Ukiota ndotoni upo na Mheshimiwa Rais - hii ina maana gani?

Huwezi ukaota ndoto halafu ukayakumbuka maswali yote sita ya ndotoni. Haiwezekani
Ukishituka unawai kuandika...Mimi kipindi flani Nilitamani niwe msanii wa rap/ hip hop so Kuna muda unapata idea ya wimbo ndotoni ukishituka unawai kuchukua counter book na kuandika mistari chap chap...

Ukisema sijui uzembee unasahau chap.. ukishituka ndotoni then chap una andika

So inawezekana jamaa kafanya ivyo..
 
Haina maana zaidi ya hiyo maana.
 
Haina maana zaidi ya hiyo maana.
 
Waweza opoa msa*a*i
 
Jiandae utapata kazi kwa gabachori
Na elimu yako kubwa atakua anakutuma viroba

Shabaaaniii peleka hiii staki onaaa
 
Mnaojua kutafsiri ndoto, hii ndoto ina maana gani?.
Jieleze vizuri mkuu tujue ulifanya naye nini, je ulijamiiana naye, ulipiga story naye au mlifanyeje.

Nasema hivi kwa sababu ukiitoa cheo rais ni mtu kama watu wengine unakuta nao kwenye ndoto.
 
Inafuatana,alikua ni kasongo au chura kiziwi?
 
Mkuu hii kwangu ni tofauti kabisa hakuna ndoto naipenda kama nipo shule nina ndoto kubwa sana ya kupata elimu kubwa hivyo ndoto nikiwa shule ni ndoto ambazo nazitafsili kama ktk ulimwengu roho ndoto yangu ya kupata elimu bado inatambulika na bado inaishi napata faraja kubwa sana kuwa siku inakuja na itakuwa na hakuna lolote baya na kila kitu kipo sawa. So mimi sitaki kuamini hilo kbs acheni kukili/kutii jambo jema kulivika ubaya hakika litkuja kama ulivyolipokea unapohisi ndoto yako si njema destroy it! Au hauna jins postpone yote yanawezekana usikubali ndoto mbaya itokee ile umeamka ikatae na uiuwe kabs hakuna kitakachotokea kila kitu kina mlango wa kutokea
 
Mimi mwaka jana wakati mwaka 2024 unaelekea mwishoni, niliota ndoto eti nilikuwa niko mahali fulani na rais Samia, pia walikuwepo watu wengine. Miongoni mwa hao watu wengine mmoja alikuwa ni mbaya wangu. Sasa Rais Samia akaniosha miguu na wale watu wengine walikuwa wanaangalia. Alipomaliza kuniosha miguu na ndoto ile ikaishia hapo.

Nilipoamka asubuhi nikawa naitafakari ndoto hiyo ina maana gani. Ikabidi nifunue Biblia nitafute kujua Biblia inasemaje kuhusu kuoshwa miguu. Nikasoma Yohane 13 yote na kuna ufunuo mwingine ambao nilipewa kuhusiana na ndoto ile lakini haumo kwenye Biblia na wala sitauanika hapa.

Lakini mimi katika kuipindisha ndoto ile , ikapelekea nikakomenti kwenye uzi fulani humu jamiiforums , comment yenyewe niliyocomment inasema " Mwakani ndo mtaelewa ni kwa nini Yesu Kristo aliwaosha miguu wanafunzi wake wakati wa chakula cha jioni." Ilikuwa ni wiki za mwishoni mwa mwaka 2024.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…