Ukipata ofa ya namna hii nenda katoe sadaka kanisani. Ni marufuku kuitumia

Sadaka yako Mchungaji anaitumia kulipia lodge ili amkunje mkeo
 
Mi nashauri kanisani usiipeleke nenda kawape watoto wa mtaani, yatima , walemavu wasiojiweza n.k

Utabarikiwa maradufu kuliko huko makanisani.

Hasa kwa makanisa ya Sasa.
 
Kwani huko arabuni kuna makanisa au waarabu skuhizi mnapenda makanisa baada ya kusaidiwa na moja ya kanisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…