Ukipata ofa ya namna hii nenda katoe sadaka kanisani. Ni marufuku kuitumia

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Mfano ulipanga kununua simu kwa 200,000/= muuzaji akikupa punguzo akakuuzia kwa 150,000/= ile 50,000/= inatakiwa kwenda kanisani kama sadaka.

Ukipanda daladala, mtu akakulipia nauli, ile nauli yako inapaswa kwenda kanisani, usiile ni laana.

Kuna kenge zitakuja kubisha hapa, nazikemea zishindwe. Hii ni siri, sasa wewe bishana na Boss la DP World tuone kama hako ka cv kako katapita pale bandarini, nimekaa palee... Boss lenye nongwa.
 
Acha ubwege wewe. Mchungaji akipaya off hiyo akatoe sandakan wapi?
 
wewe inaelekea ni muumini wa mchungajia MAKENZIE yuel aliyeteketeza waumini wake pale SHAKAOZA KENYA!!!,,,,,,
 
DP wuludi na Kanisa wapi na wapi ofisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…