Ukipata pesa hakikisha unatulia nyumbani kwako

Ukipata pesa hakikisha unatulia nyumbani kwako

Unapopata pesa nawazungumzia vijana wa Leo hakikisha unakaa nyumbani , hakikisha pesa inageuka Akiba ya kudumu usikubali kutumia pesa yako kununua Magonjwa ili baadae uishi kwa mateso.

Wewe ndio Mwalimu wa Maisha yako wewe ndo daktari wa Maisha yako yaani wewe ndo kila kitu.

Hizi hadithi za zamani nilikuwa na PESA acha zibaki kwao usiziruhusu zitokee kwako.

Ukipanda Juu hakikisha unakuwa makini zaidi ya ulivyokuwa chini . Maana siku zote kushuka chini ni rahisi kuliko kupanda Juu. Pia usisahau kujisamehe na kuanza upya .

Pole, na uhakika unajuta ndo maana umeandika ujumbe mfupi mzuri, hawatakusikiliza mpaka wafike umri wako na majuto kama ambavyo wewe hukusikiliza.
 
Unapopata pesa nawazungumzia vijana wa Leo hakikisha unakaa nyumbani , hakikisha pesa inageuka Akiba ya kudumu usikubali kutumia pesa yako kununua Magonjwa ili baadae uishi kwa mateso.

Wewe ndio Mwalimu wa Maisha yako wewe ndo daktari wa Maisha yako yaani wewe ndo kila kitu.

Hizi hadithi za zamani nilikuwa na PESA acha zibaki kwao usiziruhusu zitokee kwako.

Ukipanda Juu hakikisha unakuwa makini zaidi ya ulivyokuwa chini . Maana siku zote kushuka chini ni rahisi kuliko kupanda Juu. Pia usisahau kujisamehe na kuanza upya .
Somo zuri sana hili naomba nikusindikizie ujumbe wako kwa 👇

 
Akianza
1. Dialysis
2. ARV
3. Admitted to Ocean Road Hospital ( O.R.H)

Wahenga walisema "HUJAFA HUJAUMBIKA"

Unaweza jilinda na bado ukapatikana tu...

Tuishi kwa kufuata health tips, mengine yatajulikana mbele kwa mbele.

View attachment 2690673
Hivyo vyote vinaepukika

Dialysis waweza ikwepa kwa kutokunywa pombe na vitu vya kemikalo

ARV waweza zikwepa kwa kutumia kondomu au kuwa mwaminifu

Cancer waweza iepuka kwa kufanya diagnosis mapema
 
Unapopata pesa nawazungumzia vijana wa Leo hakikisha unakaa nyumbani , hakikisha pesa inageuka Akiba ya kudumu usikubali kutumia pesa yako kununua Magonjwa ili baadae uishi kwa mateso.

Wewe ndio Mwalimu wa Maisha yako wewe ndo daktari wa Maisha yako yaani wewe ndo kila kitu.

Hizi hadithi za zamani nilikuwa na PESA acha zibaki kwao usiziruhusu zitokee kwako.

Ukipanda Juu hakikisha unakuwa makini zaidi ya ulivyokuwa chini . Maana siku zote kushuka chini ni rahisi kuliko kupanda Juu. Pia usisahau kujisamehe na kuanza upya .
Huu ujumbe umenifikia kwa Wakati...naitika AAAAAAMEEEEN🙏
 
Hivyo vyote vinaepukika

Dialysis waweza ikwepa kwa kutokunywa pombe na vitu vya kemikalo

ARV waweza zikwepa kwa kutumia kondomu au kuwa mwaminifu

Cancer waweza iepuka kwa kufanya diagnosis mapema
Acha ujuaji wewe,vipi kama wewe ni muaminifu alafu mwenzako akakuletea?
 
Unapopata pesa nawazungumzia vijana wa Leo hakikisha unakaa nyumbani , hakikisha pesa inageuka Akiba ya kudumu usikubali kutumia pesa yako kununua Magonjwa ili baadae uishi kwa mateso.

Wewe ndio Mwalimu wa Maisha yako wewe ndo daktari wa Maisha yako yaani wewe ndo kila kitu.

Hizi hadithi za zamani nilikuwa na PESA acha zibaki kwao usiziruhusu zitokee kwako.

Ukipanda Juu hakikisha unakuwa makini zaidi ya ulivyokuwa chini . Maana siku zote kushuka chini ni rahisi kuliko kupanda Juu. Pia usisahau kujisamehe na kuanza upya .
Mungu akubariki Sana mkuu Kuna kulubanika mmoja hivi ngoja nimwonyeshe anajifanya kasahau tulipotoka.
 
Mimi nawasisitiza vijana mle ujana wenu Tena kula Bata kwelikweli kabla haujaingia kwenye jela ya hiyari yani ndoa.

Kikubwa play safe, condom inasave ukimwi upo na unauwa.

Kuna madhara makubwa sana huko mbele kama utaruka stage ya ukuwaji bila kuipitia.

Tena siku hizi Bata zipo kila mtaa na Madj mnao.

Kipindi cha nyuma tukitaka kwenda kula Bata ni kipengele lazima uwe na bajeti kabisa ya shangwe na ya Tax kurudi Nyumbani maana hata Bodaboda hazikuwepo au unachukuwa hotel kabisa, lakini sasa hivi kila location watu wana pub zao za kupiga shangwe na vibe ni la kutosha tu.

Kujifungia Nyumbani ni dalili za kijana kuwa mchawi baadaye, kanuni iko wazi kabisa wanaotumia pesa ndio wanaopata pesa.

Angalia kwenye kahawa, misikitini na pub wapi zinapaki ndinga za maana?
 

Attachments

  • FB_IMG_1688488086473.jpg
    FB_IMG_1688488086473.jpg
    21.9 KB · Views: 1
hakuna faida ya kufa ukiwa mzima wa afya
ukiwa na afya njema, utasema lolote ila walio na afya mbovu wakiona mchango wako huu wanasikitika sana.

kabla ujafa ukaugua maumivu yake huwezi andika hili ulilo andika
 
Back
Top Bottom