Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Walitaka kuupaka mafuta mwili uliokufa ili umpendeze nani?Mbona Yesu aliwaambia mambo ya wafu wajitenge nayo?Alikuwa muongo?Imeandikwa walienda kuupaka mwili mafuta wa Bwana wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walitaka kuupaka mafuta mwili uliokufa ili umpendeze nani?Mbona Yesu aliwaambia mambo ya wafu wajitenge nayo?Alikuwa muongo?Imeandikwa walienda kuupaka mwili mafuta wa Bwana wao
Kama Kuna makanisa wanaomba watu wasiowajua wawaombee wewe unashindwa Nini kupata baraka kwa kumuombea mzazi wako aliyetangulia mbele za hakiIbada za wafu ni chukizo kwa Mungu, fanya usafi tu maeneo hayo ila usitarajie muujiza wowote kutoka kwa wafu.
Huyo huyo aliyewaonya ndiye walitaka kwenda kuupaka mwili wake, ni katika kuuhifadhi vema tu na sio kuchuma baraka..... hata hivyo hawakumkuta.Walitaka kuupaka mafuta mwili uliokufa ili umpendeze nani?Mbona Yesu aliwaambia mambo ya wafu wajitenge nayo?Alikuwa muongo?
Wagalatia hapa mtabishana nyie kwa nyie.Baraka anazitoa nani hizo? Samahani unamuombea nini?
Kuwaomba wafu ni ibada ya sanamu kama sio miungu, ni chukizo...... sasa hiyo 'kuwaombea' ni ili wapate nini?Kama Kuna makanisa wanaomba watu wasiowajua wawaombee wewe unashindwa Nini kupata baraka kwa kumuombea mzazi wako aliyetangulia mbele za haki
Kuhusu ..."kuuhifadhi vema tu"...!Unahifadhi mwili uliokufa kwa mategemeo gani?Kuna kikomo katika muda wa kwenda kuupaka mafuta huo mwili?Kuna tofauti gani na kuabudu marehemu?Huyo huyo aliyewaonya ndiye walitaka kwenda kuupaka mwili wake, ni katika kuuhifadhi vema tu na sio kuchuma baraka..... hata hivyo hawakumkuta.
Mungu amesema wapi anatoa baraka ukifanya hivo? Niambie kusafisha tu mazingira ya eneo lake lakini hizo ahadi za baraka zimeandikwa wapi?
Mimi sipo huku wala kule , hao wote ni wasanii tu🤣Wewe kumbe ni wahuku eeeh ndo maana unatushambuliaga na kuhoji hoji kwa Mungu wetu aliyehai.
Haswaaa mdogo wangu🤣Baraka ziko ndani yako, huyo marehemu ashajifia kaumaliza mwendo..
Na wewe subiri siku yako ukatulie, kwanza mwili ni kasha lishajifia iliyobaki hapo makaburini ni mifupa mitupu..!!
katembelee vituo vya watoto yatima,wajane na wazee utapata baraka,achana na ibada ya umizimu wafu hawajui kitu chochote usipende kuwa upande wa wajinga.Kuna baraka nyingi unavyokuwa unatembelea makaburi wazazi au ndugu zako ambao uliwaona kwa macho yako mwenyewe walikuwa wanafanya mema hapa duniani jitahidi kutembelea mara kwa mara ata kusafisha kaburi endelea kumuombea marehemu kwa Mungu wa mbinguni
Kuna baraka nyingi
Kuuhifadhi mwili ni ile kuzika, enzi zao ilikuwa ilifanyika kwa namna yake [kuweka mwili pangoni]..... hivyo pengine kulikuwa na namna kuufikia mwili uliozikwa jana.Kuhusu ..."kuuhifadhi vema tu"...! Unahifadhi mwili uliokufa kwa mategemeo gani? Kuna kikomo katika muda wa kwenda kuupaka mafuta huo mwili?Kuna tofauti gani na kuabudu marehemu?
cc:Chagaz.
Ibada za wafu maana yake nini? Hii unapokibu jibu kwa kufafanua iliposemwa “acheni WAFU wazike wafu wao”. Hao wafu in caps ni wakina naniIbada za wafu ni chukizo kwa Mungu, fanya usafi tu maeneo hayo ila usitarajie muujiza wowote kutoka kwa wafu.
Usinga una mamlaka ?Wewe inabidi upigwe usinga kwenye medula
Unakumbuka wakati Lazaro alipofufuliwa na Yesu?Kabla hajafufuliwa,hali halisi ilionesha alikuwa "ameharibika"(kuoza?).Kwa hiyo upwakwaji mafuta haukufanywa kwa wafu wote?Kulikuwa na ubaguzi,siyo?Kuuhifadhi mwili ni ile kuzika, enzi zao ilikuwa ilifanyika kwa namna yake [kuweka mwili pangoni]..... hivyo pengine kulikuwa na namna kuufikia mwili uliozikwa jana.
Kuupaka mafuta hata leo hii inafanyika, na marashi ya uvumba hapa mochwari..... lakini haina maana ya kuabudu marehemu.
Hiyo ya kuendelea kufanya ibada kaburini kwa lengo la kuwakumbuka, kuwaombea na kuwaomba marehemu ndo ibada haramu.
Unataka nijibu halafu unani-limit nijibu kwa kuzingatia kile tu unachojua wewe?Ibada za wafu maana yake nini? Hii unapokibu jibu kwa kufafanua iliposemwa “acheni WAFU wazike wafu wao”. Hao wafu in caps ni wakina nani
Kuhusu Lazaro Yesu aliwaambia hajafa, bali amelala akamwamsha.... hivyo kifo chake kilikuwa hakijathibitishwa (hata sasa mwenye mamlaka ya kuthibitisha kifo ni daktari).Unakumbuka wakati Lazaro alipofufuliwa na Yesu?Kabla hajafufuliwa,hali halisi ilionesha alikuwa "ameharibika"(kuoza?).Kwa hiyo upwakwaji mafuta haukufanywa kwa wafu wote?Kulikuwa na ubaguzi,siyo?
Eehh kaka mkubwa 😹😹Haswaaa mdogo wangu🤣
Ni kuwapiga tu kwenye mshono hakuna namna 🤣Eehh kaka mkubwa 😹😹
Hawa wafia dini wasituzingue
Madaktari wao walikuwa ni tatizo.Hadi mwili unatoa harufu(na funza?)wao bado wakagoma?🤣🤣🤣Kuhusu Lazaro Yesu aliwaambia hajafa, bali amelala akamwamsha.... hivyo kifo chake kilikuwa hakijathibitishwa (hata sasa mwenye mamlaka ya kuthibitisha kifo ni daktari).
Kuhusu ubaguzi, utapakwa mafuta kulingana na hadhi yako..... vivyo hivyo enzi zile sio wafu wote walipewa hadhi sawa.
Waafrika tunaita mizimu,wazungu Saints,Kuna baraka nyingi unavyokuwa unatembelea makaburi wazazi au ndugu zako ambao uliwaona kwa macho yako mwenyewe walikuwa wanafanya mema hapa duniani.
Jitahidi kutembelea mara kwa mara ata kusafisha kaburi endelea kumuombea marehemu kwa Mungu wa mbinguni kuna baraka nyingi.