Ukiona wenzako wanavyofanya ufugaji wa kuku, Mabanda yao walivyojenga, kwa hakika hutaacha kufuga




Aman Ng'oma.........hizi picha hazifunguki Mkuu

Tafadhali hebu rudia tena na bila shaka nambari yako nimeichukua na ntakuseach hewani muda wowote! Asante sana!!!
 
Last edited by a moderator:
Second Lieutenant unaweza ukaweka picha ya hao majogoo wakiwa na wiki ya 13 tayari kwa kuuzwa? Nimevutiwa nao...
Wanakuwa na kg ngapi ukiwafuga kwa mfumo wa Layers?

13 weeks hapo kama umemfuga kwa management nzuri,siku zote kuku ni management pamoja na chakula chenye virutubisho sahihi.Kuku wanalipa if utakuwa unajua unafuga for what
 

Attachments

  • red.jpeg
    18.4 KB · Views: 523
Last edited by a moderator:
Kuku wa kienyeji na kisasa yupi anatumia mda mrefu kukua kulingana na matunzo na ina mchukua muda gani kuku wa kienyeji kukua kufikia hatua ya kuliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…