Uchaguzi 2020 Ukiondoa Wana - CHADEMA na wafuasi wake mwenyewe, Tundu Lissu atapata kura nyingine nyingi kutoka kwa hawa

Lissu kanyoosha nchi mpaka sasa.

Wamachinga watampa kura zao na uzuri wako wengi nchi nzima hivyo watachangia sana kumuangusha Magufuli.
Waliotumbuliwa na vyeti fake wakumbusheni jinsi walivyoonewa halafu mmoja wao akaendelea kula bata hadi hapo majuzi wamempunzisha kiaina kufunika hoja ya upendeleo.
 
6. Askofu Niwemugizi aliyerejeshewa passport yake baada ya Lissu kupiga spana - huyu pamoja na waumini wake na wategemezi wao wote watampigia kura Tundu Lissu
Hii ni kweli?
 
Umeongea point sana, huu ndio ukweli wa mambo bila Lissu ingekula sana kwetu. Mungu mkubwa na ametenda miujiza kwa kuokoa maisha ya Lissu ili aje kutuponya watanzania toka kwa madhalimu CCM.
 
8. Wakulima waliodhulumiwa korosho yao na Kahawa sasa wataweza kuuza mazao yao popote pale penye soko duniani na hii itasaidia kuondoa u- monopoly market ulioanzishwa na ccm nao watampigia kura Tundu Antipas Lissu

Hii ilikuwa sera ya Membe iliyomfanya ajajikuta anahutubia jukwaa alilopanda kuhutubia. Hivi mwawaona wakulima wa korosho ni wajinga sana kujua dhamira njema ya JPM na serekali kwao!!?
 
Hata mimi afamilia yangu tutampigia kura TAL .
Nimeathiriwa na mfumo kandamizi wa ukusanyaji kodi wa serikali ya jiwe..mpaka nikafikia kufunga kakibanda kangu kabiashara.
 
LISSU KAJUA KUMNYOOSHA MEKO.... LISSU NI KIBOKO YA MAFEDHULI NA MADIKTETA UCHWARA WOTE..... Makombora anayorusha Lissu ni kama ya North Korea aina ya Hwasong_19 au Taepedong.... Hayavumiliki mpaka Meko anajibu! Hakuna cha UVCCM wala UWT wote wanaogopa kujibu wanamwachia JIWE apambane na hali yake
 
10,Waislamu wote ambao sio wanafiki kama BAKWATA watampigia TL ili mashekh wetu wanaoteswa Bure wapelekwe mahakamani na wahukumiwe kisheria
Takbirr
Allah Akbar
Inn shaa Allah itakua kheri
 
Baada ya tarehe 28 Oct mtazifahamu rangi zote hata na harufu zake.
Hao Watz ndo utawaelewa haswaaa.
Watz hawamtaki huyu dikteta mshamba na limbukeni....

Sema tutazijui rangi za NEC mkuu
 
Lakini anao wale aliowateua, aliowapa magari na mishahara minono ambao ndio wasemaji kwa niaba ya NEC na kauli yao haipingwi popote!! Hao je nani atawadhibiti watende haki? Ngoma nzito hii!
Hawa ndio wameshakua na watakua chanzo cha uvunjifu wa amani sio sisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…