujenga mabanda bora na yenye sifa
 
Bird_cages_chicken_farm_building.jpg
 
Cages ni nzuri, tatizo ni mtaji kwa wasio na kipato kikubwa. Na kwa tz mayai ya kisasa hayana bei ya uhakika.upembuzi wa kina unahitajika kabla ya kujiingiza mzimamzima.cos uwekezaji wake ni mara mbili ya mabanda ya kawaida.
 
Hongera sanaa mkuu,thread nzuri sanaa,kwa wale wote walioko Dar na mikoa ya karibu,mnaweza pata kuku wa nyama na wayai,pamoja na vijogoo kwa bei nafuu kabisa na raisi kufuga.

Broiler (Nyama) ni TZS 1300
Layers (Mayai) no TZS 2200
Vijogoo (Male Layers ) ni TZS 40
Hizi ni bay per DOC na ndani ya box wanakaa 102.

Vifaranga toka breed bora kabisa ya ISA BROWN NA ARBOR ACER.

NITAFUTE KWENYE NO 0717332652,Kwa wale ambao mmeshanunua kwangu mnaweza elezea ubora wa bizaaa zangu.

KUKU WANALIPA SANA,JIAJIRI MAISHA YATAENDA TU.

Mkuu unaruhusu mtu kupata uzoefu katika shamba lako...
 
Mabanda ya gharama nafuu haya, ukiwa na 1.5 m unaweza kujenga banda la aina hii kama ambavyo lionekanavyo katika picha. Banda hili lina uwezo wa kuchukua kuku 500 wa nyama Broilers kuku chotara na kienyeji. Ukiamua unaweza, ni kujipanga tu.

Banda la kuku 2.jpg Banda la kuku 3.jpg Banda la kuku 5.jpg Banda la kuku 6.jpg
 
Ufugaji wa Kware kwa sasa umekuwa wenye tija kubwa hasa kutokana na kware mwenyewe pamoja na mayai yake kutumika kama dawa kwa watoto na wazee. Kutokana na matumizi hayo, mahitaji ya kware na mayai yake yamekuwa yakiongezeka siku hadi siku. Kwakuwa mahitaji ni makubwa kuliko uzalishaji wake, umefanya bei ya mayai na kware kuwa kubwa. Kwa sasa Bei ya kware inakwenda hadi tsh 30000/= wakati bei ya yai moja ni shilingi 1000/= kwa hiyo ukiwa na tray moja utaliuza kwa shilingi elfu thelathini.

Utunzaji wa Kware kimsingi hawana tofauti na utunzaji wa kuku. Hata kwenye upande wa chakula, ambacho kware anakula ni kama kile ambacho kuku anakula. Kitu muhimu cha kuzingatia ni kwamba kifaranga wa kware haitaji maji hata kidogo. Kifaranga wa kware akiloa maji unampoteza mara moja.

View attachment 219415 View attachment 219417 View attachment 219418 View attachment 219419 View attachment 219420 View attachment 219421

Bei ya kifaranga mmoja wa kware wa siku moja ni tsh 2700, wa wiki moja ni tsh 3800, wa wiki 2 ni tsh 10000/= Mayai ya kware tray moja kwa bei jumla tunauza elfu 18,000/=
 
Natafuta majogoo mazuri ya mbegu yasiwe na umri zaidi ya miezi 6.. Ningependelea sussex, kebro, dorep na red rhode island.. Au kama kuna mtu anauza fertile eggs(MUHIMU NILAZIMA NIONE KUKU WAZAZI). NAHITAJI KAMA MAJOGOO 100
 
Asante kwa kunionesha hao kuchi mm nilikuwa nawaitaji vigaranga japo wa mwezi mmoja au miwaili majike sita na madume mawaili lkn hawa hao wenye mdomo wa kasuku ndio shida yangu mafuta kuku tofauti tofauti wa kienyeji nilikuwa nawaitaji hao namba yangu Ni 0716428298,nipo Dar-es-salaam magogoni kigamboni.
 
Tunauza mayai ya mbegu, na vifaranga kuku wa kienyeji piga 0713229933.. kuchi/girilaja/kuroiler etc
 
Asante kwa kunionesha hao kuchi mm nilikuwa nawaitaji vigaranga japo wa mwezi mmoja au miwaili majike sita na madume mawaili lkn hawa hao wenye mdomo wa kasuku ndio shida yangu mafuta kuku tofauti tofauti wa kienyeji nilikuwa nawaitaji hao namba yangu Ni 0716428298,nipo Dar-es-salaam magogoni kigamboni.

ayunus, tunauza mayai ya mbegu na ukitaka vifaranga tunakutotoreshea piga 0713229933
 
Natafuta majogoo mazuri ya mbegu yasiwe na umri zaidi ya miezi 6.. Ningependelea sussex, kebro, dorep na red rhode island.. Au kama kuna mtu anauza fertile eggs(MUHIMU NILAZIMA NIONE KUKU WAZAZI). NAHITAJI KAMA MAJOGOO 100

njoo tunayo fertile eggs nitafute 0713229933
 
Wewe kinombo acha kupenda kitonga,tangazo lako halijakamilika acha uvivu, eleza bei ya bidhaa zako na umli wake kwa ufasaha
 
Back
Top Bottom