Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Jibu rahisi tu, siwezi ku survive bila kuwa na income. Kazi yoyote lazima iwe na ujira kisheria.kuna mmoja ali niuliza ikitokea kampuni ika yumba utakua tayari kuvumilia kufanya kazi bila mshahara na kuto dai malipo yako