Uchaguzi 2020 Ukiondoa Wana - CHADEMA na wafuasi wake mwenyewe, Tundu Lissu atapata kura nyingine nyingi kutoka kwa hawa

10 waislamu wa kweli ambao mashekh na maimamu zao wapo jela bila kupelekwa mahakamani
Lissu hakusema wataachiwa ila amesema watapelekwa mahakamani shauri Lao lisikilizwe
Kwa hili
Takbirr
Allah Akbar
Kura zote za waumini zipo kwako
Kura zote za wanafikiri wa BAKWATA zipo kwa jiwe
Kwa muda mrefu watanzania tulikua tunasema
We can't breathe
Sasa jiwe linasema
I can't breathe
 
Endapo kweli hao wote watampigia kama ulivyosema.

Amesogea,Atapata 15% ya kura za wananchi wa kitanzania.

He already loosed this Game.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…