Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Mizimu🤣Baraka anazitoa nani hizo? Samahani unamuombea nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mizimu🤣Baraka anazitoa nani hizo? Samahani unamuombea nini?
Kweli eeh!!Kuna baraka nyingi unavyokuwa unatembelea makaburi wazazi au ndugu zako ambao uliwaona kwa macho yako mwenyewe walikuwa wanafanya mema hapa duniani.
Jitahidi kutembelea mara kwa mara ata kusafisha kaburi endelea kumuombea marehemu kwa Mungu wa mbinguni kuna baraka nyingi.
Mimi ni mtu nisiyeamini kuwa omba wafu. Na ni matumaini yangu kuwa mtoa mada haongelei suala la ibada makaburini. Ila hili la kwenda na kupalilia, kutengeneza mazingira kuhakikisha kumbukumbu hazifutiki hasa kwa waliolala katika haki na matendo mema Nina ushuhuda.Ngoja lokolez & sabaths waje kukuuliza maswali hadi usahau uliliweka wapi jembe la kupalilia kaburi.🤔
Eti Yesu kafa kwa mapambano na shetani na kamfunga kuzimu lakini mtu akiua wanasema kazi y’a shetani 😹😹😹Ni kuwapiga tu kwenye mshono hakuna namna 🤣
Hahahaha , tunawazoom tu walokole wa buza🤣🤣Eti Yesu kafa kwa mapambano na shetani na kamfunga kuzimu lakini mtu akiua wanasema kazi y’a shetani 😹😹😹
Shetani si alifungwa na funguo kapokonywa?!! 🥹
Miongo balaa..Hahahaha , tunawazoom tu walokole wa buza🤣🤣
Lamo jembe langu ,unaenda mbali waulize maswali ya kijinga tu hawa ni wale wafuasi wa yule nabii wa buza 🤣🤣Miongo balaa..
Kwanza watuambie watoto wa Adamu kina kaini waliwaoa kina nani? Ikiwa wao ndio uzao wa kwanza halafu madume 😹😹😹
Baraka anazitoa Mungu hapa naongelea marehemu ambao wamekufa ukiwa unawaona siongelei makaburi ya hata mababu
Muulize mwenye usinga wakeUsinga una mamlaka ?