tanga mnayajua mapishi!!!..ebu jaribu kuwa serious kidogoMapishi
We endelea na kumbukumbu zako mambo za jf usiyachukulie serious huwa tunaficha tu privacy zetuNina kumbukumbu fulani hivi ila sitaki kumwaga mchele hapa
SawaWe endelea na kumbukumbu zako mambo za jf usiyachukulie serious huwa tunaficha tu privacy zetu
[emoji15] [emoji15] Astaghafirullah watake radhi tanga nzimaKula mlo mmoja kwa siku na kukubambikia mzigo wa familia ukimgusa na gari hata kama hakuumia, anaona mtaji wa milo mitatu kwa siku ndio huo!
Nimekumiss[emoji15] [emoji15] Astaghafirullah watake radhi tanga nzima
nipo nitakuja uniasist kidog hapo jobNimekumiss
Huku mamantilie ameivisha karibu dinnerzitamfikia anapika time hii
mwiko kula gengen njoo kun chapati na mbaaz leoHuku mamantilie ameivisha karibu dinner
Nauli ndio nimeila sasa nitafikaje hukomwiko kula gengen njoo kun chapati na mbaaz leo
basi subiria ziwe kipor kesho hajar akupitishie hapoNauli ndio nimeila sasa nitafikaje huko
Yamenitokea mimi mwenyewe, siwaombi radhi. Ni ukweli! Hilo Tanga wanalo sana.[emoji15] [emoji15] Astaghafirullah watake radhi tanga nzima
Hapo sawa yaani leo sijui kama nitasinzia maana naziwaza tubasi subiria ziwe kipor kesho hajar akupitishie hapo
sio kweli usitudhalilisheYamenitokea mimi mwenyewe, siwaombi radhi. Ni ukweli! Hilo Tanga wanalo sana.
na zilivyokuwa tamu sasa wacha kabisaHapo sawa yaani leo sijui kama nitasinzia maana naziwaza tu